Mbunge wa Mtwara Mjini (CUF), Maftaha Nachuma, amefanya yale yaliyowashinda wengi kwa miaka mingi tu kwa kununua mabasi mawili kwa ajili ya usafiri wa walimu na wanafunzi katika jimbo lake na kuwasafirisha bure kwa lengo la kuwezesha kuinua kuwango cha elimu jimboni kwake.
Tupia neno moja tu kwa Mbunge huyu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
- Watch "Story Of Maalim Seif Sharif Hamad
- JUSSA: awanasihi vijana kujifunza kutoka kwa wazee
- ZANZIBAR STONE TOWN MEMBER OF PARLIAMENT STAND WITH GIRLS
- (no title)
- MAALIM SEIF ACHUKUA FOMU YA URAIS
- CUF KUENDELEA KUIGOMEA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR.
- Tanzanian teams struggle to compete with their continental rivals. Will the government finally loosen its grip and allow clubs to privatise?
No comments:
Post a Comment