Headlines News :
KARIBU CUF DIASPORA NETWORK - CUF HAKI SAWA KWA WOTE...TEGEMEA KILA JIPYA NA ZURI KUTOKA KWETU...LIKE PAGE YETU KWENYE FACEBOOK
Home » » MAALIM SEIF ACHUKUA FOMU YA URAIS

MAALIM SEIF ACHUKUA FOMU YA URAIS

 Maalim Seif Sharif Hamad leo alasiri amechukua fomu za kuomba kuteuliwa na CUF kuwa mgombea wake kwa nafasi ya Urais wa Zanzibar. Alichukua fomu hiyo katika Ofisi za Chama Wilaya ya Magharibi 'A' huko Bububu, nje kidogo ya Mji wa Zanzibar katika hafla ndogo iliyojaa shamra shamra huku akiwa amesindikizwa na mamia ya wapenzi wake. 

SAFARI IMEANZA: Maalim Seif Sharif Hamad leo alasiri amechukua fomu za kuomba kuteuliwa na CUF kuwa mgombea wake kwa nafasi ya Urais wa Zanzibar. Alichukua fomu hiyo katika Ofisi za Chama Wilaya ya Magharibi 'A' huko Bububu, nje kidogo ya Mji wa Zanzibar katika hafla ndogo iliyojaa shamra shamra huku akiwa amesindikizwa na mamia ya wapenzi wake.

Mamia ya wananchi wa Zanzibar leo walifika kushuhudia uchukuaji fomu wa Mgombea huyu wa Urais wa Zanzibar.

Share this article :

No comments:

Post a Comment

 
Support : ZENJIBARZA
Copyright © 2011. ACT WAZALENDO DIASPORA NETWORK - All Rights Reserved