TAARIFA RASMI:
Kundi la WAHUNI lililotumwa kuvamia Mkutano Mkuu wa CUF na kuuvuruga limeendelea na vikao vyake jana na leo na limefikia maazimio kuwa litavamia OFISI KUU ya CUF Buguruni ili kumrejeshea Lipumba Uenyekiti kwa kumleta ofisini kwa nguvu.
Kesho kundi hilo litakuwa nyumbani kwa Prof. Lipumba ili kukubaliana naye juu ya mpango wa namna ya kutekeleza azma hiyo. Na kwa namna ambavyo Prof. amekuwa hatabiriki huenda akakubali mpango huo kama alivyokubali kuletwa na kuvamia na kuvuruga mkutano mkuu maalum wa CUF.
Hakika, kama Lipumba atakubali kutekeleza kitendo hicho atakuwa ni Profesa wa ajabu kupata kutokea hapa duniani. Namuombea sana Lipumba ambaye ni "Alhaji" aanze kujitambua na nafsi yake imsute kwamba haya anayoyapanga na kuyatekeleza yanaidhalilisha sana familia yake, wasomi wenzake, wanasiasa wenzake na kuvunja kabisa heshima kubwa ambayo aliijenga kwa miaka 20.
Kila mmoja wetu umuombee Lipumba.
Taarifa zinazowiana
- SITAKI KUMUONA LIPUMBA ASEMA MBUNGE WA TEMEKE
- Kesi YA CUF DHIDI YA RITA KUUNGURUMA JULAI 10
- TAMKO LA MADIWANI WA THE CIVIC UNITED FRONT (CUF-CHAMA CHA WANANCHI) WA MKOA WA DAR ES SALAAM JUU YA KUUNGA MKONO HOTUBA NA MSIMAMO WA CHAMA ULIOTOLEWA NA KATIBU MKUU MAALIM SEIF SHARIF HAMAD TAREHE 28 JUNE 2017 KATIKA HOTEL YA PEACOCK:
- CUF Wanawake wawapa 'take-care' Mutungi, Lipumba
- NDUNGAI NI NYOKA ANETAFUNA MKIANI
- MAHAKAMA YAIPIGA NA CHINI HOJA ZA SERIKALI DHIDI YA KESI YA CUF
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment