Mbunge wa Mtwara Mjini (CUF), Maftaha Nachuma, amefanya yale yaliyowashinda wengi kwa miaka mingi tu kwa kununua mabasi mawili kwa ajili ya usafiri wa walimu na wanafunzi katika jimbo lake na kuwasafirisha bure kwa lengo la kuwezesha kuinua kuwango cha elimu jimboni kwake.
Tupia neno moja tu kwa Mbunge huyu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
- TAARIFA KWA UMMA
- MAALIM SEIF ACHUKUA FOMU YA URAIS
- Ziara ya Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Kisiwani Pemba February 2017
- Katibu Mkuu akutana na Mchungaji Gwajima
- Mkutano wa CUF na viongozi wa ngazi za Wilaya na Majimbo ya UngujaCUF na viongozi wa ngazi za Wilaya na Majimbo ya Unguja
- CUF Wanawake wawapa 'take-care' Mutungi, Lipumba
- (no title)
No comments:
Post a Comment