Mbunge wa Mtwara Mjini (CUF), Maftaha Nachuma, amefanya yale yaliyowashinda wengi kwa miaka mingi tu kwa kununua mabasi mawili kwa ajili ya usafiri wa walimu na wanafunzi katika jimbo lake na kuwasafirisha bure kwa lengo la kuwezesha kuinua kuwango cha elimu jimboni kwake.
Tupia neno moja tu kwa Mbunge huyu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
- ZANZIBAR STONE TOWN MEMBER OF PARLIAMENT STAND WITH GIRLS
- JUSSA: awanasihi vijana kujifunza kutoka kwa wazee
- Watch "Story Of Maalim Seif Sharif Hamad
- Maalim Seif na Fimbo ya Mussa
- Hizi siasa si Mchezo wa karata.
- Zanzibar Kumekucha kwenye Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Dimani.
- Mkutano wa CUF Alabama
No comments:
Post a Comment