Headlines News :
KARIBU CUF DIASPORA NETWORK - CUF HAKI SAWA KWA WOTE...TEGEMEA KILA JIPYA NA ZURI KUTOKA KWETU...LIKE PAGE YETU KWENYE FACEBOOK
Home » » Sera ya chama chetu kunena,na Kutenda.

Sera ya chama chetu kunena,na Kutenda.

Mbunge wa Mtwara Mjini (CUF), Maftaha Nachuma, amefanya yale yaliyowashinda wengi kwa miaka mingi tu kwa kununua mabasi mawili kwa ajili ya usafiri wa walimu na wanafunzi katika jimbo lake na kuwasafirisha bure kwa lengo la kuwezesha kuinua kuwango cha elimu jimboni kwake.

Tupia neno moja tu kwa Mbunge huyu
Share this article :

No comments:

Post a Comment

 
Support : ZENJIBARZA
Copyright © 2011. ACT WAZALENDO DIASPORA NETWORK - All Rights Reserved