9:46 AM
Tanzanian teams struggle to compete with their continental rivals. Will the government finally loosen its grip and allow clubs to privatise?
In Tanzania, football and politics are inseparable. The result? Poor clubs

When Simba FC and Yanga FC play, the whole of Tanzania watches. Support for these historic clubs divides this football-obsessed nation in half, regardless of where people live. For 90 minutes, the country stands still. Simba and Yanga, however, are not just football clubs. They are also creations of Tanzania’s politics and contain within them decades of the nation’s history.
This association between football and politics stretches back to pre-independence. In the 1950s when political rallies were banned by the colonial government, for instance, Yanga’s clubhouse acted as the site for covert meetings of the Tanganyika African National Union (TANU), the independence movement led by Julius Nyerere.
After independence in 1961, the link between football and politics intensified. In 1967, the government dramatically sacked the entire leadership of the national football association and made membership of TANU a prerequisite for the new leaders. It ensured that those in charge of the popular and influential Yanga and Simba clubs were supporters of the ruling party too. In 1971, the construction of Yanga’s headquarters was totally financed by the Zanzibari Afro-Shirazi Party (ASP), which merged with TANU in 1977 to form today’s ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM).
In terms of their management, football clubs like Yanga and Simba closely adhered to former President Nyerere’s Ujamaa philosophy. They shunned capitalist values and were administered on a model of collective ownership, relying on contributions from members.
Decades later, however, the wisdom of this model is facing ever greater scrutiny. Some argue it has held back clubs’ success and financial stability. Neither Yanga or Simba, for example, has its own stadium or football academy and they are unable to profit from gate revenues to develop homegrown talent. Compared to their rivals on the continent, Tanzanian clubs have struggled to compete. They rarely last long in the African Champions League, while the Tanzanian national team crashed out swiftly in last year’s Africa Cup of Nations after losing all three of its group matches.
Show me the money and…democracy
In response to these disappointments, some fans are advocating for clubs like Yanga and Simba to be privatised. In some respects, this has already begun.
In 2018, Mohammed Dewji, CEO of Tanzanian multinational corporation MeTL group, bought a 49% stake in Simba. A period of success followed as the club became the first Tanzanian team to qualify for the knockout stages of the African Champions League in over 20 years.
At Yanga, supporters have similarly called for the club to be “modernised” recently. Many have argued for the need to move away from the ujamaa philosophy and towards selling shares and making the club a private company.
It still remains to be seen how far these trends can really go in Tanzania. According to football scholar Peter Alegi, football in Africa is always a matter of national pride and can never be completely freed from politics. This may be particularly the case in Tanzania, where the ruling CCM is likely to be reluctant to give up its control over highly influential clubs, especially in an atmosphere of heightened political repression.
Nash MC, hip hop artist and political activist, told African Arguments that the candidates in the recent Yanga elections, held annually to elect the club’s management, had been “handpicked” by the government. He also predicts that despite Simba’s initial success following Dewji’s investment, that relationship will inevitably break down due to resistance from political actors.
But it’s all still politics?
There is strong evidence that commercialisation is necessary for success in African domestic football. Clubs are not self-sustainable and cannot rely on sponsorship. This has become clear recently in the Kenyan Premier League. The withdrawal of the main sponsor SportPesa has led to a crisis as players have reported playing on empty stomachs. The Kenyan Football Federation has even been criticised for allowing the league to go ahead without a commercial sponsor.
However, although most Tanzanian football supporters appear to be in favour of increasing commercialisation in the hope of greater success, many believe this will not be possible due to clubs’ intimate political connections. This is evident with the emergence of Azam FC, a hyper-commercial company-owned team that won the league in 2014 but which has subsequently failed to challenge the status quo, arguably because of politics. According to Nash MC, there was a time when Azam FC was “free” and operated outside of the political sphere but it has now been “subsumed into it”.
Football supporters in Tanzania are becoming increasingly frustrated with what they see as politics interfering with the development of the sport in the country. But contrary to many popular wishes, it is in fact likely that political interference will intensify rather than diminish as those in power struggle to maintain control over the popular and influential football clubs.
3:07 AM
Muhimili wa mwisho wa Dola uliowasaliti WATANZANIA
KUTOTIIWA KWA AMRI YA MAHAKAMA KUU KULIKOFANYWA NA LIPUMBA NA GENGE LAKE, NINI KIFANYIKE:
THE CIVIC UNITED FRONT
[CUF-CHAMA CHA WANANCHI]
TAARIFA KWA UMMA NA VYOMBO VYA HABARI:
TAREHE 4/12/2018 MAHAKAMA KUU KANDA YA DAR ES SALAAM MBELE ya Mheshimiwa Jaji DKT BENHAJJ MASOUD imetoa AMRI YA KUHIFADHI HALI ILIYOKUWEPO WAKATI HUO [Maintenance of Status Quo] KWA KUZUIA KUFANYIKA KWA MKUTANO MKUU ‘FEKI’ ULIOPANGWA KUITISHWA NA LIPUMBA NA GENGE LAKE. Katika shauri dogo Namba 40/2018 lililotokana na shauri la Msingi Namba 23/2016 linalotarajiwa kutolewa HUKUMU kesho Jumatatu Tarehe 18/3/2019.
Mheshimiwa Jaji Benhajj alisema “…anasitisha utoaji wa uamuzi wa maombi ya shauri hilo Namba 40/2018 isipokuwa hali iliyopo sasa ibaki hivyo hivyo (KUSIFANYIKE MKUTANO MKUU) *to maintain status quo* kwa sababu mashauri haya yanaingiliana na kuhitajika kutolewa Uamuzi kwa pamoja…” Court Records zinasomeka hivyo na maamuzi haya yalitolewa mbele ya Wakili wa Lipumba Mashaka Ngole.
ILIKUWAJE:
Karani ameliita Shauri Civil Application No. 40/2018 Mawakili wote wakajitambulisha. Jaji akasema *“sitotoa UAMUZI leo. Mashauri haya yanayohusu CUF ikiwemo lile dhidi ya Msajili na lile linalohusu RITA yanaingiliana.* akaendelea kusema *Ni vyema yakaamuliwa pamoja.*
Jaji akauliza; *Mkutano Mkuu si haujafanyika?*
Mashaka Ngole akajibu,
*Ndio Mheshimiwa Jaji haujafanyika*
Jaji akamalizia kwa kusema : *“I Order to Maintain Status Quo”.*
Baada ya maneno hayo ya Mhe Jaji Mawakili wakainuka wakasema “…Much obliged” kisha karani akaliita Shauri lingine kuhusu RITA, ushahidi ukaanza kusikilizwa.
“Status Quo: law and legal definition: Status Quo generally refers to the existing state of affairs or circumstances. a Status Quo order may be issued by a Judge to prevent ANY OF THE PARTIES INVOLVED IN DISPUTE FROM TAKING ANY ACTION UNTIL THE MATTER CAN BE RESOLVED. it seeks to prevent harm or preserve the existing conditions, so that a party's position isn't prejudiced in the meantime until a resolution is reached.
"In Statu Quo" – Which itself is a shortening of the original phrase In Statu Quo Res Erant Ante Bellum, meaning "in the state in which things were before the war". TO MAINTAIN THE STATUS QUO IS TO KEEP THE THINGS THE WAY THEY PRESENTLY ARE.
Mkutano Mkuu haujafanyika HALI ibaki hivyo mpaka kesi aya msingi itakapo kwisha ndio maana ya Amri/Order iliyotolewa na Mahakama Kuu.
Hii ni AMRI ya kwanza kutolewa mbali na ile ya Pili iliyotolewa na Jaji Stephen Magoiga tarehe 28/2/2019
Lipumba na genge lake wamevunja AMRI ZOTE HIZO MBILI.
KESI NI YA MAHAKAMA KUU DHIDI YA LIPUMBA NA GENGE LAKE. Tunachopaswa kufanya ni “to move the court, to switch on the issue before the court”.
KESHO JUMATATU TAREHE 18/03/2019 MAHAKAMA KUU KANDA YA DARE ES SALAAM MBELE YA MHESHIMIWA JAJI DKT. BENHAJJ MASOUD, Inatarajia kutoa JUDGMENT katika shauri Namba 23/2016 UHALALI WA LIPUMBA NDANI YA CUF.
UAMUZI HUO UNAWEZA KUTOA MUELEKEO NA HATMA YA LIPUMBA NDANI YA CUF NA KUFUTA NA KUBATILISHA (NULLIFY) MAMBO YOTE YALIYOFANYWA NA LIPUMBA NA GENGE LAKE TANGU WAKATI HUO MPAKA HIVI SASA.
Kukimbilia kufanya Mkutano Mkuu na kuchagua viongozi na yote yaliyofanyika ni kama mathalani “muumini kaoga josho la Janaba, akachukua udhu, akaingia msalani akajisaidia haja kubwa na ndogo, akatoka na kwenda kuswali salatul Dhuhri. Je swala hiyo inajuzu kwa mujibu wa shurti za swala?” jibu swala ni batili kwa kuwa hajatawadha alipotoka Chooni.
KAMWE HARAMU HAIZAI HALALI. MKUTANO HARAMU, UCHAGUZI HARAMU, MATOKEO HARAMU, VIONGOZI HARAMU, UONGOZI HARAMU, UTENDAJI HARAMU, MAAMUZI HARAMU.
TUKUTANE KESHO SAA 3 ASUBUHI MAHAKAMA KUU.
HAKI SAWA KWA WOTE
Imetolewa LEO Tarehe 17/2/2019 na Kurugenzi ya Habari;
MBARALA MAHARAGANDE
K/NAIBU MKURUGENZI HABARI, UENEZI NA MAHUSIANO NA UMMA CUF TAIFA.
maharagande@gmail.com
+255 715 062 577
+255 767 062 577
THE CIVIC UNITED FRONT
[CUF-CHAMA CHA WANANCHI]
TAARIFA KWA UMMA NA VYOMBO VYA HABARI:
TAREHE 4/12/2018 MAHAKAMA KUU KANDA YA DAR ES SALAAM MBELE ya Mheshimiwa Jaji DKT BENHAJJ MASOUD imetoa AMRI YA KUHIFADHI HALI ILIYOKUWEPO WAKATI HUO [Maintenance of Status Quo] KWA KUZUIA KUFANYIKA KWA MKUTANO MKUU ‘FEKI’ ULIOPANGWA KUITISHWA NA LIPUMBA NA GENGE LAKE. Katika shauri dogo Namba 40/2018 lililotokana na shauri la Msingi Namba 23/2016 linalotarajiwa kutolewa HUKUMU kesho Jumatatu Tarehe 18/3/2019.
Mheshimiwa Jaji Benhajj alisema “…anasitisha utoaji wa uamuzi wa maombi ya shauri hilo Namba 40/2018 isipokuwa hali iliyopo sasa ibaki hivyo hivyo (KUSIFANYIKE MKUTANO MKUU) *to maintain status quo* kwa sababu mashauri haya yanaingiliana na kuhitajika kutolewa Uamuzi kwa pamoja…” Court Records zinasomeka hivyo na maamuzi haya yalitolewa mbele ya Wakili wa Lipumba Mashaka Ngole.
ILIKUWAJE:
Karani ameliita Shauri Civil Application No. 40/2018 Mawakili wote wakajitambulisha. Jaji akasema *“sitotoa UAMUZI leo. Mashauri haya yanayohusu CUF ikiwemo lile dhidi ya Msajili na lile linalohusu RITA yanaingiliana.* akaendelea kusema *Ni vyema yakaamuliwa pamoja.*
Jaji akauliza; *Mkutano Mkuu si haujafanyika?*
Mashaka Ngole akajibu,
*Ndio Mheshimiwa Jaji haujafanyika*
Jaji akamalizia kwa kusema : *“I Order to Maintain Status Quo”.*
Baada ya maneno hayo ya Mhe Jaji Mawakili wakainuka wakasema “…Much obliged” kisha karani akaliita Shauri lingine kuhusu RITA, ushahidi ukaanza kusikilizwa.
“Status Quo: law and legal definition: Status Quo generally refers to the existing state of affairs or circumstances. a Status Quo order may be issued by a Judge to prevent ANY OF THE PARTIES INVOLVED IN DISPUTE FROM TAKING ANY ACTION UNTIL THE MATTER CAN BE RESOLVED. it seeks to prevent harm or preserve the existing conditions, so that a party's position isn't prejudiced in the meantime until a resolution is reached.
"In Statu Quo" – Which itself is a shortening of the original phrase In Statu Quo Res Erant Ante Bellum, meaning "in the state in which things were before the war". TO MAINTAIN THE STATUS QUO IS TO KEEP THE THINGS THE WAY THEY PRESENTLY ARE.
Mkutano Mkuu haujafanyika HALI ibaki hivyo mpaka kesi aya msingi itakapo kwisha ndio maana ya Amri/Order iliyotolewa na Mahakama Kuu.
Hii ni AMRI ya kwanza kutolewa mbali na ile ya Pili iliyotolewa na Jaji Stephen Magoiga tarehe 28/2/2019
Lipumba na genge lake wamevunja AMRI ZOTE HIZO MBILI.
KESI NI YA MAHAKAMA KUU DHIDI YA LIPUMBA NA GENGE LAKE. Tunachopaswa kufanya ni “to move the court, to switch on the issue before the court”.
KESHO JUMATATU TAREHE 18/03/2019 MAHAKAMA KUU KANDA YA DARE ES SALAAM MBELE YA MHESHIMIWA JAJI DKT. BENHAJJ MASOUD, Inatarajia kutoa JUDGMENT katika shauri Namba 23/2016 UHALALI WA LIPUMBA NDANI YA CUF.
UAMUZI HUO UNAWEZA KUTOA MUELEKEO NA HATMA YA LIPUMBA NDANI YA CUF NA KUFUTA NA KUBATILISHA (NULLIFY) MAMBO YOTE YALIYOFANYWA NA LIPUMBA NA GENGE LAKE TANGU WAKATI HUO MPAKA HIVI SASA.
Kukimbilia kufanya Mkutano Mkuu na kuchagua viongozi na yote yaliyofanyika ni kama mathalani “muumini kaoga josho la Janaba, akachukua udhu, akaingia msalani akajisaidia haja kubwa na ndogo, akatoka na kwenda kuswali salatul Dhuhri. Je swala hiyo inajuzu kwa mujibu wa shurti za swala?” jibu swala ni batili kwa kuwa hajatawadha alipotoka Chooni.
KAMWE HARAMU HAIZAI HALALI. MKUTANO HARAMU, UCHAGUZI HARAMU, MATOKEO HARAMU, VIONGOZI HARAMU, UONGOZI HARAMU, UTENDAJI HARAMU, MAAMUZI HARAMU.
TUKUTANE KESHO SAA 3 ASUBUHI MAHAKAMA KUU.
HAKI SAWA KWA WOTE
Imetolewa LEO Tarehe 17/2/2019 na Kurugenzi ya Habari;
MBARALA MAHARAGANDE
K/NAIBU MKURUGENZI HABARI, UENEZI NA MAHUSIANO NA UMMA CUF TAIFA.
maharagande@gmail.com
+255 715 062 577
+255 767 062 577
12:58 PM
BARAZA KUU LA UONGOZI TAIFA LA CUF, LAKUTANA NA KUJAZA NAFASI WAZI ZA WAJUMBE WA BODI YA WADHAMINI; THE CIVIC UNITED FRONT (CUF-CHAMA CHA WANANCHI) TAARIFA KWA UMMA TAREHE 19 FEBRUARY, 2019 TAARIFA KWA UMMA WAJUMBE WA BARAZA KUU LA UONGOZI LA TAIFA LA THE CIVIC UNITED FRONT [CUF-CHAMA CHA WANANCHI] wamekutana leo Tarehe 19/2/2019 katika kikao chake kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya CUF, Magomeni-Dar es Salaam. Kikao hicho kilichohudhuriwa na Mheshimiwa Bonifance Jacob (Afisa kutoka Mamlaka ya Serikali-Government Authority, kwa mujibu wa matakwa ya Sheria ya The Trustees incorporation Act. CAP 318 RE: 2002 Section 17(1)] na pia kikao hicho kilimualika Mheshimiwa James Francis Mbatia (Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania-TCD). Kikao kilikuwa na Ajenda Moja pekee ambayo ni KUJAZA NAFASI WAZI ZA WAJUMBE WA BODI YA WADHAMINI YA CUF. Wajumbe 37 walihudhuria kati ya wajumbe wote 63 kama wangekuwepo kama walivyochaguliwa na Mkutano Mkuu wa Taifa mwaka 2014. Na hivyo kufanya kupatikana (koramu) ya zaidi ya nusu ya wajumbe halali waliopaswa kuhudhuria kikao hicho. Baraza Kuu la Uongozi la Taifa kwa mujibu wa Katiba ya CUF 1992[Toleo 2014] Ibara ya 98(1) na (2) imewateua wanachama wa CUF wafuatao
KUJAZA NAFASI NA KUWA WAJUMBE WA BODI YA WADHAMINI YA THE CIVIC UNITED FRONT [CUF-CHAMA CHA WANANCHI]. WALIOTEULIWA NI;
1. ABDALLAH SAID KHATAU-(ME)
2. ALI MBARAKA SULEIMAN-(ME)
3. YOHANA MBELWA-(ME)
4. MOHAMED NASSOR MOHAMED-(ME)
5. DR. JUMA AMEIR MUCHI-(ME)
6. ZUMBA SHOMARI KIPANDUKA-(ME)
7. MWANAWETU SAID ZARAFI-(KE)
8. MWANA MASOUD ALI-(KE)
9. BLANDINA OBAS MWASABWITE-(KE)
HAKI SAWA KWA WOTE SALIM BIMANI MKURUGENZI HABARI. +255 777414112 +255 655314112
CUF WACHAGUA BARAZA KUU
BARAZA KUU LA UONGOZI TAIFA LA CUF, LAKUTANA NA KUJAZA NAFASI WAZI ZA WAJUMBE WA BODI YA WADHAMINI; THE CIVIC UNITED FRONT (CUF-CHAMA CHA WANANCHI) TAARIFA KWA UMMA TAREHE 19 FEBRUARY, 2019 TAARIFA KWA UMMA WAJUMBE WA BARAZA KUU LA UONGOZI LA TAIFA LA THE CIVIC UNITED FRONT [CUF-CHAMA CHA WANANCHI] wamekutana leo Tarehe 19/2/2019 katika kikao chake kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya CUF, Magomeni-Dar es Salaam. Kikao hicho kilichohudhuriwa na Mheshimiwa Bonifance Jacob (Afisa kutoka Mamlaka ya Serikali-Government Authority, kwa mujibu wa matakwa ya Sheria ya The Trustees incorporation Act. CAP 318 RE: 2002 Section 17(1)] na pia kikao hicho kilimualika Mheshimiwa James Francis Mbatia (Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania-TCD). Kikao kilikuwa na Ajenda Moja pekee ambayo ni KUJAZA NAFASI WAZI ZA WAJUMBE WA BODI YA WADHAMINI YA CUF. Wajumbe 37 walihudhuria kati ya wajumbe wote 63 kama wangekuwepo kama walivyochaguliwa na Mkutano Mkuu wa Taifa mwaka 2014. Na hivyo kufanya kupatikana (koramu) ya zaidi ya nusu ya wajumbe halali waliopaswa kuhudhuria kikao hicho. Baraza Kuu la Uongozi la Taifa kwa mujibu wa Katiba ya CUF 1992[Toleo 2014] Ibara ya 98(1) na (2) imewateua wanachama wa CUF wafuatao
KUJAZA NAFASI NA KUWA WAJUMBE WA BODI YA WADHAMINI YA THE CIVIC UNITED FRONT [CUF-CHAMA CHA WANANCHI]. WALIOTEULIWA NI;
1. ABDALLAH SAID KHATAU-(ME)
2. ALI MBARAKA SULEIMAN-(ME)
3. YOHANA MBELWA-(ME)
4. MOHAMED NASSOR MOHAMED-(ME)
5. DR. JUMA AMEIR MUCHI-(ME)
6. ZUMBA SHOMARI KIPANDUKA-(ME)
7. MWANAWETU SAID ZARAFI-(KE)
8. MWANA MASOUD ALI-(KE)
9. BLANDINA OBAS MWASABWITE-(KE)
HAKI SAWA KWA WOTE SALIM BIMANI MKURUGENZI HABARI. +255 777414112 +255 655314112
7:10 AM

THE CIVIC UNITED FRONT
(CUF- Chama Cha Wananchi)
Office of the Secretary General
P.O. BOX 3637, Zanzibar, Tanzania
TAARIFA KWA UMMA NA VYOMBO VYA HABARI
Imetolewa Leo tarehe 26/1/2017
Na kurugenzi ya Haki za binaadamu na Sheria
KUHUSU MIAKA 16 YA KUMBUKUMBU YA MAUAJI NA UKIUKWAJI MKUBWA WA HAKI ZA BINAADAMU ULIOFANYIKA TAREHE 26-27, JANUARY, 2001
THE CIVIC UNITED FRONT (CUF-Chama Cha Wananchi) kinawatangazia wanaCUF, wapenzi na watanzania kwa ujumla kuwa kesho tarehe 27 January, 2017 ni siku ya kuadhimisha miaka 16 ya kumbukumbu ya mauaji na ukiukwaji wa haki za binaadamu uliofanya na vyombo vya dola dhidi ya wanachama na wafuasi CUF waliojitokeza katika maandamano ya kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2000, pamoja na kudai kupatikana kwa katiba mpya, na Tume Huru za Uchaguzi –NEC na ZEC. Maandamano hayo yalipingwa na jeshi la polisi na kwa kutumia nguvu kubwa kuyazuia yalisababisha mauaji ya wafuasi wa CUF takribani 45 waliotambuliwa na tume ya Hashimu Mbita huku CUF tukikusanya takwimu za mauaji ya wanachama 73 ambao walipigwa risasi za moto na jeshi la polisi ambalo kwa wakati huo lilikuwa likiongozwa na IGP Omari Mahita na waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mohamed Seif Khatibu, chini ya serikali ya awamu ya tatu iliyokuwa inaoongozwa na Rais Benjamini Mkapa na Makamu wake Marehemu Dokta Omar Ali Juma. Ghasia hizo zilisababisha Uharibifu mkubwa wa mali za wananchi kwa uporaji wa makusudi uliofanywa na vyombo vya dola na vikosi vya SMZ maarufu kwa wakati ule Janjawid, zaidi ya watu 1800 walijeruhiwa vibaya na wengine kupata ulemavu wa kudumu. Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu, Tanzania ilizalisha wakimbizi wa kisiasa zaidi ya 4000 ambao walikimbilia katika kambi za ukimbizi Mombasa nchini Kenya, na wengine kukimbilia Somalia katika kambi ya Daadab.
MARIDHIANO NA MUAFAKA WA KISIASA ZANZIBAR;
JUHUDI ZA MAALIM SEIF SHARIF HAMAD NA RAIS MSTAAFU Dk. AMANI ABEID KARUME KUWALETA WAZANZIBAR KUWA KITU KIMOJA:
Ni kutokana na Juhudi za Maalim Seif Sharif Hamad na Dk Amani Abeid Karume ambao walipata ridhaa na ushirikiano wa kutosha kutoka kwa wazanzibari waliweza kuirejesha Zanzibar katika hali ya amani na utulivu baada ya uhasama uliodumu kwa kipindi kirefu miongoni mwa wananchi. Mwafaka wa kwanza na baadae uratibu wa kufanyika kwa kura ya maoni (referendum) na kutengenezwa muundo wa serikali ya umoja wa kitaifa (Government of National Unite-GNU) yaliyorasimishwa kikatiba ni mafanikio na hatua kubwa ya kisiasa, kiutawala, kijamii, kiuchumi, na kiusalama iliyofanikiwa kupatikana kutokana na hekima na busara za viongozi wetu hao. Viongozi hao walitanguliza maslahi ya wazanzibari na watanzania kwa ujumla mbele na kuweka kando ubinafsi, chuki, ubaguzi, na tamaa ya madaraka. Viongozi hawa wanapaswa kuheshimiwa na kuenziwa kutokana na juhudi hii kubwa waliyoifanya kuitoa Zanzibar katika dimbwi la uhasama na mtafaruku mkubwa wa kisiasa na kijamii miongoni mwa wananchi. Ama kwa hakika Mashujaa hawa wanapaswa kuheshimiwa na kila Mtanzania mpenda maendeleo, kwani hali ya kisiasa Zanzibar ilikuwa imechafuka na ilikuwa haitoi fursa ya kutosha kwa ustawi mzuri na maendeleo endelevu.
WAHAFIDHINA WA SERIKALI YA CCM WAMESHINDWA KUJIFUNZA NA KUTAKA KUTUREJESHA TULIKOTOKA:
Wakati kesho tukiadhimisha kumbukumbu hii kwa huzuni na majonzi makubwa ya kupotelewa kwa ndugu zetu na madhila waliyoyapata wazanzibari kutokana na kadhia hiyo, Kwa maksudi Wazanzibari wamerejeshwa tena katika mgogoro wa kisiasa na kusababisha uhasama, chuki na mkwamo wa maendeleo ya kiuchumi, kijamii na wananchi wanaishi kwa hofu kubwa kuchelea usalama wao kutokana na vitendo vinavyofanywa na vyombo vya dola na vikosi vya SMZ (Mazombi). Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi-ZEC, Jecha Salum Jecha ameirejesha nchi yetu katika zahama kubwa baada ya kushinikizwa na wahafidhina wa CCM kinyume cha matakwa ya kikatiba na sheria za uchaguzi kufuta matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar uliofanyika Oktoba 25, 2015 siku tatu baada ya uchaguzi kufanyika na baadae kutangaza kurejewa kwa uchaguzi mwingine mpya tarehe 20 Machi, 2016. Huku Waangalizi wa ndani na wa wakimataifa walishuhudia mchakato mzima wa uchaguzi huo na kuridhishwa kuwa ulikuwa huru na haki. Matokeo hayo yalikipa ushindi mkubwa chama cha CUF na wazanzibari walimchagua kipenzi chao Maalim Seif Sharif Hamad kuwa Rais wao.
Wazanzibari wameendelea kupata madhila makubwa ikiwemo kupigwa, kubambikiziwa kesi, kuharibiwa mali zao, kuchomewa nyumba zao na mazao yao mashambani, sera za ubaguzi zimerejeshwa upya na vijana wa CCM (UVCCM) vitendo hivyo vinafanywa mbele ya viongozi wa chama chao na serikali bila kukemea; tumeshuhudia watu wakiitwa machotara na mahizbu, nakadhalika; ni kutokana na juhudi, hekima na busara za viongozi wa CUF, na Maalim Seif Sharif Hamad Wananchi wa Zanzibar wameendelea kuwa watulivu, na wenye subira. Hata hivyo, Subira na uvumilivu una kikomo chake. Viashiria vya vitendo vya kuturejesha katika matukio ya January 27 mwaka 2001 yanapaswa kupingwa na kila Mzanzibari na Mtanzania mpenda amani, na maendeleo ya nchi yetu. Bado tuna deni kubwa la kuwahudumia mayatima na wajane waliotokana na mauaji hayo.
MATUMIZI MAKUBWA YA NGUVU ZA DOLA KATIKA UCHAGUZI WA MAREJEO KATIKA JIMBO LA DIMANI;
Kitendo cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi –NEC kushindwa kuusimamia uchaguzi huu kwa misingi ya haki, huru na kuzingatia sheria na taratibu za uendeshaji wa uchaguzi ni kiashiria tosha cha kusudio la kusababisha maafa makubwa katika nchi yetu kwa wakati ujao kama hali hiyo haitarekebishwa. Uchaguzi unaendeshwa kwa njia ya vitisho na wananchi kujengewa hofu na vyombo vya dola. Hii ni baada ya miaka 50 ya kujitawala bado serikali ya CCM inatumia dola kulazimisha kushinda uchaguzi. Wananchi wa jimbo la Dimani wamenyimwa haki yao ya kikatiba ya kumchagua mbunge wao. Uchaguzi umevamiwa na vyombo vya ulinzi, na vikosi vya SMZ. Tunafahamu kuwa uchafuzi wa demokrasia ndio sababu ya ghasia nyingi zinazotokea duniani. Tumeshuhudia katika uchaguzi wa Jimbo la Dimani masanduku ya kura yakipelekwa vituoni yakiwa yamejazwa kura, madaftari ya kupiga kura yalibadilishwa na wapiga kura halali wameondolewa, mawakala wengi walitolewa kwenye vyumba vya kupiga kura, wapiga kura na vitambulisho visivyo vyao, mapandikizi waliletwa kwa magari kwenye vituo kupiga kura wakisindikizwa na kulindwa na askari polisi, marehemu wapiga kura, wapiga kura kuingia kwenye chumba cha kupiga kura wakiwa na zaidi ya karatasi moja ya kupigia kura, fomu za majumuisho ya kura zaletwa vituoni na gari za polisi haya na mengine mengi ni miongoni mwa masuala ambayo kama si busara na hekima ya viongozi wetu isingezingatiwa nchi inaingizwa katika machafuko na ghasia kubwa. Matukio ya uharifu wa kupangwa kwa makusudi ni mengi, na yamekuwa yakifanyika kwa kuratibiwa na viongozi wa CCM kupitia askali wa vikosi vya SMZ maarufu Mazombi. Visiwa vyote viwili vya Zanzibar (Unguja na Pemba) vimekuwa ni waathirika wakubwa wa vitendo hivi vya kihalifu.
MUENDELEZO WA MATUKIO YA UKIUKWAJI WA HAKI ZA KIDEMOKRASIA TANZANIA BARA:
Hivi sasa kwa kasi kubwa vitendo vilivyozoeleka kufanywa visiwani Zanzibar, hivi vimehamia Tanzania bara, hii ni dalili tosha kuwa uelewa wa wananchi na nguvu ya umma imekuwa kubwa dhidi ya utawala wa mabavu wa serikali ya CCM. Shughuli za kisiasa za vyama vya siasa zinazuiliwa kinyume na katiba na sheria za nchi, viongozi wa vyama vya siasa wanakamatwa hovyo, kufunguliwa mashataka ya kubambikizwa na wengine kufungwa magerezani na au kunyimwa dhamana kwa makusudi, wakati haya yanaendelea kwa upinzani pekee haijawahi kuonekana hili likitokea kwa viongozi wa CCM wanaojulikana kwa uhalifu wanaofanya. Hivi karibuni kumekuwa na matukio mpaka ya utekaji wa viongozi wa CUF, wanachama kupigwa visu ndani ya mahakama lakini hakuna hatua zozote zinazochukuliwa kwa wahalifu hao mbali na jeshi la polisi kufungua jalada la mashauri hayo na au wakati mwingine kushuhudia uhalifu huo unapotokea. Hivi ni viashiria vya hatari kwa ustawi wa demokrasia nchini na inatishia usalama na amani ya wananchi.
Mwisho:
1. CUF-Chama cha Wananchi kinalaani mauaji ya raia wasio na hatia na vitendo vyote vya ukiukwaji wa haki za binaadamu vilivyofanywa na serikali ya CCM. Wananchi ambao walikuwa wanatekeleza haki yao ya kikatiba na kidemokrasia. Tunatoa wito na kuitanabaisha serikali ya CCM na Amiri jeshi Mkuu Rais Magufuli kutofanyia mzaha suala hili la matumizi makubwa ya nguvu za dola katika kuendesha shughuli za kidemokrasia na uchaguzi katika nchi yetu. Jeshi la Polisi limeshindwa kutekeleza wajibu wake kwa misingi ya haki, sheria na uadilifu; na badala yake limekuwa likitumika kama mkono wa kulazimisha ushindi wa CCM katika uchaguzi na kufanya kazi zake kisiasa zaidi badala ya kutanguliza uzalendo na weledi.
2. Tunatoa tahadhari kwa serikali ya CCM kuwa wananchi wamechoka uonevu na ukiukwaji wa haki za binaadamu. Wamechoka kunyanyaswa na kushindwa kuheshimiwa kwa mfumo wa siasa za vyama vingi nchini, misingi ya demokrasia na chaguzi zilizo huru na haki. Serikali ya CCM na vyombo vya dola visiirejeshe nchi katika matukio yaliyotokea January 26-27, 2001 na kusababisha umwagaji wa damu na mauaji ya raia wasio na hatia. Nchi hii wataitumbukiza katika maafa makubwa.
3. Chama cha CUF kitaendelea na juhudi zake za kuhakikisha kuwa migogoro ya kisiasa ya inapatiwa ufumbuzi kwa kutumia njia ya kidemkrasia na amani, na kuwaunganisha wazanzibari na watanzania wote kwa ujumla kuwa kitu kimoja kutanguliza maslahi mapana ya nchi yetu na Taifa kwa ujumla, kwa kuhamasisha na kusimamia kujengwa umoja na mshikamano wa dhati kwa mustakbali mwema wa kizazi cha sasa na kijacho.
4. Tunatoa wito na shukrani za pekee kwa viongozi wetu wote, wanachama, wapenzi na wananchi kwa ujumla, makhsusi kwa wakaazi wa Visiwa vya Unguja na Pemba kwa uungwana, ustahamilivu wao ambao unadhihirisha ukomavu wa hali ya juu wa kisiasa, licha ya hujuma, mauaji, uchokozi na usumbufu wa makusudi uliofanywa na Jeshi la Polisi na vyombo vya dola pamoja na vikosi vya ulinzi tarehe 26-27 January, 2001 na vinavyoendelea kufanywa dhidi yao hivi sasa.
5. THE CIVIC UNITED FRONT (Chama Cha wananchi) kitaendelea kushirikiana na vyama vingine vya siasa, wadau mbalimbali ambao wanaunga mkono kuheshimiwa kwa demokrasia na misingi ya utawala bora kuhakikisha kuwa serikali ya CCM inaheshimu misingi ya demokrasia na watanzania tunapata tume huru za uchaguzi na katiba inayotokana na ridhaa ya watanzania wenyewe. Madai haya yanaungwa mkono na Jumuiya za kimataifa ambazo zilishiriki katika uangalizi wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 na katika ripoti ya waangalizi wa Jumuiya ya Ulaya (EU EOM ELECTION OBSERVATIONS REPORT) walipendekeza utekelezwaji wa masuaa kadhaa kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ikiwa ni pamoja na;
• kuwepo kwa Tume Huru ya Uchaguzi Zanzibar na Tanzania Bara (NEC na ZEC).
• Kupatikana haki ya wagombea binafsi katika uchaguzi wowote wa Muungano au Zanzibar.
• Kuruhusu haki ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais kisheria.
• Haki ya vyama vya siasa kuunda umoja wa kiuchaguzi.
• Kuangalia upya sheria ya makosa ya mtandao ya mwaka 2015.
• Kuendelezwa kwa muundo wa kudumu wa NEC katika ngazi za mikoa na marekebisho ya mchakato wa uteuzi wa makamishna wa uchaguzi wa NEC na ZEC.
• Kuangalia upya mchakato wa uandikishwaji wa wapiga kura Zanzibar ili kuhakikisha ushirikishi zaidi na imani ya wapiga kura.
• Kuhakikisha vyombo vya ulinzi na usalama vinafanya kazi zake kwa weledi, na kutotumika kisiasa na kuharibu michakato ya uchaguzi.
HAKI SAWA KWA WOTE
___________________________
PAVU ABDALLAH JUMA
NAIBU MKURUGENZI WA HAKI ZA BINAADAMU NA SHERIA
MAWASILIANO: 0773 110534/ 0777 414112
MIAKA 16 YA KUMBUKUMBU YA MAUAJI NA UKIUKWAJI MKUBWA WA HAKI ZA BINAADAMU ULIOFANYIKA TAREHE 26-27, JANUARY, 2001
THE CIVIC UNITED FRONT
(CUF- Chama Cha Wananchi)
Office of the Secretary General
P.O. BOX 3637, Zanzibar, Tanzania
TAARIFA KWA UMMA NA VYOMBO VYA HABARI
Imetolewa Leo tarehe 26/1/2017
Na kurugenzi ya Haki za binaadamu na Sheria
KUHUSU MIAKA 16 YA KUMBUKUMBU YA MAUAJI NA UKIUKWAJI MKUBWA WA HAKI ZA BINAADAMU ULIOFANYIKA TAREHE 26-27, JANUARY, 2001
THE CIVIC UNITED FRONT (CUF-Chama Cha Wananchi) kinawatangazia wanaCUF, wapenzi na watanzania kwa ujumla kuwa kesho tarehe 27 January, 2017 ni siku ya kuadhimisha miaka 16 ya kumbukumbu ya mauaji na ukiukwaji wa haki za binaadamu uliofanya na vyombo vya dola dhidi ya wanachama na wafuasi CUF waliojitokeza katika maandamano ya kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2000, pamoja na kudai kupatikana kwa katiba mpya, na Tume Huru za Uchaguzi –NEC na ZEC. Maandamano hayo yalipingwa na jeshi la polisi na kwa kutumia nguvu kubwa kuyazuia yalisababisha mauaji ya wafuasi wa CUF takribani 45 waliotambuliwa na tume ya Hashimu Mbita huku CUF tukikusanya takwimu za mauaji ya wanachama 73 ambao walipigwa risasi za moto na jeshi la polisi ambalo kwa wakati huo lilikuwa likiongozwa na IGP Omari Mahita na waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mohamed Seif Khatibu, chini ya serikali ya awamu ya tatu iliyokuwa inaoongozwa na Rais Benjamini Mkapa na Makamu wake Marehemu Dokta Omar Ali Juma. Ghasia hizo zilisababisha Uharibifu mkubwa wa mali za wananchi kwa uporaji wa makusudi uliofanywa na vyombo vya dola na vikosi vya SMZ maarufu kwa wakati ule Janjawid, zaidi ya watu 1800 walijeruhiwa vibaya na wengine kupata ulemavu wa kudumu. Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu, Tanzania ilizalisha wakimbizi wa kisiasa zaidi ya 4000 ambao walikimbilia katika kambi za ukimbizi Mombasa nchini Kenya, na wengine kukimbilia Somalia katika kambi ya Daadab.
MARIDHIANO NA MUAFAKA WA KISIASA ZANZIBAR;
JUHUDI ZA MAALIM SEIF SHARIF HAMAD NA RAIS MSTAAFU Dk. AMANI ABEID KARUME KUWALETA WAZANZIBAR KUWA KITU KIMOJA:
Ni kutokana na Juhudi za Maalim Seif Sharif Hamad na Dk Amani Abeid Karume ambao walipata ridhaa na ushirikiano wa kutosha kutoka kwa wazanzibari waliweza kuirejesha Zanzibar katika hali ya amani na utulivu baada ya uhasama uliodumu kwa kipindi kirefu miongoni mwa wananchi. Mwafaka wa kwanza na baadae uratibu wa kufanyika kwa kura ya maoni (referendum) na kutengenezwa muundo wa serikali ya umoja wa kitaifa (Government of National Unite-GNU) yaliyorasimishwa kikatiba ni mafanikio na hatua kubwa ya kisiasa, kiutawala, kijamii, kiuchumi, na kiusalama iliyofanikiwa kupatikana kutokana na hekima na busara za viongozi wetu hao. Viongozi hao walitanguliza maslahi ya wazanzibari na watanzania kwa ujumla mbele na kuweka kando ubinafsi, chuki, ubaguzi, na tamaa ya madaraka. Viongozi hawa wanapaswa kuheshimiwa na kuenziwa kutokana na juhudi hii kubwa waliyoifanya kuitoa Zanzibar katika dimbwi la uhasama na mtafaruku mkubwa wa kisiasa na kijamii miongoni mwa wananchi. Ama kwa hakika Mashujaa hawa wanapaswa kuheshimiwa na kila Mtanzania mpenda maendeleo, kwani hali ya kisiasa Zanzibar ilikuwa imechafuka na ilikuwa haitoi fursa ya kutosha kwa ustawi mzuri na maendeleo endelevu.
WAHAFIDHINA WA SERIKALI YA CCM WAMESHINDWA KUJIFUNZA NA KUTAKA KUTUREJESHA TULIKOTOKA:
Wakati kesho tukiadhimisha kumbukumbu hii kwa huzuni na majonzi makubwa ya kupotelewa kwa ndugu zetu na madhila waliyoyapata wazanzibari kutokana na kadhia hiyo, Kwa maksudi Wazanzibari wamerejeshwa tena katika mgogoro wa kisiasa na kusababisha uhasama, chuki na mkwamo wa maendeleo ya kiuchumi, kijamii na wananchi wanaishi kwa hofu kubwa kuchelea usalama wao kutokana na vitendo vinavyofanywa na vyombo vya dola na vikosi vya SMZ (Mazombi). Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi-ZEC, Jecha Salum Jecha ameirejesha nchi yetu katika zahama kubwa baada ya kushinikizwa na wahafidhina wa CCM kinyume cha matakwa ya kikatiba na sheria za uchaguzi kufuta matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar uliofanyika Oktoba 25, 2015 siku tatu baada ya uchaguzi kufanyika na baadae kutangaza kurejewa kwa uchaguzi mwingine mpya tarehe 20 Machi, 2016. Huku Waangalizi wa ndani na wa wakimataifa walishuhudia mchakato mzima wa uchaguzi huo na kuridhishwa kuwa ulikuwa huru na haki. Matokeo hayo yalikipa ushindi mkubwa chama cha CUF na wazanzibari walimchagua kipenzi chao Maalim Seif Sharif Hamad kuwa Rais wao.
Wazanzibari wameendelea kupata madhila makubwa ikiwemo kupigwa, kubambikiziwa kesi, kuharibiwa mali zao, kuchomewa nyumba zao na mazao yao mashambani, sera za ubaguzi zimerejeshwa upya na vijana wa CCM (UVCCM) vitendo hivyo vinafanywa mbele ya viongozi wa chama chao na serikali bila kukemea; tumeshuhudia watu wakiitwa machotara na mahizbu, nakadhalika; ni kutokana na juhudi, hekima na busara za viongozi wa CUF, na Maalim Seif Sharif Hamad Wananchi wa Zanzibar wameendelea kuwa watulivu, na wenye subira. Hata hivyo, Subira na uvumilivu una kikomo chake. Viashiria vya vitendo vya kuturejesha katika matukio ya January 27 mwaka 2001 yanapaswa kupingwa na kila Mzanzibari na Mtanzania mpenda amani, na maendeleo ya nchi yetu. Bado tuna deni kubwa la kuwahudumia mayatima na wajane waliotokana na mauaji hayo.
MATUMIZI MAKUBWA YA NGUVU ZA DOLA KATIKA UCHAGUZI WA MAREJEO KATIKA JIMBO LA DIMANI;
Kitendo cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi –NEC kushindwa kuusimamia uchaguzi huu kwa misingi ya haki, huru na kuzingatia sheria na taratibu za uendeshaji wa uchaguzi ni kiashiria tosha cha kusudio la kusababisha maafa makubwa katika nchi yetu kwa wakati ujao kama hali hiyo haitarekebishwa. Uchaguzi unaendeshwa kwa njia ya vitisho na wananchi kujengewa hofu na vyombo vya dola. Hii ni baada ya miaka 50 ya kujitawala bado serikali ya CCM inatumia dola kulazimisha kushinda uchaguzi. Wananchi wa jimbo la Dimani wamenyimwa haki yao ya kikatiba ya kumchagua mbunge wao. Uchaguzi umevamiwa na vyombo vya ulinzi, na vikosi vya SMZ. Tunafahamu kuwa uchafuzi wa demokrasia ndio sababu ya ghasia nyingi zinazotokea duniani. Tumeshuhudia katika uchaguzi wa Jimbo la Dimani masanduku ya kura yakipelekwa vituoni yakiwa yamejazwa kura, madaftari ya kupiga kura yalibadilishwa na wapiga kura halali wameondolewa, mawakala wengi walitolewa kwenye vyumba vya kupiga kura, wapiga kura na vitambulisho visivyo vyao, mapandikizi waliletwa kwa magari kwenye vituo kupiga kura wakisindikizwa na kulindwa na askari polisi, marehemu wapiga kura, wapiga kura kuingia kwenye chumba cha kupiga kura wakiwa na zaidi ya karatasi moja ya kupigia kura, fomu za majumuisho ya kura zaletwa vituoni na gari za polisi haya na mengine mengi ni miongoni mwa masuala ambayo kama si busara na hekima ya viongozi wetu isingezingatiwa nchi inaingizwa katika machafuko na ghasia kubwa. Matukio ya uharifu wa kupangwa kwa makusudi ni mengi, na yamekuwa yakifanyika kwa kuratibiwa na viongozi wa CCM kupitia askali wa vikosi vya SMZ maarufu Mazombi. Visiwa vyote viwili vya Zanzibar (Unguja na Pemba) vimekuwa ni waathirika wakubwa wa vitendo hivi vya kihalifu.
MUENDELEZO WA MATUKIO YA UKIUKWAJI WA HAKI ZA KIDEMOKRASIA TANZANIA BARA:
Hivi sasa kwa kasi kubwa vitendo vilivyozoeleka kufanywa visiwani Zanzibar, hivi vimehamia Tanzania bara, hii ni dalili tosha kuwa uelewa wa wananchi na nguvu ya umma imekuwa kubwa dhidi ya utawala wa mabavu wa serikali ya CCM. Shughuli za kisiasa za vyama vya siasa zinazuiliwa kinyume na katiba na sheria za nchi, viongozi wa vyama vya siasa wanakamatwa hovyo, kufunguliwa mashataka ya kubambikizwa na wengine kufungwa magerezani na au kunyimwa dhamana kwa makusudi, wakati haya yanaendelea kwa upinzani pekee haijawahi kuonekana hili likitokea kwa viongozi wa CCM wanaojulikana kwa uhalifu wanaofanya. Hivi karibuni kumekuwa na matukio mpaka ya utekaji wa viongozi wa CUF, wanachama kupigwa visu ndani ya mahakama lakini hakuna hatua zozote zinazochukuliwa kwa wahalifu hao mbali na jeshi la polisi kufungua jalada la mashauri hayo na au wakati mwingine kushuhudia uhalifu huo unapotokea. Hivi ni viashiria vya hatari kwa ustawi wa demokrasia nchini na inatishia usalama na amani ya wananchi.
Mwisho:
1. CUF-Chama cha Wananchi kinalaani mauaji ya raia wasio na hatia na vitendo vyote vya ukiukwaji wa haki za binaadamu vilivyofanywa na serikali ya CCM. Wananchi ambao walikuwa wanatekeleza haki yao ya kikatiba na kidemokrasia. Tunatoa wito na kuitanabaisha serikali ya CCM na Amiri jeshi Mkuu Rais Magufuli kutofanyia mzaha suala hili la matumizi makubwa ya nguvu za dola katika kuendesha shughuli za kidemokrasia na uchaguzi katika nchi yetu. Jeshi la Polisi limeshindwa kutekeleza wajibu wake kwa misingi ya haki, sheria na uadilifu; na badala yake limekuwa likitumika kama mkono wa kulazimisha ushindi wa CCM katika uchaguzi na kufanya kazi zake kisiasa zaidi badala ya kutanguliza uzalendo na weledi.
2. Tunatoa tahadhari kwa serikali ya CCM kuwa wananchi wamechoka uonevu na ukiukwaji wa haki za binaadamu. Wamechoka kunyanyaswa na kushindwa kuheshimiwa kwa mfumo wa siasa za vyama vingi nchini, misingi ya demokrasia na chaguzi zilizo huru na haki. Serikali ya CCM na vyombo vya dola visiirejeshe nchi katika matukio yaliyotokea January 26-27, 2001 na kusababisha umwagaji wa damu na mauaji ya raia wasio na hatia. Nchi hii wataitumbukiza katika maafa makubwa.
3. Chama cha CUF kitaendelea na juhudi zake za kuhakikisha kuwa migogoro ya kisiasa ya inapatiwa ufumbuzi kwa kutumia njia ya kidemkrasia na amani, na kuwaunganisha wazanzibari na watanzania wote kwa ujumla kuwa kitu kimoja kutanguliza maslahi mapana ya nchi yetu na Taifa kwa ujumla, kwa kuhamasisha na kusimamia kujengwa umoja na mshikamano wa dhati kwa mustakbali mwema wa kizazi cha sasa na kijacho.
4. Tunatoa wito na shukrani za pekee kwa viongozi wetu wote, wanachama, wapenzi na wananchi kwa ujumla, makhsusi kwa wakaazi wa Visiwa vya Unguja na Pemba kwa uungwana, ustahamilivu wao ambao unadhihirisha ukomavu wa hali ya juu wa kisiasa, licha ya hujuma, mauaji, uchokozi na usumbufu wa makusudi uliofanywa na Jeshi la Polisi na vyombo vya dola pamoja na vikosi vya ulinzi tarehe 26-27 January, 2001 na vinavyoendelea kufanywa dhidi yao hivi sasa.
5. THE CIVIC UNITED FRONT (Chama Cha wananchi) kitaendelea kushirikiana na vyama vingine vya siasa, wadau mbalimbali ambao wanaunga mkono kuheshimiwa kwa demokrasia na misingi ya utawala bora kuhakikisha kuwa serikali ya CCM inaheshimu misingi ya demokrasia na watanzania tunapata tume huru za uchaguzi na katiba inayotokana na ridhaa ya watanzania wenyewe. Madai haya yanaungwa mkono na Jumuiya za kimataifa ambazo zilishiriki katika uangalizi wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 na katika ripoti ya waangalizi wa Jumuiya ya Ulaya (EU EOM ELECTION OBSERVATIONS REPORT) walipendekeza utekelezwaji wa masuaa kadhaa kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ikiwa ni pamoja na;
• kuwepo kwa Tume Huru ya Uchaguzi Zanzibar na Tanzania Bara (NEC na ZEC).
• Kupatikana haki ya wagombea binafsi katika uchaguzi wowote wa Muungano au Zanzibar.
• Kuruhusu haki ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais kisheria.
• Haki ya vyama vya siasa kuunda umoja wa kiuchaguzi.
• Kuangalia upya sheria ya makosa ya mtandao ya mwaka 2015.
• Kuendelezwa kwa muundo wa kudumu wa NEC katika ngazi za mikoa na marekebisho ya mchakato wa uteuzi wa makamishna wa uchaguzi wa NEC na ZEC.
• Kuangalia upya mchakato wa uandikishwaji wa wapiga kura Zanzibar ili kuhakikisha ushirikishi zaidi na imani ya wapiga kura.
• Kuhakikisha vyombo vya ulinzi na usalama vinafanya kazi zake kwa weledi, na kutotumika kisiasa na kuharibu michakato ya uchaguzi.
HAKI SAWA KWA WOTE
___________________________
PAVU ABDALLAH JUMA
NAIBU MKURUGENZI WA HAKI ZA BINAADAMU NA SHERIA
MAWASILIANO: 0773 110534/ 0777 414112
9:39 AM

Vyama sita vya upinzani vilivyokaa kikao chao Zanzibar vimesema mwaka wa 2019 ni mwaka ambao watapambana kwa hali zote katika kudai haki zao wanazonyimwa kinyume na sheria za Serikali ya Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania. Kauli hiyo ilitolewa na Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF Maalim Seif Shariff Hamad wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya kumaliza kikao hicho cha siku tatu kilichofanyika Zanzibar kwa niaba ya vyama hivyo.
MKUTANO WA PAMOJA WA VYAMA VYA UPINZANI WAFANYIKA HUKO ZANZIBAR

Vyama sita vya upinzani vilivyokaa kikao chao Zanzibar vimesema mwaka wa 2019 ni mwaka ambao watapambana kwa hali zote katika kudai haki zao wanazonyimwa kinyume na sheria za Serikali ya Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania. Kauli hiyo ilitolewa na Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF Maalim Seif Shariff Hamad wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya kumaliza kikao hicho cha siku tatu kilichofanyika Zanzibar kwa niaba ya vyama hivyo.
10:06 PM
Mazungumzo ya Katibu Mkuu WA CUF Maalim Seif na Club ya Waandishi wa Habari Mwanza leo aeleza msimamo na wapi tunaelekea kama chama cha CUF pamoja na umoja wa UKAWA anasema UKAWA upo hakuna wa kuuvunjani matakwa ya Watanzania
Dondoo za aliyoyasema Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad katika mazungumzo yake na Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (Union of Press Clubs of Tanzania) wenye makao makuu Mwanza, leo tarehe 24 Mei, 2018
● Serikali iheshimu mawazo ya wananchi, waachwe huru kutoa mawazo yao.
● Katika maandamano ya mwaka 2001 wananchi wengi sana waliuawa na vyombo vya dola tofauti na idadi ya watu 45 waliotangazwa na tume iliyochunguza.
● Maridhiano ya mwaka 2010 hayakuwa ya Maalim Seif na Karume, yalikuwa ya Wazanzibari wote na ndiyo maana yalithibitishwa na Baraza la Wawakilishi na Wananchi wote kupitia kura ya maoni.
● Wapo viongozi wa CCM wenye nia mbaya ambao hawataki maridhiano, wanaona maridhiano yanazuia mipango yao binafsi ya uongozi, hao ndiyo wanatukwamisha.
● Zanzibar itajengwa na vijana waliofundishwa upendo na siyo chuki, wapo viongozi wanawaaminisha vijana wa vyama vyao kuwa hawa wakiingia madarakani watawaleta masultani, watapinga mapinduzi, watapinga maendeleo. Vijana hao wanapotoshwa.
● Uchaguzi wa Oktoba 2015 ulikuwa huru na wa haki na waangalizi wote wa ndani na nje ya nchi walithibitisha kwamba Zanzibar ilikuwa imefanya uchaguzi wa kwanza huru na wa haki.
● CUF ilishinda uchaguzi wa Oktoba 2015 kwa uwazi na bila ubishi, tulikuwa na matokeo kutoka kwenye kila kituo "polling station". Tulipojumuisha yote tukakuta nimemshinda Dk. Shein kwa kura zaidi ya 20,000.
● Wenzetu walipoona CUF tumeshinda, wakamwamrisha Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (ZEC) afute matokeo, ndugu waandishi, Mwenyekiti huyo wa ZEC hana mamlaka ya kikatiba wala ya kisheria ya kufuta uchaguzi.
● Mimi ni mtu nisiyependa kabisa vurugu, baada ya hatua ile ya ZEC nikamwandikia barua Dk. Shein kumuomba tukutane, akanijibu tukutane na wajumbe wengine, nikakubali, tukakutana.
● Wakati tumeanza kukutana ili kujadiliana, wenzetu wakatuzunguka wakajitangazia uchaguzi mwingine mpya bila kujali kuwa Katiba ya Zanzibar haina kipengele kinachoruhusu kurudiwa kwa uchaguzi.
● Kama CUF ingeshiriki kwenye uchaguzi wa marudio wa tarehe 20 Machi 2016 ulioitishwa kinyume cha katiba ingekuwa inashiriki kuvunja katiba na sheria za nchi.
● Pia, chama chetu kilitoa wito kwa Wazanzibari wote wasiende kupiga kura, ndiyo maana kati ya wapiga kura wote 350,000 walioenda kupiga kura hawafiki 25,000.
● Baada ya kuwa nje ya serikali chama chetu kimezidi kuimarika, jambo msilolijua ni kuwa uamuzi wowote wa CUF huwa unaenda na wanachama na wafuasi wake, hata uamuzi wa kukataa kushiriki uchaguzi haramu umeungwa mkono na wanachama wetu wote.
● Hatujutii kabisa kuwa nje ya serikali, hatukuwa tunamtafutia cheo Maalim Seif, tulikuwa tunataka kuifanya Zanzibar iwe na maendeleo, iwe Singapore ya Afrika. Tulichokitaka ni kuongoza serikali siyo kuwa na Makamu wa Rais, tulikuwa na malengo makubwa sana.
● Wito wangu kwa Rais Magufuli tukae na tujadiliane kuhusu masuala muhimu ya Zanzibar.
[5/25, 12:32 AM] Philips: SEHEMU YA PILI:
Dondoo za aliyoyasema Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad katika mazungumzo yake na Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari (Union of Press Clubs of Tanzania), Mwanza, Alkhamis, 24 Mei, 2018:
● Kwa upande wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tume ya Uchaguzi ni tatizo kubwa sana. Wajumbe wa Tu me wanateuliwa na Rais wa nchi ambaye ni mwenyekiti wa chama. Tunalazimika kushiriki uchaguzi kwenye tume hizi kwa sababu haya ni mapambano.
● Sisi Zanzibar tunaingia kwenye tume hiyo hiyo na tumekuwa tunashinda maeneo mengi sana na lengo la kushiriki ni kuchukua serikali ili tuwe na uwezo wa kuunda tume ambayo itakuwa inatenda haki kwa vyama vyote.
● Nawahakikishia Watanzania wote kwamba mimi ni mtu ambaye sikati tamaa.
● Niliahidi kwamba ndani ya miezi mitatu tungekabidhiwa serikali kwa sababu kulikuwa na dalili hizo katika mchakato, lakini kwa sababu miongoni mwa wenzetu wamo ambao hawana nia njema ndiyo mkwamo unaanzia hapo lakini nina uhakika kwamba Dk. Shein hafiki 2020.
● Hata ubaguzi wa rangi wa Afrika ya Kusini ulidhaniwa utadumu milele, lakini uliondoka haraka na wananchi wakapata serikali yao, hata ubabe wa CCM Zanzibar una mwisho wake, na mwisho wake hauko mbali, hautaendelea hivi hivi.
● Sioni kama 2020 kutakuwa na uchaguzi Zanzibar ikiwa hali itabakia kama hivi ilivyo. Tumewapa CCM muda mrefu sana wa kushughulikia masuala haya, wasidhani kuwa wataendelea kutuhadaa, sisi siyo watoto wadogo, haitawezekana.
● Shein hana uwezo wowote, maamuzi yanafanywa na Magufuli, Shein anaamrishwa na kuambiwa tu. Magufuli ndiye mwenye ufunguo. Kwa hiyo siwezi kukaa na kuzungumza na Shein, hata mkono nilimnyima, siwezi kuzungumza na mtu asiye na mamlaka yoyote.
● Mwandishi; Kwa nini huzungumzi na Magufuli? Maalim Seif: Nimeshafanya juhudi mara kadhaa, Magufuli hataki, nimemuandikia hawajibu hata barua. Kwa hiyo Dk.Shein siyo chochote pale Zanzibar, yeye ni kibaraka tu aliyewekwa.
● Mwandishi: Lakini mbona mazungumzo yako na Karume yaliwezekana na kwa nini kwa Shein yanashindikana?
Maalim Seif: Karume si Shein, Karume akifanya maamuzi anayasimamia, anao uwezo wa kufanya maamuzi. Dk. Shein anaendeshwa, hana maamuzi yake.
● Kinachoendelea ndani ya CUF siyo mgogoro. Tatizo ni Lipumba peke yake kama mtu wala siyo tatizo la kitaasisi. Kwa hiyo CUF hakuna mgogoro ili kuna mtu ametumwa na CCM na dola kuja kuivuruga CUF.
● Muungano nauunga mkono, lakini muundo ndiyo unawapa shida Wazanzibari ambapo wanajihisi kuwa koloni la Watanganyika. Watanganyika wamejivika koti la Muungano, Zanzibar haishirikishwi kwenye Muungano kwa maana halisi na malengo ya kuuunda.
● Wakati wa Mchakato wa Katiba, mimi binafsi nilitoa maoni yangu kuunga mkono Muungano wa Mkataba na haya ni maoni ya Wazanzibari. Ziko nchi nyingi zinafuata mfumo huo.
● Lakini baada ya Tume ya Warioba kuja na maoni ya Serikali Tatu, sisi wa Mkataba tukasema tuache msimamo wetu ili tuunge mkono muundo uliopendekezwa na wananchi wa Serikali tatu. Kama Kikwete angesimamia mchakato wa katiba jambo hilo lingekwisha.
● Hali ya Zanzibar ni mbaya mno kiuchumi, serikali haramu ya Dk. Shein haina maono wala vision (dira). Mpango wa maendeleo wa 2020 umebaki kwenye makaratasi, kwenye utekelezaji hakuna kitu. Serikali imeshindwa kuwapa fursa vijana wa Zanzibar.
● Zanzibar ina fursa nyingi sana lakini kwenye miti hakuna wajenzi. Zanzibar inaweza kuwekeza kwenye viwanda vya huduma pamoja na utalii. Wanikabidhi serikali mwaka mmoja tu mtaiona Zanzibar ikiwa Singapore ya Afrika Mashariki.
● James Mapalala alitugeuka baada ya kudanganywa na dola kuwa Maalim Seif anawasiliana na serikali za Uarabuni na wana mpango wa kuchukua serikali na kuwaondoa Wakristo wote, alihadaiwa kupitia barua za kughushi zikionesha zimeandikwa na mimi.
● Mapalala alianza kuwapiga marufuku viongozi wa Zanzibar wasiingie bara na bara akaanza kuwafukuza viongozi mbalimbali bila kufuata utaratibu. Tukamwambia NO!, mambo haya yanafanywa kwa taratibu za vikao vya chama, siyo kwa maamuzi yako tu.
● Vikao vikamwita Mapalala akakataa. Tukaenda kwa Msajili Liundi. Liundi akatuambia itisheni Mkutano Mkuu wa Taifa mtatue matatizo yenu. Mapalala akakataa kuja kwenye Mkutano Mkuu, bahati nzuri Liundi alikuja na Mkutano ukachukua hatua zake.
● Hamad Rashid alikuwa anataka Ukatibu Mkuu wa chama, ni haki yake, akaambiwa subiri wakati wa uchaguzi, omba ukatibu mkuu. Badala yake akaanza kuzunguka mikoani kupiga kampeni za wazi za kuchaguliwa kuwa Katibu Mkuu wakati uchaguzi haujatangazwa.
● Kwenye ziara zake hizo Hamad Rashid akawa anamchafua Katibu Mkuu aliyepo. Akaitwa kwenye Kamati ya Utendaji ya Taifa kujieleza akakataa, akaitwa kwenye Baraza Kuu la Uongozi la Taifa akakataa, kwa hiyo vikao vikamchukulia hatua.
● Mgogoro huu wa Lipumba ni wa kupandikizwa. Bila kumung’unya maneno nasema katusaliti. Na bahati nzuri muasisi wa UKAWA ni Lipumba, UKAWA iliasisiwa Dodoma wakati wa Bunge la Katiba, Maalim Seif hakuwa mjumbe wa Bunge la Katiba.
● Viongozi wa vyama vyetu walikaa peke yao Dodoma wakasema lazima tushirikiane, hilo jina lenyewe la UKAWA kalipendekeza Prof. Lipumba na yeye ndiye alikuwa msemaji wa UKAWA.
● Mimi Katibu Mkuu wake hakunishirikisha hata kuiunda UKAWA lakini kwa sababu niliona ni jambo zuri nikaliunga mkono na kulisimamia, sikumlaumu mwenyekiti wangu kwa nini hukunishirikisha, baadaye akatugeuka.
● Ghafla Lipumba anakuja kutueleza kwenye Kamati ya Utendaji ya Taifa kuwa yeye anaacha Uenyekiti bila kujali kuwa tumo kwenye uchaguzi. Kapteni yumo kwenye mkondo wa maji, anaikimbia meli.
● Tukamuomba Lipumba aache kujiuzulu, wazee wakaja, viongozi wa dini zote wakaja kumuomba, kina mama, vijana, akashikilia msimamo wake kuwa anaacha uenyekiti.
● Lipumba aliposhikilia msimamo wake, Mimi nikawasihi wanachama kwamba huo ni uamuzi wake ni haki yake kwa hiyo msimtukane, mheshimuni. Huyu alikuwa Mwenyekiti wetu na kweli wanachama wakanisikiliza.
● Pamoja na Lipumba kujiuzulu bado tulimheshimu sana. Hata alipokuwa na Press Conference zake mimi nilikuwa natoa ruhusa atumie ukumbi wa chama. Vikao vingine muhimu vya Baraza Kuu la Uongozi tulikuwa tunamualika.
● Lengo la CCM lilikuwa ni kuisambaratisha UKAWA, UKAWA ni tishio kwa CCM na walidhani kuwa wakipata kiongozi mmoja wa juu wa UKAWA akajiuzulu na kutoka basi UKAWA itayumba na CUF itayumba. Halikutokea.
● Kuondoka kwa Lipumba hakukuiathiri CUF, kipindi Lipumba ni mwenyekiti wetu tulikuwa na Wabunge 2 au 0 upande wa Bara, hatukutwa na halmashauri hata moja na tulikuwa na madiwani wasiozidi 100.
● Baada ya Lipumba kutukimbia na kushiriki uchaguzi bila yeye CUF ikapata wabunge 10 bara, madiwani zaidi ya 300 na halmashauri zaidi ya 6.
● CCM na Dola wakaona kuondoka kwake hakukuiathiri CUF, ndipo wakamshawishi arejee, akaandika barua ya kutaka kurudi. Ni wapi duniani mliwahi kuona mtu anajiuzulu anakaa nje ya uongozi kwa mwaka mzima kisha anarejea uongozini, tena kwa nguvu?
● Serikali na CCM ndio wanamtumia Lipumba. Kwenye Uchaguzi wa wabunge wa EALA alipeleka mtu wake. Kamati ya Uongozi ya Bunge ikakaa ikaamua uchaguzi usifanywe kwa nafasi ya CUF. Spika akapigiwa simu na Ikulu na kuamrishwa kufanya uchaguzi.
● Lipumba amewafukuza wabunge 8 halali wa Viti Maalum wa CUF na kuweka wabunge wake kinyume na Katiba ya CUF na sheria za nchi. Haraka haraka wabunge wa Lipumba wakapokelewa na kukubaliwa na bunge. Kwa hiyo serikali na CCM wanamtumia.
● Lakini pia ili kujua kuwa wanamtumia, tazameni kuwa Lipumba anakwenda mikoani kufanya ziara na analindwa na Polisi. Katibu Mkuu halali anakwenda kufanya ziara kwenye mikoa ile ile anazuiwa na polisi wale wale. Tunahitaji ushahidi gani zaidi?
● Hoja kuwa tunapaswa kukaa meza moja na Lipumba haiwezekani. Lipumba ni msaliti. Adhabu ya Msaliti ni kubwa, huwezi kukaa naye meza moja. Katusaliti watanzania, katusaliti CUF, katusaliti UKAWA. Msaliti ni mtu hatari sana, siyo wa kumsogelea.
● Lipumba ameanza kufanyisha chaguzi feki za ndani ya chama bila kuheshimu kuwa kuna kesi mahakamani ili baadaye apate Mkutano Mkuu feki wamfukuze Katibu Mkuu. Katibu Mkuu huyu hafukuziki mpaka pale ambapo Mkutano Mkuu halali utaitishwa na CUF halisi.
● Lipumba amevamia Mkutano Mkuu wa CUF Ubungo bila kualikwa akisindikizwa na Polisi. Amevamia Ofisi Kuu za CUF Buguruni akisindikizwa na Polisi. Halafu nani anasema kuwa Lipumba hatumiwi na dola na CCM? Magufuli kajaa tele katika vurugu hili.
● Hoja kuwa Lipumba alijitoa kwa sababu hakukubaliana na mgombea Urais siyo ya kweli. Wakati ule Lipumba alishiriki kwenye mchakato wote wa kumpata mgombea wa UKAWA. Mwisho wakabakia wagombea wawili tu, yeye Lipumba na Dk. Slaa.
● Lipumba na Slaa wakaambiwa wakae chini waamue nani atasimama, wakashindwa kuelewana. Bahati nzuri Lowassa akaachwa na CCM, Lipumba mwenyewe ndiye alimfuata Lowassa, akamwambia inabidi uje kwenye UKAWA.
● Lipumba alimuomba James Mbatia amkutanishe na Lowassa. Aliyempeleka Lipumba hadi kwa Lowassa ni dereva wa Mbatia. Lipumba akamuomba Lowassa akijiunga UKAWA aingie kwenye chama kidogo kama NCCR.
● Hata katika kumkaribisha Lowassa kwenye UKAWA hadharani, Mkutano wa waandishi wa habari juu ya ajenda hiyo uliongozwa na Lipumba mwenyewe na ukafanyikia Ofisi Kuu ya CUF Buguruni.
● Kwenye mkutano ule wa kumtambulisha Lowassa waandishi mlimuuliza Lipumba, "huyu mnasema ni fisadi kwa nini mnampokea?" Lipumba akawajibu Lowassa siyo fisadi, ufisadi ni mfumo na akawauliza tangu Lowassa aache uwaziri Mkuu mwaka 2008 ufisadi umekwisha?
● Hoja ya kuwa Lipumba alichukizwa na Lowassa kuwa mgombea urais ni ya uongo. Lowassa alipojiunga UKAWA alionekana ana nguvu kubwa kwa wananchi kuliko wagombea wengine wote akiwemo Lipumba na automatically akawa na nafasi ya kugombea urais.
● Hata hivyo Lipumba angegombeaje Urais wakati kila uchaguzi kura zake zinashuka na mwaka 2010 alipata kura laki 6? Lipumba hakuwa anauzika tena. Tumekwenda mahakamani kwani tumeona ndiyo suluhisho la pekee. Na maamuzi ya mahakama sisi tutayapokea kama yalivyo.
● Tuliwezaje kuzungumza na adui mkubwa CCM na sasa tunashindwa kwa Lipumba? Lipumba ni adui na msaliti wa ndani. CCM ni adui ya nje. Ni rahisi sana kuzungumza na adui wa nje kuliko wa ndani. Adui wa ndani ni msaliti.
● Swali la uhitimu wangu Chuo Kikuu cha DSM mwaka 1975 na kufaulu kwa kiwango cha juu sana na kuombwa na Chuo kubakia kufundisha ni la kweli. Lakini siyo kwamba nilikataa kubaki Chuo kama nilivyoombwa.
● Nilipenda kubaki chuo kikuu nifundishe lakini Serikali yangu ya Zanzibar ambayo ndiyo ilinipeleka chuoni ilileta barua chuoni na kueleza menejimenti kwamba natakiwa kurudi Zanzibar, nikawa sina chaguo zaidi ya kutekeleza matakwa ya serikali.
● Katika CUF Maalim Seif ni kama alama tu, lakini kuna viongozi wengi wenye uwezo mkubwa sana. Viongozi hao ukiwaambia chukua nafasi ya Maalim yeye apumzike wanakwambia hatuwezi kuvaa viatu vyake lakini mimi nawaambia utafika wakati watavivaa tu.
● Hata kama Mungu atanichukua leo hii. Nawahakikishia kuwa CUF inao watu ambao watakichukua chama na kukipeleka mbele kikiwa imara. Lakini tuna programu maalumu za kuwapa mafunzo vijana wetu na wanawake.
● Kuhusu Serikali ya Magufuli, mimi nilikuwa na matumaini makubwa sana na serikali yake. Lakini kwa kadri siku zinavyokwenda navunjika moyo. Naweza kusapoti hatua za Magufuli kwenye maeneo machache sana moja kupambana na Ufisadi.
● Lakini juzi Rais Magufuli kanishangaza alipokuwa anapokea taarifa ya Kamati ya Dk. Bashiru Ally ya Mali za CCM akisema hatafukua makaburi wakati ripoti ile imejaa taarifa za ufisadi na mafisadi, amenishangaza sana. Hiyo ni dalili kuwa ameanza kuchoka.
● La pili nalomuunga mkono Magufuli ni kurejesha nidhamu serikalini, ingawa nidhamu yenyewe ni nidhamu ya woga. Lakini sasa naona anaanza kuchoka kidogo.
● Maeneo ambayo nadhani Magufuli na serikali yake hawafanyi vizuri ni mengi sana. Mojawapo ni Uchumi. Takwimu zao zinaonesha uchumi unakua kwa wastani wa asilimia 7 kwa mwaka, lakini ukija katika maisha ya Mtanzania ni magumu mno.
● Tangu Magufuli aingie madarakani, sarafu ya Tanzania inaporomoka. Deni la Taifa linakua kwa kasi, sasa limefikia Shilingi Trilioni 60, ndani ya miezi mitatu Januari – Machi 2018 deni hilo limeongezeka kwa trilioni 3 kwa mujibu wa Benki Kuu.
● 75% ya Watanzania ni Wakulima ukijumuisha wafugaji na wakulima, lakini serikali ya Magufuli imepeleka Shs 170 Bilioni tu ambazo ni chini ya asilimia 3 ya bajeti nzima. Is he serious? Huwezi kupata Tanzania ya viwanda kama unadharau kilimo.
● Katika awamu zote CCM wanabadilisha kaulimbiu za kilimo; Kilimo cha Kufa na kupona, Kilimo ni Uti wa Mgongo, Kilimo Kwanza..... Kwa Magufuli yeye mambo ya kilimo kayatupa huko kabisa, kaja na kauli mbiu mpya ya viwanda visivyo na mipango.
KATIBU MKUU WA CUF AWEKA WAZI MSIMAMO WA CHAMA CHA CUF
Mazungumzo ya Katibu Mkuu WA CUF Maalim Seif na Club ya Waandishi wa Habari Mwanza leo aeleza msimamo na wapi tunaelekea kama chama cha CUF pamoja na umoja wa UKAWA anasema UKAWA upo hakuna wa kuuvunjani matakwa ya Watanzania 
Dondoo za aliyoyasema Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad katika mazungumzo yake na Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (Union of Press Clubs of Tanzania) wenye makao makuu Mwanza, leo tarehe 24 Mei, 2018
● Serikali iheshimu mawazo ya wananchi, waachwe huru kutoa mawazo yao.
● Katika maandamano ya mwaka 2001 wananchi wengi sana waliuawa na vyombo vya dola tofauti na idadi ya watu 45 waliotangazwa na tume iliyochunguza.
● Maridhiano ya mwaka 2010 hayakuwa ya Maalim Seif na Karume, yalikuwa ya Wazanzibari wote na ndiyo maana yalithibitishwa na Baraza la Wawakilishi na Wananchi wote kupitia kura ya maoni.
● Wapo viongozi wa CCM wenye nia mbaya ambao hawataki maridhiano, wanaona maridhiano yanazuia mipango yao binafsi ya uongozi, hao ndiyo wanatukwamisha.
● Zanzibar itajengwa na vijana waliofundishwa upendo na siyo chuki, wapo viongozi wanawaaminisha vijana wa vyama vyao kuwa hawa wakiingia madarakani watawaleta masultani, watapinga mapinduzi, watapinga maendeleo. Vijana hao wanapotoshwa.
● Uchaguzi wa Oktoba 2015 ulikuwa huru na wa haki na waangalizi wote wa ndani na nje ya nchi walithibitisha kwamba Zanzibar ilikuwa imefanya uchaguzi wa kwanza huru na wa haki.
● CUF ilishinda uchaguzi wa Oktoba 2015 kwa uwazi na bila ubishi, tulikuwa na matokeo kutoka kwenye kila kituo "polling station". Tulipojumuisha yote tukakuta nimemshinda Dk. Shein kwa kura zaidi ya 20,000.
● Wenzetu walipoona CUF tumeshinda, wakamwamrisha Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (ZEC) afute matokeo, ndugu waandishi, Mwenyekiti huyo wa ZEC hana mamlaka ya kikatiba wala ya kisheria ya kufuta uchaguzi.
● Mimi ni mtu nisiyependa kabisa vurugu, baada ya hatua ile ya ZEC nikamwandikia barua Dk. Shein kumuomba tukutane, akanijibu tukutane na wajumbe wengine, nikakubali, tukakutana.
● Wakati tumeanza kukutana ili kujadiliana, wenzetu wakatuzunguka wakajitangazia uchaguzi mwingine mpya bila kujali kuwa Katiba ya Zanzibar haina kipengele kinachoruhusu kurudiwa kwa uchaguzi.
● Kama CUF ingeshiriki kwenye uchaguzi wa marudio wa tarehe 20 Machi 2016 ulioitishwa kinyume cha katiba ingekuwa inashiriki kuvunja katiba na sheria za nchi.
● Pia, chama chetu kilitoa wito kwa Wazanzibari wote wasiende kupiga kura, ndiyo maana kati ya wapiga kura wote 350,000 walioenda kupiga kura hawafiki 25,000.
● Baada ya kuwa nje ya serikali chama chetu kimezidi kuimarika, jambo msilolijua ni kuwa uamuzi wowote wa CUF huwa unaenda na wanachama na wafuasi wake, hata uamuzi wa kukataa kushiriki uchaguzi haramu umeungwa mkono na wanachama wetu wote.
● Hatujutii kabisa kuwa nje ya serikali, hatukuwa tunamtafutia cheo Maalim Seif, tulikuwa tunataka kuifanya Zanzibar iwe na maendeleo, iwe Singapore ya Afrika. Tulichokitaka ni kuongoza serikali siyo kuwa na Makamu wa Rais, tulikuwa na malengo makubwa sana.
● Wito wangu kwa Rais Magufuli tukae na tujadiliane kuhusu masuala muhimu ya Zanzibar.
[5/25, 12:32 AM] Philips: SEHEMU YA PILI:
Dondoo za aliyoyasema Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad katika mazungumzo yake na Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari (Union of Press Clubs of Tanzania), Mwanza, Alkhamis, 24 Mei, 2018:
● Kwa upande wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tume ya Uchaguzi ni tatizo kubwa sana. Wajumbe wa Tu me wanateuliwa na Rais wa nchi ambaye ni mwenyekiti wa chama. Tunalazimika kushiriki uchaguzi kwenye tume hizi kwa sababu haya ni mapambano.
● Sisi Zanzibar tunaingia kwenye tume hiyo hiyo na tumekuwa tunashinda maeneo mengi sana na lengo la kushiriki ni kuchukua serikali ili tuwe na uwezo wa kuunda tume ambayo itakuwa inatenda haki kwa vyama vyote.
● Nawahakikishia Watanzania wote kwamba mimi ni mtu ambaye sikati tamaa.
● Niliahidi kwamba ndani ya miezi mitatu tungekabidhiwa serikali kwa sababu kulikuwa na dalili hizo katika mchakato, lakini kwa sababu miongoni mwa wenzetu wamo ambao hawana nia njema ndiyo mkwamo unaanzia hapo lakini nina uhakika kwamba Dk. Shein hafiki 2020.
● Hata ubaguzi wa rangi wa Afrika ya Kusini ulidhaniwa utadumu milele, lakini uliondoka haraka na wananchi wakapata serikali yao, hata ubabe wa CCM Zanzibar una mwisho wake, na mwisho wake hauko mbali, hautaendelea hivi hivi.
● Sioni kama 2020 kutakuwa na uchaguzi Zanzibar ikiwa hali itabakia kama hivi ilivyo. Tumewapa CCM muda mrefu sana wa kushughulikia masuala haya, wasidhani kuwa wataendelea kutuhadaa, sisi siyo watoto wadogo, haitawezekana.
● Shein hana uwezo wowote, maamuzi yanafanywa na Magufuli, Shein anaamrishwa na kuambiwa tu. Magufuli ndiye mwenye ufunguo. Kwa hiyo siwezi kukaa na kuzungumza na Shein, hata mkono nilimnyima, siwezi kuzungumza na mtu asiye na mamlaka yoyote.
● Mwandishi; Kwa nini huzungumzi na Magufuli? Maalim Seif: Nimeshafanya juhudi mara kadhaa, Magufuli hataki, nimemuandikia hawajibu hata barua. Kwa hiyo Dk.Shein siyo chochote pale Zanzibar, yeye ni kibaraka tu aliyewekwa.
● Mwandishi: Lakini mbona mazungumzo yako na Karume yaliwezekana na kwa nini kwa Shein yanashindikana?
Maalim Seif: Karume si Shein, Karume akifanya maamuzi anayasimamia, anao uwezo wa kufanya maamuzi. Dk. Shein anaendeshwa, hana maamuzi yake.
● Kinachoendelea ndani ya CUF siyo mgogoro. Tatizo ni Lipumba peke yake kama mtu wala siyo tatizo la kitaasisi. Kwa hiyo CUF hakuna mgogoro ili kuna mtu ametumwa na CCM na dola kuja kuivuruga CUF.
● Muungano nauunga mkono, lakini muundo ndiyo unawapa shida Wazanzibari ambapo wanajihisi kuwa koloni la Watanganyika. Watanganyika wamejivika koti la Muungano, Zanzibar haishirikishwi kwenye Muungano kwa maana halisi na malengo ya kuuunda.
● Wakati wa Mchakato wa Katiba, mimi binafsi nilitoa maoni yangu kuunga mkono Muungano wa Mkataba na haya ni maoni ya Wazanzibari. Ziko nchi nyingi zinafuata mfumo huo.
● Lakini baada ya Tume ya Warioba kuja na maoni ya Serikali Tatu, sisi wa Mkataba tukasema tuache msimamo wetu ili tuunge mkono muundo uliopendekezwa na wananchi wa Serikali tatu. Kama Kikwete angesimamia mchakato wa katiba jambo hilo lingekwisha.
● Hali ya Zanzibar ni mbaya mno kiuchumi, serikali haramu ya Dk. Shein haina maono wala vision (dira). Mpango wa maendeleo wa 2020 umebaki kwenye makaratasi, kwenye utekelezaji hakuna kitu. Serikali imeshindwa kuwapa fursa vijana wa Zanzibar.
● Zanzibar ina fursa nyingi sana lakini kwenye miti hakuna wajenzi. Zanzibar inaweza kuwekeza kwenye viwanda vya huduma pamoja na utalii. Wanikabidhi serikali mwaka mmoja tu mtaiona Zanzibar ikiwa Singapore ya Afrika Mashariki.
● James Mapalala alitugeuka baada ya kudanganywa na dola kuwa Maalim Seif anawasiliana na serikali za Uarabuni na wana mpango wa kuchukua serikali na kuwaondoa Wakristo wote, alihadaiwa kupitia barua za kughushi zikionesha zimeandikwa na mimi.
● Mapalala alianza kuwapiga marufuku viongozi wa Zanzibar wasiingie bara na bara akaanza kuwafukuza viongozi mbalimbali bila kufuata utaratibu. Tukamwambia NO!, mambo haya yanafanywa kwa taratibu za vikao vya chama, siyo kwa maamuzi yako tu.
● Vikao vikamwita Mapalala akakataa. Tukaenda kwa Msajili Liundi. Liundi akatuambia itisheni Mkutano Mkuu wa Taifa mtatue matatizo yenu. Mapalala akakataa kuja kwenye Mkutano Mkuu, bahati nzuri Liundi alikuja na Mkutano ukachukua hatua zake.
● Hamad Rashid alikuwa anataka Ukatibu Mkuu wa chama, ni haki yake, akaambiwa subiri wakati wa uchaguzi, omba ukatibu mkuu. Badala yake akaanza kuzunguka mikoani kupiga kampeni za wazi za kuchaguliwa kuwa Katibu Mkuu wakati uchaguzi haujatangazwa.
● Kwenye ziara zake hizo Hamad Rashid akawa anamchafua Katibu Mkuu aliyepo. Akaitwa kwenye Kamati ya Utendaji ya Taifa kujieleza akakataa, akaitwa kwenye Baraza Kuu la Uongozi la Taifa akakataa, kwa hiyo vikao vikamchukulia hatua.
● Mgogoro huu wa Lipumba ni wa kupandikizwa. Bila kumung’unya maneno nasema katusaliti. Na bahati nzuri muasisi wa UKAWA ni Lipumba, UKAWA iliasisiwa Dodoma wakati wa Bunge la Katiba, Maalim Seif hakuwa mjumbe wa Bunge la Katiba.
● Viongozi wa vyama vyetu walikaa peke yao Dodoma wakasema lazima tushirikiane, hilo jina lenyewe la UKAWA kalipendekeza Prof. Lipumba na yeye ndiye alikuwa msemaji wa UKAWA.
● Mimi Katibu Mkuu wake hakunishirikisha hata kuiunda UKAWA lakini kwa sababu niliona ni jambo zuri nikaliunga mkono na kulisimamia, sikumlaumu mwenyekiti wangu kwa nini hukunishirikisha, baadaye akatugeuka.
● Ghafla Lipumba anakuja kutueleza kwenye Kamati ya Utendaji ya Taifa kuwa yeye anaacha Uenyekiti bila kujali kuwa tumo kwenye uchaguzi. Kapteni yumo kwenye mkondo wa maji, anaikimbia meli.
● Tukamuomba Lipumba aache kujiuzulu, wazee wakaja, viongozi wa dini zote wakaja kumuomba, kina mama, vijana, akashikilia msimamo wake kuwa anaacha uenyekiti.
● Lipumba aliposhikilia msimamo wake, Mimi nikawasihi wanachama kwamba huo ni uamuzi wake ni haki yake kwa hiyo msimtukane, mheshimuni. Huyu alikuwa Mwenyekiti wetu na kweli wanachama wakanisikiliza.
● Pamoja na Lipumba kujiuzulu bado tulimheshimu sana. Hata alipokuwa na Press Conference zake mimi nilikuwa natoa ruhusa atumie ukumbi wa chama. Vikao vingine muhimu vya Baraza Kuu la Uongozi tulikuwa tunamualika.
● Lengo la CCM lilikuwa ni kuisambaratisha UKAWA, UKAWA ni tishio kwa CCM na walidhani kuwa wakipata kiongozi mmoja wa juu wa UKAWA akajiuzulu na kutoka basi UKAWA itayumba na CUF itayumba. Halikutokea.
● Kuondoka kwa Lipumba hakukuiathiri CUF, kipindi Lipumba ni mwenyekiti wetu tulikuwa na Wabunge 2 au 0 upande wa Bara, hatukutwa na halmashauri hata moja na tulikuwa na madiwani wasiozidi 100.
● Baada ya Lipumba kutukimbia na kushiriki uchaguzi bila yeye CUF ikapata wabunge 10 bara, madiwani zaidi ya 300 na halmashauri zaidi ya 6.
● CCM na Dola wakaona kuondoka kwake hakukuiathiri CUF, ndipo wakamshawishi arejee, akaandika barua ya kutaka kurudi. Ni wapi duniani mliwahi kuona mtu anajiuzulu anakaa nje ya uongozi kwa mwaka mzima kisha anarejea uongozini, tena kwa nguvu?
● Serikali na CCM ndio wanamtumia Lipumba. Kwenye Uchaguzi wa wabunge wa EALA alipeleka mtu wake. Kamati ya Uongozi ya Bunge ikakaa ikaamua uchaguzi usifanywe kwa nafasi ya CUF. Spika akapigiwa simu na Ikulu na kuamrishwa kufanya uchaguzi.
● Lipumba amewafukuza wabunge 8 halali wa Viti Maalum wa CUF na kuweka wabunge wake kinyume na Katiba ya CUF na sheria za nchi. Haraka haraka wabunge wa Lipumba wakapokelewa na kukubaliwa na bunge. Kwa hiyo serikali na CCM wanamtumia.
● Lakini pia ili kujua kuwa wanamtumia, tazameni kuwa Lipumba anakwenda mikoani kufanya ziara na analindwa na Polisi. Katibu Mkuu halali anakwenda kufanya ziara kwenye mikoa ile ile anazuiwa na polisi wale wale. Tunahitaji ushahidi gani zaidi?
● Hoja kuwa tunapaswa kukaa meza moja na Lipumba haiwezekani. Lipumba ni msaliti. Adhabu ya Msaliti ni kubwa, huwezi kukaa naye meza moja. Katusaliti watanzania, katusaliti CUF, katusaliti UKAWA. Msaliti ni mtu hatari sana, siyo wa kumsogelea.
● Lipumba ameanza kufanyisha chaguzi feki za ndani ya chama bila kuheshimu kuwa kuna kesi mahakamani ili baadaye apate Mkutano Mkuu feki wamfukuze Katibu Mkuu. Katibu Mkuu huyu hafukuziki mpaka pale ambapo Mkutano Mkuu halali utaitishwa na CUF halisi.
● Lipumba amevamia Mkutano Mkuu wa CUF Ubungo bila kualikwa akisindikizwa na Polisi. Amevamia Ofisi Kuu za CUF Buguruni akisindikizwa na Polisi. Halafu nani anasema kuwa Lipumba hatumiwi na dola na CCM? Magufuli kajaa tele katika vurugu hili.
● Hoja kuwa Lipumba alijitoa kwa sababu hakukubaliana na mgombea Urais siyo ya kweli. Wakati ule Lipumba alishiriki kwenye mchakato wote wa kumpata mgombea wa UKAWA. Mwisho wakabakia wagombea wawili tu, yeye Lipumba na Dk. Slaa.
● Lipumba na Slaa wakaambiwa wakae chini waamue nani atasimama, wakashindwa kuelewana. Bahati nzuri Lowassa akaachwa na CCM, Lipumba mwenyewe ndiye alimfuata Lowassa, akamwambia inabidi uje kwenye UKAWA.
● Lipumba alimuomba James Mbatia amkutanishe na Lowassa. Aliyempeleka Lipumba hadi kwa Lowassa ni dereva wa Mbatia. Lipumba akamuomba Lowassa akijiunga UKAWA aingie kwenye chama kidogo kama NCCR.
● Hata katika kumkaribisha Lowassa kwenye UKAWA hadharani, Mkutano wa waandishi wa habari juu ya ajenda hiyo uliongozwa na Lipumba mwenyewe na ukafanyikia Ofisi Kuu ya CUF Buguruni.
● Kwenye mkutano ule wa kumtambulisha Lowassa waandishi mlimuuliza Lipumba, "huyu mnasema ni fisadi kwa nini mnampokea?" Lipumba akawajibu Lowassa siyo fisadi, ufisadi ni mfumo na akawauliza tangu Lowassa aache uwaziri Mkuu mwaka 2008 ufisadi umekwisha?
● Hoja ya kuwa Lipumba alichukizwa na Lowassa kuwa mgombea urais ni ya uongo. Lowassa alipojiunga UKAWA alionekana ana nguvu kubwa kwa wananchi kuliko wagombea wengine wote akiwemo Lipumba na automatically akawa na nafasi ya kugombea urais.
● Hata hivyo Lipumba angegombeaje Urais wakati kila uchaguzi kura zake zinashuka na mwaka 2010 alipata kura laki 6? Lipumba hakuwa anauzika tena. Tumekwenda mahakamani kwani tumeona ndiyo suluhisho la pekee. Na maamuzi ya mahakama sisi tutayapokea kama yalivyo.
● Tuliwezaje kuzungumza na adui mkubwa CCM na sasa tunashindwa kwa Lipumba? Lipumba ni adui na msaliti wa ndani. CCM ni adui ya nje. Ni rahisi sana kuzungumza na adui wa nje kuliko wa ndani. Adui wa ndani ni msaliti.
● Swali la uhitimu wangu Chuo Kikuu cha DSM mwaka 1975 na kufaulu kwa kiwango cha juu sana na kuombwa na Chuo kubakia kufundisha ni la kweli. Lakini siyo kwamba nilikataa kubaki Chuo kama nilivyoombwa.
● Nilipenda kubaki chuo kikuu nifundishe lakini Serikali yangu ya Zanzibar ambayo ndiyo ilinipeleka chuoni ilileta barua chuoni na kueleza menejimenti kwamba natakiwa kurudi Zanzibar, nikawa sina chaguo zaidi ya kutekeleza matakwa ya serikali.
● Katika CUF Maalim Seif ni kama alama tu, lakini kuna viongozi wengi wenye uwezo mkubwa sana. Viongozi hao ukiwaambia chukua nafasi ya Maalim yeye apumzike wanakwambia hatuwezi kuvaa viatu vyake lakini mimi nawaambia utafika wakati watavivaa tu.
● Hata kama Mungu atanichukua leo hii. Nawahakikishia kuwa CUF inao watu ambao watakichukua chama na kukipeleka mbele kikiwa imara. Lakini tuna programu maalumu za kuwapa mafunzo vijana wetu na wanawake.
● Kuhusu Serikali ya Magufuli, mimi nilikuwa na matumaini makubwa sana na serikali yake. Lakini kwa kadri siku zinavyokwenda navunjika moyo. Naweza kusapoti hatua za Magufuli kwenye maeneo machache sana moja kupambana na Ufisadi.
● Lakini juzi Rais Magufuli kanishangaza alipokuwa anapokea taarifa ya Kamati ya Dk. Bashiru Ally ya Mali za CCM akisema hatafukua makaburi wakati ripoti ile imejaa taarifa za ufisadi na mafisadi, amenishangaza sana. Hiyo ni dalili kuwa ameanza kuchoka.
● La pili nalomuunga mkono Magufuli ni kurejesha nidhamu serikalini, ingawa nidhamu yenyewe ni nidhamu ya woga. Lakini sasa naona anaanza kuchoka kidogo.
● Maeneo ambayo nadhani Magufuli na serikali yake hawafanyi vizuri ni mengi sana. Mojawapo ni Uchumi. Takwimu zao zinaonesha uchumi unakua kwa wastani wa asilimia 7 kwa mwaka, lakini ukija katika maisha ya Mtanzania ni magumu mno.
● Tangu Magufuli aingie madarakani, sarafu ya Tanzania inaporomoka. Deni la Taifa linakua kwa kasi, sasa limefikia Shilingi Trilioni 60, ndani ya miezi mitatu Januari – Machi 2018 deni hilo limeongezeka kwa trilioni 3 kwa mujibu wa Benki Kuu.
● 75% ya Watanzania ni Wakulima ukijumuisha wafugaji na wakulima, lakini serikali ya Magufuli imepeleka Shs 170 Bilioni tu ambazo ni chini ya asilimia 3 ya bajeti nzima. Is he serious? Huwezi kupata Tanzania ya viwanda kama unadharau kilimo.
● Katika awamu zote CCM wanabadilisha kaulimbiu za kilimo; Kilimo cha Kufa na kupona, Kilimo ni Uti wa Mgongo, Kilimo Kwanza..... Kwa Magufuli yeye mambo ya kilimo kayatupa huko kabisa, kaja na kauli mbiu mpya ya viwanda visivyo na mipango.
Posted by FREEDOM OF PRESS at 21:50
3:18 PM
KUTOKA MAHAKAMANI LEO.
KUTOKA MAHAKAMA KUU LEO TAREHE 31/10/2017;
LIPUMBA NA WAJUMBE WAKE WA ‘BODI FEKI YA WADHAMINI’ WAINGIA WOGA JUU YA MAAMUZI YA MAHAKAMA KUU JUU YA UHALALI WAO:
THE CIVIC UNITED FRONT
(CUF-CHAMA CHA WANANCHI)
TAARIFA KWA UMMA NA VYOMBO VYA HABARI
Tarehe 15/10/2017 tulieleza kuwa “MASHAURI YA CUF YANAELEKEA MWISHO MAHAKAMANI: LIPUMBA NA WASHIRIKA WAKE ACHENI VISINGIZIO MAHAKAMA KUU IAMUE” hii inatokana na utaratibu mzuri ambao Mahakama Kuu imejiwekea kumaliza mashauri yalipo Mahakamani Hapo ndani ya wakati muafaka.
Leo Tarehe 31/10/2017 Mheshimiwa Jaji Ndyansobera alipanga kusikilizwa na kutolewa maamuzi baadhi ya mashauri yaliyopo mbele yake na mengine kupangia utaratibu wa kuanza kusikilizwa ili mashauri/kesi hizo zimalizike. Mashauri hayo ni [1] Shauri No. 21/2017, [2]. Shauri No. 80/2017, [3]. Shauri No. 68/2017, [4]. Shauri No. 13/2017, [5]. Shauri No. 28/2017, [6]. Shauri No. 50/2017, [7]. Shauri No. 51/2017. Miongoni mwayo yanahusu Fedha za Ruzuku ya Chama, Bodi ya Wadhamini iliyosajiliwa na RITA, Jinai ya Kugushi Nyaraka nk,
Mashauri hayo yamelazimika Leo kuahirishwa kutokana na barua mbili zilizowasilishwa Mahakamani hapo na Lipumba na Genge lake likidai kupinga Jaji Wilfred Dyansobera kuendelea kusikiliza mashauri hayo na kumtaka AJITOE. Kutokana na hali hiyo,Mheshimiwa Jaji Wilfred Dyansobera amezingatia maelekezo ya Mahakama ya Rufaa katika kushughulikia masuala mfano wa hilo na kuamua wahusika waliosaini barua za malalamiko wapewe fursa ya kusikilizwa kesho Tarehe 1/11/2017, ili Mahakama ipime hoja zao na kuyatolea uamuzi. Hata hivyo wakili wa Lipumba Mashaka Ngole aliomba kusogeza mbele ili waweze kwenda kujipanga vizuri na wateja wake na kuwaleta Mahakamani kusikilizwa. Mahakama imepanga kuwasikiliza Tarehe 13/11/2017.
Katika hatua nyingine ya usikilizaji wa mashauri hayo Wakili wa Lipumba na Genge lake Mashaka Ngole na Hosea Chamba walijenga zisizo na mashiko ya kisheria walipotaka Mahakama iondoe majibizano ya kimaandishi (Written Submissions) zilizowasilishwa na Wakili Msomi Mheshimiwa Mpale Kabe Mpoki kwa niaba ya Mhe Ally Salehe kwa madai ya kosa la kimaandishi katika namba za shauri hilo. Suala ambalo linarekebishika kwa mwasilishaji kuiomba Mahakama chini ya kifungu cha 97 cha sheria ya mwenendo wa Makosa ya Jinai. Mwanasheria Mkuu wa Serikali Wakili Msomi Mheshimiwa Gabriel Malata alitoa ufafanuzi wa kisheria uliosapotiwa kisheria na Mawakili Wasomi wa CUF-Chama cha Wananchi Mheshimiwa Juma Nassor, Mheshimiwa Daimu Halfani, Mheshimiwa Hashim Mziray na Mheshimiwa Lovenes Denis, Mahakama ikazingatia ufafanuzi huo na kuridhia marekebisho ili kuweka kumbukumbu za Mahakama vizuri. Aidha, Shauri No. 51/2017 lilishapangwa tangu awali kutajwa Tarehe 7/11/2017 na Mashauri mengine yote yatatajwa tena Tarehe 24/11/2017 siku ambayo pia Mheshimiwa Jaji Atafanyia maamuzi juu ya Hoja za waliowasilisha barua za kumtaka ajitoe.
WAKILI WA LIPUMBA NA AFISA WA OFISI YA MSAJILI SISTY NYAHOZA WACHANGANYIKIWA:
Kutokana na maamuzi hayo Wakili Mashaka Ngole na Sisty Nyahoza wameondoka mahakamani hapo wakiwa hoi vichwa vimevurugika kutokana na mambo kutokwenda kama walivyotarajia huku Ruzuku ya Chama ikiendelea kuzuiliwa kwa AMRI YA MAHAKAMA. Suala la Kugushi Nyaraka na mengi mengineyo yamewaweka katika mazingira ya khofu kubwa na hatimaye kuibuka na hoja za Kumtaka Jaji Ndyansobera Ajitoe na kuomba Jaji Mstaafu Kihiyo ikiwezekana arejeshwe.
Huku ni kupoteza muda na kutaka kuchelewesha maamuzi ya MAHAKAMA KUU. Sisty Nyahoza alionekana amewahi kufika Mahakamani hapo mapema sana asubuhi na kuvinjari katika ofisi mbalimbali za Mahakama bila mafanikio ya alichokitarajia. wanaCUF waliohudhuria Mahakamani hapo wamekuwa wakihoji Ofisi ya Msajili inanufaika nini na kupata maslahi yepi kwa namna ya Juhudi hizi wanazozifanya kutaka kupindisha HAKI YA TAASISI YA CUF.
MAPAMBANO YA KISHERIA YAMEFIKIA HATUA NZURI YA MWISHO NA hatuna budi kuwapongeza Wasomi Mawakili wetu (The Learned Advocates) wote kwa jitihada kubwa wanazozichukua kuhakikisha kuwa Mashauri haya yanasikilizwa na kumalizwa ndani ya wakati muafaka na HAKI KUREJESHWA KWA TAASISI YA CUF. Tunatoa wito kwa wanachama na watanzania wote wapenda Mabadiliko kuendelea kuwa na subira, WASALITI na VIBARAKA wote watarejea kwa wanaomtumikia na kuiacha CUF ikiwa SALAMA na NGANGARI zaidi.
CUF NI TAASISI IMARA, YENYE VIONGOZI MAKINI.
HAKI SAWA KWA WOTE
Imetolewa leo Tarehe 31/10/2017
Na. Kurugenzi ya Habari, Uenezi Na Mahusiano Na Umma-CUF Taifa
SALIM BIMANI
MKURUGENZI
Zantel +255 777 414112 / Tigo +255 655 314112
MBARALA MAHARAGANDE
NAIBU MKURUGENZI
Phone No. 062577 Tigo Code-+255 715 / Zantel Code - +255 773 / Voda Code- +255 767
maharagande@gmail.com
LIPUMBA NA WAJUMBE WAKE WA ‘BODI FEKI YA WADHAMINI’ WAINGIA WOGA JUU YA MAAMUZI YA MAHAKAMA KUU JUU YA UHALALI WAO:
THE CIVIC UNITED FRONT
(CUF-CHAMA CHA WANANCHI)
TAARIFA KWA UMMA NA VYOMBO VYA HABARI
Tarehe 15/10/2017 tulieleza kuwa “MASHAURI YA CUF YANAELEKEA MWISHO MAHAKAMANI: LIPUMBA NA WASHIRIKA WAKE ACHENI VISINGIZIO MAHAKAMA KUU IAMUE” hii inatokana na utaratibu mzuri ambao Mahakama Kuu imejiwekea kumaliza mashauri yalipo Mahakamani Hapo ndani ya wakati muafaka.
Leo Tarehe 31/10/2017 Mheshimiwa Jaji Ndyansobera alipanga kusikilizwa na kutolewa maamuzi baadhi ya mashauri yaliyopo mbele yake na mengine kupangia utaratibu wa kuanza kusikilizwa ili mashauri/kesi hizo zimalizike. Mashauri hayo ni [1] Shauri No. 21/2017, [2]. Shauri No. 80/2017, [3]. Shauri No. 68/2017, [4]. Shauri No. 13/2017, [5]. Shauri No. 28/2017, [6]. Shauri No. 50/2017, [7]. Shauri No. 51/2017. Miongoni mwayo yanahusu Fedha za Ruzuku ya Chama, Bodi ya Wadhamini iliyosajiliwa na RITA, Jinai ya Kugushi Nyaraka nk,
Mashauri hayo yamelazimika Leo kuahirishwa kutokana na barua mbili zilizowasilishwa Mahakamani hapo na Lipumba na Genge lake likidai kupinga Jaji Wilfred Dyansobera kuendelea kusikiliza mashauri hayo na kumtaka AJITOE. Kutokana na hali hiyo,Mheshimiwa Jaji Wilfred Dyansobera amezingatia maelekezo ya Mahakama ya Rufaa katika kushughulikia masuala mfano wa hilo na kuamua wahusika waliosaini barua za malalamiko wapewe fursa ya kusikilizwa kesho Tarehe 1/11/2017, ili Mahakama ipime hoja zao na kuyatolea uamuzi. Hata hivyo wakili wa Lipumba Mashaka Ngole aliomba kusogeza mbele ili waweze kwenda kujipanga vizuri na wateja wake na kuwaleta Mahakamani kusikilizwa. Mahakama imepanga kuwasikiliza Tarehe 13/11/2017.
Katika hatua nyingine ya usikilizaji wa mashauri hayo Wakili wa Lipumba na Genge lake Mashaka Ngole na Hosea Chamba walijenga zisizo na mashiko ya kisheria walipotaka Mahakama iondoe majibizano ya kimaandishi (Written Submissions) zilizowasilishwa na Wakili Msomi Mheshimiwa Mpale Kabe Mpoki kwa niaba ya Mhe Ally Salehe kwa madai ya kosa la kimaandishi katika namba za shauri hilo. Suala ambalo linarekebishika kwa mwasilishaji kuiomba Mahakama chini ya kifungu cha 97 cha sheria ya mwenendo wa Makosa ya Jinai. Mwanasheria Mkuu wa Serikali Wakili Msomi Mheshimiwa Gabriel Malata alitoa ufafanuzi wa kisheria uliosapotiwa kisheria na Mawakili Wasomi wa CUF-Chama cha Wananchi Mheshimiwa Juma Nassor, Mheshimiwa Daimu Halfani, Mheshimiwa Hashim Mziray na Mheshimiwa Lovenes Denis, Mahakama ikazingatia ufafanuzi huo na kuridhia marekebisho ili kuweka kumbukumbu za Mahakama vizuri. Aidha, Shauri No. 51/2017 lilishapangwa tangu awali kutajwa Tarehe 7/11/2017 na Mashauri mengine yote yatatajwa tena Tarehe 24/11/2017 siku ambayo pia Mheshimiwa Jaji Atafanyia maamuzi juu ya Hoja za waliowasilisha barua za kumtaka ajitoe.
WAKILI WA LIPUMBA NA AFISA WA OFISI YA MSAJILI SISTY NYAHOZA WACHANGANYIKIWA:
Kutokana na maamuzi hayo Wakili Mashaka Ngole na Sisty Nyahoza wameondoka mahakamani hapo wakiwa hoi vichwa vimevurugika kutokana na mambo kutokwenda kama walivyotarajia huku Ruzuku ya Chama ikiendelea kuzuiliwa kwa AMRI YA MAHAKAMA. Suala la Kugushi Nyaraka na mengi mengineyo yamewaweka katika mazingira ya khofu kubwa na hatimaye kuibuka na hoja za Kumtaka Jaji Ndyansobera Ajitoe na kuomba Jaji Mstaafu Kihiyo ikiwezekana arejeshwe.
Huku ni kupoteza muda na kutaka kuchelewesha maamuzi ya MAHAKAMA KUU. Sisty Nyahoza alionekana amewahi kufika Mahakamani hapo mapema sana asubuhi na kuvinjari katika ofisi mbalimbali za Mahakama bila mafanikio ya alichokitarajia. wanaCUF waliohudhuria Mahakamani hapo wamekuwa wakihoji Ofisi ya Msajili inanufaika nini na kupata maslahi yepi kwa namna ya Juhudi hizi wanazozifanya kutaka kupindisha HAKI YA TAASISI YA CUF.
MAPAMBANO YA KISHERIA YAMEFIKIA HATUA NZURI YA MWISHO NA hatuna budi kuwapongeza Wasomi Mawakili wetu (The Learned Advocates) wote kwa jitihada kubwa wanazozichukua kuhakikisha kuwa Mashauri haya yanasikilizwa na kumalizwa ndani ya wakati muafaka na HAKI KUREJESHWA KWA TAASISI YA CUF. Tunatoa wito kwa wanachama na watanzania wote wapenda Mabadiliko kuendelea kuwa na subira, WASALITI na VIBARAKA wote watarejea kwa wanaomtumikia na kuiacha CUF ikiwa SALAMA na NGANGARI zaidi.
CUF NI TAASISI IMARA, YENYE VIONGOZI MAKINI.
HAKI SAWA KWA WOTE
Imetolewa leo Tarehe 31/10/2017
Na. Kurugenzi ya Habari, Uenezi Na Mahusiano Na Umma-CUF Taifa
SALIM BIMANI
MKURUGENZI
Zantel +255 777 414112 / Tigo +255 655 314112
MBARALA MAHARAGANDE
NAIBU MKURUGENZI
Phone No. 062577 Tigo Code-+255 715 / Zantel Code - +255 773 / Voda Code- +255 767
maharagande@gmail.com
2:50 PM
WATETEZI WA UDHALIMU HUU UNAKUJA NA EXCUSE YA KIBITI, SORAGA, PADRI etc
Na Ally Saleh
Mbunge wa Malindi, Zanzibar
Kama kufumbua na kufumbua Bwana Ali Juma Suleiman ametangulia mbele ya haki. La, bora niseme ametangulizwa mbele ya haki kwa kudhulumiwa na makundi ambayo yameshafanyia udhalimu mwingi wanachama wa chama kikuu cha upinzani The Civic United Front. Marehemu Ali ameshafika na hesabu yake kwa Mola wake imeshaanza tokea jana, na wengi tunaamini amekufa shahidi kwa kuwa amedhulumiwa. Lakini pia amekufa shahidi kwa kuwa amekufa akipigani haki, usawa wa nchi jambo ambalo waliomuua hawalitaki kabisa. Hata akiwa kitandani siku moja kabla ya kufariki aliendelea kusimama katika anachokiamini na alisema kuwa “Tusikubali kabisa kuonewa.” Na amini alikuwa akikariri Wimbo wa Taifa wa CUF ambao amekuwa akiuimba kwa miaka kadhaa tokea alipoingia chama ambacho wanachama wake wamepitia madhila mengi sana.
Marehemu Ali ameungana na wengine wengi waliouliwa kwa sababu tu ya imani zao za siasa ikiwa ni pamoja na waliokufa kimya kimya baada ya vifo kama hivi vya kupigwa toka zama za Janjawidi hadi sasa zama za Mazombie na wale ambao waliouliwa katika maandamano ya kudai haki yao katika tarehe 26 na 27 Januari 2001. Wapo kwa makundi makubwa waliokufa kwa uonge na ukiwa baada ya dhuluma za kupigwa na kuteswa na kutiwa vilema, wako ambao wamebaki na vilema vyao wakichechemea na wengine wakiugua kisaklojia kutokana na yaliowakuta na kutwisha. Yote haya ambapo, CUF imekusanya majina ya maelfu ya wahanga wa tokea Janjawidi hadi sasa Mazombie, vitendo vyengine vikifanywa mchana kweupe, na majina na ushahidi kupelekwa Serikalini ikiwa na pamoja na Bungeni, lakini hakuna lilokuwa. Jeshi la Polisi halijawahi hata siku moja angalau kujaribu kuchukua hatua na wakibanwa wanasema wanaodhulumiwa wapekele ushahid. Kesi kwa maelfu ziko kwenye madaftari ya vituo vya Polis lakini hata moja haijafanyiwa uchuguzi.
Tumelisikia Jeshi la Polisi likikana kabisa kuwepo kwa Mazombie na kusema wao haiwajui, wala hawaamini kuwa wapo. Wananchi wamekuwa wakifanya kama ada tu kwenda vituo vya Polisi lakini wanajua kuwa Jeshi la Polisi halina uwezo wala nia ya kuwakamata watendaji hao wa maovu dhidi ya wenzao. Binafasi nimekuwa nikilishikia bango suala hilo la Mazombie na hivi karibuni niliwasilisha majina ya wanachama na wapenzi wa cuf zaidi ya 350 ambao wameripoti matukio ya kupigwa, kuteswa na madhila mengine waliofanyiwa, lakini hakuna kilichofanywa na Waziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba. Mwigulu alitafuta suluhu kwa kutoa kauli wakati akitaka bajeti yake ipitishwe baada ya kushika shilling, lakini hadi leo hajanitafuta kabisa na wala sifikiri atanitafuta maana ni wazi kuwepo kwa Mazombi kunaungwa mkono na CCM na kuna maslahi na chama hicho.
Tulipopendekeza Bunge liiunde kamati ya uchunguzi kuhusu jambo hilo, kwa kweli lilrahishishwa na kutupiliwa mbali kama mzigo uso na maana, na likazimwa kabisa. Pamoja na yote yanayotokea haijawahi kabisa kutokea Serikali ya Zanzibar wala ile Serikali ya Muungano kutoa kauli yoyote ile ya kulaani vitendo vya makundi hayo, ambayo kwa vitendo wanavyofanya ni kudhihirisha kuwa nchi haina udhibiti na usalama. Basi SMZ na SMT wako radhi isemwe na ionekane hivyo. Pili Serikali hizo mbili kwa kukaa kimya na sawa na kusema wako tayari isemwe kuwa inaridhia matendo hayo yafanywe kwa raia wengine ilhali, vitendo hivyo ni vya kibaguzi na vinavyolengwa watu maalumu katika jamii kwa sababu ya imani zao za kisiasa.
Pia ni sawa na Serikali hiyo kukiri kuwa vyama vingi haviko katika haki na mizania yake na kwamba kuwa CUF ni kosa, ni kupotea na hakuwezi kukubalika na ndio maana ya adabu, mateso, vipigo na dhulma zote. Kwamba kijana mwenye nguvu zake na aliyeshiba maziwa ya mama yake wa CCM ana haki ya kumfanya lolote lile mwana CUF na hakuna litakalokuwa. Hadhi waliopewa Mazombi naweza kusema kuwa ni sawa na kundi la mgambo ambalo linaweza kufanya litakavyo na hakuna viwavyo. NI ishara kuwa lipo juu ya sheria. Nchi imefanya bidii zote kuzima vitendo vilivyokuwa vikifanywa Kibiti lakini kwa upande wa Zanzibar hakuna lilofanywa na zaidi wanakingwa na hata kukataa ( denial) kuwa kundi au makundi hayo yapo. Viongozi wa CUF kwa muda wote wamekuwa wakiwaambia wanachama wao wasichokozeke na wala wasirudishe mapigo wanayopigwa na huku wakijua kuwa wanachama wao wanajeruhiwa, wanatiwa vilema na kama hivyo wanauawa.
Jeshi la Polisi, Serikali ya Zanzibar na Serikali ya Muungano wamekuwa wakiwachukulia poa wanachama wa CUF na hivyo kuwapa kichwa Mazombi kuwa wanachofanya kina baraka zote zao na hakuna litakalokuwa. Maziko ya kiongozi Ali Juma Suleiman akisindikizwa na umati ambao haujawahi kutokea na ulimpeleka safari yake kwa miguu hadi makaburini, ni ishara kuwa CUF wanao watu wa kurudisha mapigo na hata kulipa kisasa na kama si hivyo basi angalau kusimama kusema kuwania sasa basi. Tusiombee yule aonewaye kufika siku ya kusema palipofika basi, na siioni siku hiyo kuwa iko mbali tena. Naamini Mazombi hata kama wanaungwa mkono kama wanavyopewa nguvu, sioni kuwa ni wengi kuzidi ummawa CUF uliochoka na dhulma zao. Watu wamekuwa wakionewa toka 1992 kuliporudishwa vyama vingi kwa maana ya wapenzi wa mabadiliko na tokea ilipoanzishwa CUF 1995. Mashtaka ya kubuni ili watu wawekwe selo au jela ni kwa maelfu mengi Ieleweke tu wanaochoka kuonewa wakijetetea basi Jeshi la Polisi ambalo haliwezi kuchukua hatua na Serikali ya Zanzibar na ile ya Muungano wanao nyamazia kimya, wasije kugeuza lawama kwa walioonewa angalau wakinyanyua mkono kujikinga au kurudisha kofi kwa kofi. Tuombe tusifike huko lakini kutanzwa kukizidi lolote laweza kuwa.
Kama kufumbua na kufumbua Bwana Ali Juma Suleiman ametangulia mbele ya haki. La, bora niseme ametangulizwa mbele ya haki kwa kudhulumiwa na makundi ambayo yameshafanyia udhalimu mwingi wanachama wa chama kikuu cha upinzani The Civic United Front. Marehemu Ali ameshafika na hesabu yake kwa Mola wake imeshaanza tokea jana, na wengi tunaamini amekufa shahidi kwa kuwa amedhulumiwa. Lakini pia amekufa shahidi kwa kuwa amekufa akipigani haki, usawa wa nchi jambo ambalo waliomuua hawalitaki kabisa. Hata akiwa kitandani siku moja kabla ya kufariki aliendelea kusimama katika anachokiamini na alisema kuwa “Tusikubali kabisa kuonewa.” Na amini alikuwa akikariri Wimbo wa Taifa wa CUF ambao amekuwa akiuimba kwa miaka kadhaa tokea alipoingia chama ambacho wanachama wake wamepitia madhila mengi sana.
Marehemu Ali ameungana na wengine wengi waliouliwa kwa sababu tu ya imani zao za siasa ikiwa ni pamoja na waliokufa kimya kimya baada ya vifo kama hivi vya kupigwa toka zama za Janjawidi hadi sasa zama za Mazombie na wale ambao waliouliwa katika maandamano ya kudai haki yao katika tarehe 26 na 27 Januari 2001. Wapo kwa makundi makubwa waliokufa kwa uonge na ukiwa baada ya dhuluma za kupigwa na kuteswa na kutiwa vilema, wako ambao wamebaki na vilema vyao wakichechemea na wengine wakiugua kisaklojia kutokana na yaliowakuta na kutwisha. Yote haya ambapo, CUF imekusanya majina ya maelfu ya wahanga wa tokea Janjawidi hadi sasa Mazombie, vitendo vyengine vikifanywa mchana kweupe, na majina na ushahidi kupelekwa Serikalini ikiwa na pamoja na Bungeni, lakini hakuna lilokuwa. Jeshi la Polisi halijawahi hata siku moja angalau kujaribu kuchukua hatua na wakibanwa wanasema wanaodhulumiwa wapekele ushahid. Kesi kwa maelfu ziko kwenye madaftari ya vituo vya Polis lakini hata moja haijafanyiwa uchuguzi.
Tumelisikia Jeshi la Polisi likikana kabisa kuwepo kwa Mazombie na kusema wao haiwajui, wala hawaamini kuwa wapo. Wananchi wamekuwa wakifanya kama ada tu kwenda vituo vya Polisi lakini wanajua kuwa Jeshi la Polisi halina uwezo wala nia ya kuwakamata watendaji hao wa maovu dhidi ya wenzao. Binafasi nimekuwa nikilishikia bango suala hilo la Mazombie na hivi karibuni niliwasilisha majina ya wanachama na wapenzi wa cuf zaidi ya 350 ambao wameripoti matukio ya kupigwa, kuteswa na madhila mengine waliofanyiwa, lakini hakuna kilichofanywa na Waziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba. Mwigulu alitafuta suluhu kwa kutoa kauli wakati akitaka bajeti yake ipitishwe baada ya kushika shilling, lakini hadi leo hajanitafuta kabisa na wala sifikiri atanitafuta maana ni wazi kuwepo kwa Mazombi kunaungwa mkono na CCM na kuna maslahi na chama hicho.
Tulipopendekeza Bunge liiunde kamati ya uchunguzi kuhusu jambo hilo, kwa kweli lilrahishishwa na kutupiliwa mbali kama mzigo uso na maana, na likazimwa kabisa. Pamoja na yote yanayotokea haijawahi kabisa kutokea Serikali ya Zanzibar wala ile Serikali ya Muungano kutoa kauli yoyote ile ya kulaani vitendo vya makundi hayo, ambayo kwa vitendo wanavyofanya ni kudhihirisha kuwa nchi haina udhibiti na usalama. Basi SMZ na SMT wako radhi isemwe na ionekane hivyo. Pili Serikali hizo mbili kwa kukaa kimya na sawa na kusema wako tayari isemwe kuwa inaridhia matendo hayo yafanywe kwa raia wengine ilhali, vitendo hivyo ni vya kibaguzi na vinavyolengwa watu maalumu katika jamii kwa sababu ya imani zao za kisiasa.
Pia ni sawa na Serikali hiyo kukiri kuwa vyama vingi haviko katika haki na mizania yake na kwamba kuwa CUF ni kosa, ni kupotea na hakuwezi kukubalika na ndio maana ya adabu, mateso, vipigo na dhulma zote. Kwamba kijana mwenye nguvu zake na aliyeshiba maziwa ya mama yake wa CCM ana haki ya kumfanya lolote lile mwana CUF na hakuna litakalokuwa. Hadhi waliopewa Mazombi naweza kusema kuwa ni sawa na kundi la mgambo ambalo linaweza kufanya litakavyo na hakuna viwavyo. NI ishara kuwa lipo juu ya sheria. Nchi imefanya bidii zote kuzima vitendo vilivyokuwa vikifanywa Kibiti lakini kwa upande wa Zanzibar hakuna lilofanywa na zaidi wanakingwa na hata kukataa ( denial) kuwa kundi au makundi hayo yapo. Viongozi wa CUF kwa muda wote wamekuwa wakiwaambia wanachama wao wasichokozeke na wala wasirudishe mapigo wanayopigwa na huku wakijua kuwa wanachama wao wanajeruhiwa, wanatiwa vilema na kama hivyo wanauawa.
Jeshi la Polisi, Serikali ya Zanzibar na Serikali ya Muungano wamekuwa wakiwachukulia poa wanachama wa CUF na hivyo kuwapa kichwa Mazombi kuwa wanachofanya kina baraka zote zao na hakuna litakalokuwa. Maziko ya kiongozi Ali Juma Suleiman akisindikizwa na umati ambao haujawahi kutokea na ulimpeleka safari yake kwa miguu hadi makaburini, ni ishara kuwa CUF wanao watu wa kurudisha mapigo na hata kulipa kisasa na kama si hivyo basi angalau kusimama kusema kuwania sasa basi. Tusiombee yule aonewaye kufika siku ya kusema palipofika basi, na siioni siku hiyo kuwa iko mbali tena. Naamini Mazombi hata kama wanaungwa mkono kama wanavyopewa nguvu, sioni kuwa ni wengi kuzidi ummawa CUF uliochoka na dhulma zao. Watu wamekuwa wakionewa toka 1992 kuliporudishwa vyama vingi kwa maana ya wapenzi wa mabadiliko na tokea ilipoanzishwa CUF 1995. Mashtaka ya kubuni ili watu wawekwe selo au jela ni kwa maelfu mengi Ieleweke tu wanaochoka kuonewa wakijetetea basi Jeshi la Polisi ambalo haliwezi kuchukua hatua na Serikali ya Zanzibar na ile ya Muungano wanao nyamazia kimya, wasije kugeuza lawama kwa walioonewa angalau wakinyanyua mkono kujikinga au kurudisha kofi kwa kofi. Tuombe tusifike huko lakini kutanzwa kukizidi lolote laweza kuwa.
3:14 AM
THE CIVIC UNITED FRONT
(CUF-Chama cha Wananchi)
Office of the Secretary General
Magomeni, Dar es Salaam
TAARIFA KWA WAANDISHI WA HABARI
(Press Conference)
KUHUSU KUAPISHWA KWA WAFUASI WA LIPUMBA BUNGENI DODOMA.
1. Tarehe 28 Julai, 2017 Baraza Kuu la Uongozi la Taifa lilikutana katika kikao chake cha dharura kilichofanyika katika ofisi ndogo ya Makao Makuu Vuga, Unguja –Zanzibar. Katika maazimo yake yaliyotolewa mbele ya waandishi wa Habari na kusomwa na Katibu Mkuu, Maalim Seif Sharif Hamad ilielezwa kwa kina juu ya Njama na hila zinazovyofanywa na Serikali ya CCM ili kuihujumu CUF na kutaka kuua mfumo wa Demokrasia nchini.
2. Baada ya Kutangazwa na Spika wa Bunge Job Ndugai hatua ya kuwavua Ubunge Wabunge [8] wa CUF kwa kasi ya Ajabu (supersonic speed) na baadae haraka haraka Tume ya Taifa ya Uchaguzi[NEC] kuwatangaza wafuasi wa Lipumba kuchukua nafasi hizo bila ya kuzingatia utaratibu. Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeshindwa mpaka leo kujibu hoja za Baraza Kuu na (Challenge) iliyotolewa ya kuitaka kutoa hadharani barua ya Katibu Mkuu wa CUF iliyoandikwa kwao mwaka 2015 ikiwa na majina ya wanachama wake walioteuliwa kuwa wagombea wa viti maalum vya wanawake na kuonesha iwapo hao iliowatangaza walikuwa katika mpangilio wa majina yaliyoteuliwa na Chama.
3. Wabunge wetu walifungua shauri la madai Mahakama Kuu ya Tanzania Namba 143/2017 na Shauri dogo la Madai namba 479/2017. Kutokana na michakato ya kisheria haikuwezekana Mahakama kuamua ndani ya wakati muafaka juu ya maombi ya Zuio. [Temporary Injunction and To Maintain Status Quo]. Mashauri hayo yamepangwa kusikilizwa na au kutolewa maamuzi Tarehe 8 Septemba, 2017 na Tarehe 17 Oktoba, 2017. Kutokana na hali hiyo Mahakama haijatoa ruhusa ya Wafuasi wa Lipumba Kuapishwa kuwa Wabunge au Kukataza Wasiapishwe.
4. Jana tumeshuhudilia jinsi Wafuasi wa Lipumba walivyopokelewa na Wabunge wa CCM Dodoma na kuandaliwa dhifa ya kusheherekea ushindi wa hujuma dhidi ya CUF. Hii ni mara ya kwanza kwa Wanaoitwa Wabunge wa Upinzani kuingia Bungeni kuapishwa na kusindikizwa na Wabunge wa CCM. CUF ikiwa Taasisi makini ya kisiasa nchini haitakubali kutumiwa kutengeneza Upinzani FEKI wa kisiasa wa kuisaidia CCM iendelee kubaki Madarakani.
5. Kwa hakika Spika Ndugai amepoteza sifa na haiba ya kuongozo Bunge ambalo ni mhimili mmojawapo wa Dola na ambao ulipaswa kuwa alama ya uadilifu katika nchi. Bunge lilipaswa Chombo muhimu ca Watanzania katika kuisismamia serikali ili wananchi wapate Maendeleo Endeleo, bunge lilipaswa kuwa chombo huru chenye kujisimamia, na kuacha kutumiwa na Serikali kukandamiza upinzani, kutokufuata sheria za nchi na kuminya demokrasia ya mfumo wa vyama vingi nchini. Spika anapaswa ajitathmini na aone kwamba anahitaji watanzania wamkumbuke kwa jambo lipi baada ya kuondoka katika nafasi hiyo. Spika Job Ndugai amejidhalilisha, kuidhalilisha na kuichafua heshima na haiba ya nafasi ya Spika. Katika mazingira ya kawaida kabisa katika kipindi hiki ambacho chama kipo katika unaoitwa ‘Mgogoro wa Uongozi’ na kwamba Mashauri yanaendelea Mahakamani, hatukutarajia kama Spika, NEC na vyombo vingine vya Serikali kuweza kushirikiana kwa kasi ya ajabu kuratibu vitendo hivi vyenye nia ovu kwa ustawi wa demokrasia.
MSIMAMO NA MUELEKEO:
6. The Civic United Front (CUF-Chama Cha Wananchi) kinawapongeza Wabunge wote wa kambi ya upinzani Bungeni kwa umoja wao na kuweka msimamo thabiti wa pamoja na kususia kushirikiana na vibaraka wa CCM Bungeni.
7. Chama Cha CUF kupitia Baraza Kuu la Uongozi La Taifa Linaendelea na msimamo wake uleule wa kuwatambua Wabunge na Madiwani waliodaiwa kuvuliwa uanachama kuwa bado ni wanachama halali wa CUF.
8. Pamoja na hatua ya jana ya Bunge kuwaapisha Wafuasi wa Lipumba, msimamo wa Baraza Kuu la Uongozi la Taifa upo palepale wa kuendelea kuwatambua kuwa wao ndio Wabunge halali walioteuliwa na Baraza Kuu hapo awali na msimamo huo hautabadilika. Tunawapongeza sana Waheshimiwa Wabunge wetu walioonesha Msimamo usiyoyumba na kukataa kutumika kuwa sehemu ya kutaka kuiharibu Historia ya CUF katika Madai haki sawa kwa watanzania wote.
1. Mhe. Severina Silvanus Mwijage, (MB);
2. Mhe. Saumu Heri Sakala, (MB);
3. Mhe. Salma Mohamed Mwassa, (MB);
4. Mhe. Riziki Shahari Mngwali, (MB);
5. Mhe. Raisa Abdallah Mussa, (MB);
6. Mhe. Miza Bakari Haji, (MB);
7. Mhe. Khadija Salum Ally Al-Qassmy, (MB); na
8. Mhe. Halima Ali Mohamed, (MB). Na Madiwani wa Viti Maalum, Mhe. Leila Hussein Madibi (Ubungo) na Mhe. Elisabeth Magwaja (Temeke).
9. THE CIVIC UNITED FRONT-CUF haina Wabunge wapya waliopitishwa na Vikao halali vya Chama na kuwasilishwa kwa Tume ya Uchaguzi ya Taifa [NEC] na kwa Spika kwa ajili ya Kuapishwa. Hao wanaoitwa ‘Wabunge walioapishwa’ wanaungwa mkono na serikali ya CCM hawatokani na CUF.
10. Tunatoa wito kwa wanachama na viongozi wote wa CUF nchini kutowapa ushirikiano wowote ule na kutowatambua kwa nafasi hizo za ubunge FEKI waliopewa na Serikali ya CCM kwa lengo la kuihujumu Taasisi ya CUF. Kila mmoja wetu mahala alipo achukue hatua za kudhibiti hujuma hizi za Wasaliti wa Chama kwa kadri atakavyoweza.
11. Tunapenda kuwatoa hofu wanaCUF na watanzania kwa ujumla. Kwamba masuala haya bado yanaendelea Mahakamani na tunaimani kubwa na Mahakama kuwa itasimamia na kutenda Haki. Tuendelee kuwa na subira, Lazima tujue ni nani adui yetu wa demokrasia nchini, na namna gani ya kukabiliana nae. USHINDI UPO KARIBU.
HAKI SAWA KWA WOTE
Imetolewa Leo Tarehe 6/9/2017 Katika Ukumbi Wa Wabunge Wa Cuf, Magomeni –Dar Es Salaam.
MBARALA MAHARAGANDE
K/NAIBU MKURUGENZI WA HABARI, UENEZI NA MAHUSIANO NA UMMA-CUF TAIFA.
Mawasiliano: 0715 062 577/ 0767 062 577
maharagande@gmail.com
(CUF-Chama cha Wananchi)
Office of the Secretary General
Magomeni, Dar es Salaam
TAARIFA KWA WAANDISHI WA HABARI
(Press Conference)
KUHUSU KUAPISHWA KWA WAFUASI WA LIPUMBA BUNGENI DODOMA.
1. Tarehe 28 Julai, 2017 Baraza Kuu la Uongozi la Taifa lilikutana katika kikao chake cha dharura kilichofanyika katika ofisi ndogo ya Makao Makuu Vuga, Unguja –Zanzibar. Katika maazimo yake yaliyotolewa mbele ya waandishi wa Habari na kusomwa na Katibu Mkuu, Maalim Seif Sharif Hamad ilielezwa kwa kina juu ya Njama na hila zinazovyofanywa na Serikali ya CCM ili kuihujumu CUF na kutaka kuua mfumo wa Demokrasia nchini.
2. Baada ya Kutangazwa na Spika wa Bunge Job Ndugai hatua ya kuwavua Ubunge Wabunge [8] wa CUF kwa kasi ya Ajabu (supersonic speed) na baadae haraka haraka Tume ya Taifa ya Uchaguzi[NEC] kuwatangaza wafuasi wa Lipumba kuchukua nafasi hizo bila ya kuzingatia utaratibu. Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeshindwa mpaka leo kujibu hoja za Baraza Kuu na (Challenge) iliyotolewa ya kuitaka kutoa hadharani barua ya Katibu Mkuu wa CUF iliyoandikwa kwao mwaka 2015 ikiwa na majina ya wanachama wake walioteuliwa kuwa wagombea wa viti maalum vya wanawake na kuonesha iwapo hao iliowatangaza walikuwa katika mpangilio wa majina yaliyoteuliwa na Chama.
3. Wabunge wetu walifungua shauri la madai Mahakama Kuu ya Tanzania Namba 143/2017 na Shauri dogo la Madai namba 479/2017. Kutokana na michakato ya kisheria haikuwezekana Mahakama kuamua ndani ya wakati muafaka juu ya maombi ya Zuio. [Temporary Injunction and To Maintain Status Quo]. Mashauri hayo yamepangwa kusikilizwa na au kutolewa maamuzi Tarehe 8 Septemba, 2017 na Tarehe 17 Oktoba, 2017. Kutokana na hali hiyo Mahakama haijatoa ruhusa ya Wafuasi wa Lipumba Kuapishwa kuwa Wabunge au Kukataza Wasiapishwe.
4. Jana tumeshuhudilia jinsi Wafuasi wa Lipumba walivyopokelewa na Wabunge wa CCM Dodoma na kuandaliwa dhifa ya kusheherekea ushindi wa hujuma dhidi ya CUF. Hii ni mara ya kwanza kwa Wanaoitwa Wabunge wa Upinzani kuingia Bungeni kuapishwa na kusindikizwa na Wabunge wa CCM. CUF ikiwa Taasisi makini ya kisiasa nchini haitakubali kutumiwa kutengeneza Upinzani FEKI wa kisiasa wa kuisaidia CCM iendelee kubaki Madarakani.
5. Kwa hakika Spika Ndugai amepoteza sifa na haiba ya kuongozo Bunge ambalo ni mhimili mmojawapo wa Dola na ambao ulipaswa kuwa alama ya uadilifu katika nchi. Bunge lilipaswa Chombo muhimu ca Watanzania katika kuisismamia serikali ili wananchi wapate Maendeleo Endeleo, bunge lilipaswa kuwa chombo huru chenye kujisimamia, na kuacha kutumiwa na Serikali kukandamiza upinzani, kutokufuata sheria za nchi na kuminya demokrasia ya mfumo wa vyama vingi nchini. Spika anapaswa ajitathmini na aone kwamba anahitaji watanzania wamkumbuke kwa jambo lipi baada ya kuondoka katika nafasi hiyo. Spika Job Ndugai amejidhalilisha, kuidhalilisha na kuichafua heshima na haiba ya nafasi ya Spika. Katika mazingira ya kawaida kabisa katika kipindi hiki ambacho chama kipo katika unaoitwa ‘Mgogoro wa Uongozi’ na kwamba Mashauri yanaendelea Mahakamani, hatukutarajia kama Spika, NEC na vyombo vingine vya Serikali kuweza kushirikiana kwa kasi ya ajabu kuratibu vitendo hivi vyenye nia ovu kwa ustawi wa demokrasia.
MSIMAMO NA MUELEKEO:
6. The Civic United Front (CUF-Chama Cha Wananchi) kinawapongeza Wabunge wote wa kambi ya upinzani Bungeni kwa umoja wao na kuweka msimamo thabiti wa pamoja na kususia kushirikiana na vibaraka wa CCM Bungeni.
7. Chama Cha CUF kupitia Baraza Kuu la Uongozi La Taifa Linaendelea na msimamo wake uleule wa kuwatambua Wabunge na Madiwani waliodaiwa kuvuliwa uanachama kuwa bado ni wanachama halali wa CUF.
8. Pamoja na hatua ya jana ya Bunge kuwaapisha Wafuasi wa Lipumba, msimamo wa Baraza Kuu la Uongozi la Taifa upo palepale wa kuendelea kuwatambua kuwa wao ndio Wabunge halali walioteuliwa na Baraza Kuu hapo awali na msimamo huo hautabadilika. Tunawapongeza sana Waheshimiwa Wabunge wetu walioonesha Msimamo usiyoyumba na kukataa kutumika kuwa sehemu ya kutaka kuiharibu Historia ya CUF katika Madai haki sawa kwa watanzania wote.
1. Mhe. Severina Silvanus Mwijage, (MB);
2. Mhe. Saumu Heri Sakala, (MB);
3. Mhe. Salma Mohamed Mwassa, (MB);
4. Mhe. Riziki Shahari Mngwali, (MB);
5. Mhe. Raisa Abdallah Mussa, (MB);
6. Mhe. Miza Bakari Haji, (MB);
7. Mhe. Khadija Salum Ally Al-Qassmy, (MB); na
8. Mhe. Halima Ali Mohamed, (MB). Na Madiwani wa Viti Maalum, Mhe. Leila Hussein Madibi (Ubungo) na Mhe. Elisabeth Magwaja (Temeke).
9. THE CIVIC UNITED FRONT-CUF haina Wabunge wapya waliopitishwa na Vikao halali vya Chama na kuwasilishwa kwa Tume ya Uchaguzi ya Taifa [NEC] na kwa Spika kwa ajili ya Kuapishwa. Hao wanaoitwa ‘Wabunge walioapishwa’ wanaungwa mkono na serikali ya CCM hawatokani na CUF.
10. Tunatoa wito kwa wanachama na viongozi wote wa CUF nchini kutowapa ushirikiano wowote ule na kutowatambua kwa nafasi hizo za ubunge FEKI waliopewa na Serikali ya CCM kwa lengo la kuihujumu Taasisi ya CUF. Kila mmoja wetu mahala alipo achukue hatua za kudhibiti hujuma hizi za Wasaliti wa Chama kwa kadri atakavyoweza.
11. Tunapenda kuwatoa hofu wanaCUF na watanzania kwa ujumla. Kwamba masuala haya bado yanaendelea Mahakamani na tunaimani kubwa na Mahakama kuwa itasimamia na kutenda Haki. Tuendelee kuwa na subira, Lazima tujue ni nani adui yetu wa demokrasia nchini, na namna gani ya kukabiliana nae. USHINDI UPO KARIBU.
HAKI SAWA KWA WOTE
Imetolewa Leo Tarehe 6/9/2017 Katika Ukumbi Wa Wabunge Wa Cuf, Magomeni –Dar Es Salaam.
MBARALA MAHARAGANDE
K/NAIBU MKURUGENZI WA HABARI, UENEZI NA MAHUSIANO NA UMMA-CUF TAIFA.
Mawasiliano: 0715 062 577/ 0767 062 577
maharagande@gmail.com
11:17 AM
TUKUTANE MAHAKAMA KUU KESHO TAREHE 28/8/2017 SAA 7 MCHANA KWA AJILI YA KUSIKILIZA “substantive issues raised in the pleadings that may have to be determined by the court after perusal of evidence.”
TATIZO KUBWA TULILOKUWA NALO NI UWEZO WA KIAKILI (INTELLECTUAL CAPACITY) JUMA DUNI HAJI ANAUITA “MFINYANGO”:
Tatizo kubwa tulilokuwa nalo ni uwezo (Capacity) mfumo wa elimu tuliokuwa nao na lishe duni toka tomboni mwa mama mpaka kufikia umri wa miaka 5 ambapo kisayansi inaelezwa kuwa ndicho kipindi cha ukuwaji na utengenezwaji wa mfumo wa ubongo wa mwanadamu. Baada ya hapo Ubongo huwa haukuwi tena bali ni kuwekwa vitu kwa ajili ya matumizi-kutumika. Mfumo huo kitaalamu unaitwa IQ-intelligance Quotient (measure) ambapo pakitokea makosa na mapungufu basi ASILI YA UDUMAVU WA AKILI YA MWANADAMU INAANZIA HAPO. IQ-Range za watanzania wengi ziko chini ya asilimia 25 (below 25(%) percent) hii ni kwa mujibu wa mtaalamu wa masuala haya ya IQ-Studies and Theories derived by Mr Alfred Binet (France). Alfred ametufundisha kupima umri wa mtu kwa umbile (Chronological Age) na umri wa Kiakili (Mental Age) na ndio maana jana tuliandika kuhusu wasiwasi wa Afya ya Akili ya Mbunge wa Kongwa. Maarifa na elimu zimejaa katika mitandao –(Digital Technologies) tatizo tulilonalo ni uvivu wa kujifunza. Unaweza mkuta mtu ana kiwango cha juu kielimu digrii au profesa lakin kichwani ni boksi tupu. Vyeti FEKI. Sikwambii hawa ‘makabwela wa Lipumba’ mtu anaandika wala hupati maana, hupati tafsiri sahihi ya alichokiandika. Huu ndio mfinyango’ waweza mkuta mwandishi wa habari anaandika habari za mahakama kama vile habari za ‘udaku’ ili apate soko la bidhaa yake kesho yake Mahakama inaamua vingine kabisa.
Ni tatizo na aibu kwa mwanasheria/wakili kuandika hoja zenye matege, utumbo mtupu na kumpa msemaji wa Lipumba kuuposti utumbo huo. Mnatupa kazi kila wakati kuwaeleza nini hasa kimetokea mahakamani. Mwanasheria anapokuwa hajui nini tofauti kati ya Pingamizi(Objection) na Zuio (Injunction) ni katika hali ileile ya Mfinyango’ –Capacity.
The Concept and Legal Definition of Preliminary Objections:
Preliminary Objections are points of law or fact raised at the outset of a case or lawsuit by the defence without going into the merits of the case. In other words, preliminary objections take no account of the validity of the claims of the claimant or plaintiff. Preliminary objections are generally a form of pleadings by lawyers around the world in common law jurisdictions. While the exact term of usage may vary across different legal jurisdictions, the fundamental principle is the same. Instead preliminary objections may be taken on the basis of the following: 1. The jurisdiction of the particular court or tribunal to hear the case is lacking. Jurisdictional objections may be in regard to either territory. 2. The suit discloses no cause of action. 3. The suit is time-barred by limitation. 4. The relief claimed by the claimant in the suit cannot be granted by the Court, either because it is barred in law or the Court has no jurisdiction to grant the relief claimed or otherwise in fructuous. 5. The doctrine of Res Sub Judice.
It may be noted that preliminary objections are narrow in scope and cannot raise substantive issues raised in the pleadings that may have to be determined by the court after perusal of evidence. The maximum relief that a preliminary objection can seek is a return of the suit (not a dismissal on merits) to the claimant/plaintiff with appropriate directions.
Understanding the nature and scope of preliminary objections is very important for practicing lawyers. Knowing how to raise a properly formulated preliminary objection, and when to raise it,
The Concept and Legal Definition of Injunction:
A court order by which an individual is required to perform, or is restrained from performing, a particular act. A writ framed according to the circumstances of the individual case. An injunction commands an act that the court regards as essential to justice, or it prohibits an act that is deemed to be contrary to good conscience. It is an extraordinary remedy, reserved for special circumstances in which the temporary preservation of the status quo is necessary. Injunctive relief is not a matter of right, but its denial is within the discretion of the court. Whether or not an injunction will be granted varies with the facts of each case. The courts exercise their power to issue injunctions judiciously, and only when necessity exists. An injunction is usually issued only in cases where irreparable injury to the rights of an individual would result otherwise. It must be readily apparentto the court that some act has been performed, or is threatened, that will produce irreparable injury to the party seeking the injunction. An injury is considered irreparable when it cannot be adequately compensated by an award of damages. Injunctive relief is not a remedy that is liberally granted, and, therefore, a court will always consider any hardship that the parties will sustain by the granting or refusal of an injunction. The court that issues an injunction may, in exercise of its discretion, modify or dissolve it at a later date if the circumstances so warrant.
Types of Injunction: 1. Preliminary A preliminary or temporary Injunction. 2. Preventive Injunctions. 3. Mandatory Injunctions 4. Permanent or perpetual Injunctions
Hii ndio tofauti kati ya Pingamizi (Objections) na Zuio (Injunction) Nimeacha kutafsiri kwa kuchelea nafasi za kurasa kuwa nyingi. Msemaji wa Lipumba huyo anayekuandika maandiko yako inaonekana ana VYETI FEKI ITABIDI AFANYIWE UHAKIKI. elewa kuwa Wabunge hawajawasilisha Pingamizi kama unavyosema wamewasilisha Maombi (Application) “…..uamuzi huo haumaanishi maombi ya mapingamizi mengine ya Wabunge na Madiwani hao hayatosikilizwa, ambapo yataanza kusikilizwa August 31, 2017” HAPANA. Tarehe hiyo ni kwa ajili ya kusikiliza Shauri la Msingi namba 143/2017 “MAHAKAMA imeyatupa mapingamizi mengine na itasikiliza maombi hayo 28/8/2017” HII NI KONFUSION. Imetupa nini? Inakwenda kusikiliza nini kesho? “KESI IMEAMULIWA KUENDESHWA KWA WRITING SUBMISSION,'S” kithungu hiki jamani cha huyu anayemuandikia Msemaji wa Lipumba ni shida tupu. Usahihi ni “WRITTEN SUBMISSION”. Kifupi Lipumba na wenzake wanabebwa na Hoja za Mwanasheria Mkuu wa Serikali Gabriel Malata ndio maana wameshindwa kuandika maelezo ya Pingamizi lao kwa Kizungu-Kiingereza na kuyawasilisha kama ilivyopangwa. Mahakama haikuyazingatia mapingamizi hayo kwa kuwa hayakuwa hoja za maandishi za ufafanuzi wake.
NAULIZWA SANA KUHUSU FEDHA ZA RUZUKU JE ZIMETOLEWA?
Muombeni Msemaji wa Lipumba awape ile ORDER aliyosema siku ileeeeeeee kuwa ataiweka hapa.
STAY TUNE:-
Hapa hapa tunapiga picha hii ORDER Kila MTU aisome.
Ila imeandikwa Kizungu mwambieni mbarala achukue Dictionary au mkalimani.
[Breaking news
Kutoka Mahakama Kuu '
Jaji Ndyansobera ameifuta ORDER 《Temporary Injunction 》 No 28/2017 leo 18/2017 . TUPO HAPA MAHAKAMANI TUNASUBIRI "SIGN" YA JAJI.
Ni baada ya Kalani wa JAJI NDYANASORA kumaliza Kuchapa ORDER hiyo. Na David Maphone.]
Hahahahahaaaaaaaaaaa --- Mashauri/kesi ni mchakato. Hakuna Court Order’ mpaka sasa. Fedha za Ruzuku zote ziko salama salmini. Mpaka pale Mahakama itakapotoa Amri ya vinginevyo ambayo mpaka sasa hakuna Amri hiyo. klichozungumzwa Buguruni jana ni Bodi Feki imepeleka barua ya kuomba kufunguliwa akaunti zilizofungwa hapo awali katika benki mbalimbali na kwa kuwa fedha zilizoibwa shilingi 369 mwezi January, zilikuwa hazijatolewa katika akaunti zao ndio wakawaomba viongozi wa wilaya wakachukue fedha hizo. Lakini Bilioni 1.518 ipo salama Hazina Kuu.
CUF NGANGARI.
TATIZO KUBWA TULILOKUWA NALO NI UWEZO WA KIAKILI (INTELLECTUAL CAPACITY) JUMA DUNI HAJI ANAUITA “MFINYANGO”:
Tatizo kubwa tulilokuwa nalo ni uwezo (Capacity) mfumo wa elimu tuliokuwa nao na lishe duni toka tomboni mwa mama mpaka kufikia umri wa miaka 5 ambapo kisayansi inaelezwa kuwa ndicho kipindi cha ukuwaji na utengenezwaji wa mfumo wa ubongo wa mwanadamu. Baada ya hapo Ubongo huwa haukuwi tena bali ni kuwekwa vitu kwa ajili ya matumizi-kutumika. Mfumo huo kitaalamu unaitwa IQ-intelligance Quotient (measure) ambapo pakitokea makosa na mapungufu basi ASILI YA UDUMAVU WA AKILI YA MWANADAMU INAANZIA HAPO. IQ-Range za watanzania wengi ziko chini ya asilimia 25 (below 25(%) percent) hii ni kwa mujibu wa mtaalamu wa masuala haya ya IQ-Studies and Theories derived by Mr Alfred Binet (France). Alfred ametufundisha kupima umri wa mtu kwa umbile (Chronological Age) na umri wa Kiakili (Mental Age) na ndio maana jana tuliandika kuhusu wasiwasi wa Afya ya Akili ya Mbunge wa Kongwa. Maarifa na elimu zimejaa katika mitandao –(Digital Technologies) tatizo tulilonalo ni uvivu wa kujifunza. Unaweza mkuta mtu ana kiwango cha juu kielimu digrii au profesa lakin kichwani ni boksi tupu. Vyeti FEKI. Sikwambii hawa ‘makabwela wa Lipumba’ mtu anaandika wala hupati maana, hupati tafsiri sahihi ya alichokiandika. Huu ndio mfinyango’ waweza mkuta mwandishi wa habari anaandika habari za mahakama kama vile habari za ‘udaku’ ili apate soko la bidhaa yake kesho yake Mahakama inaamua vingine kabisa.
Ni tatizo na aibu kwa mwanasheria/wakili kuandika hoja zenye matege, utumbo mtupu na kumpa msemaji wa Lipumba kuuposti utumbo huo. Mnatupa kazi kila wakati kuwaeleza nini hasa kimetokea mahakamani. Mwanasheria anapokuwa hajui nini tofauti kati ya Pingamizi(Objection) na Zuio (Injunction) ni katika hali ileile ya Mfinyango’ –Capacity.
The Concept and Legal Definition of Preliminary Objections:
Preliminary Objections are points of law or fact raised at the outset of a case or lawsuit by the defence without going into the merits of the case. In other words, preliminary objections take no account of the validity of the claims of the claimant or plaintiff. Preliminary objections are generally a form of pleadings by lawyers around the world in common law jurisdictions. While the exact term of usage may vary across different legal jurisdictions, the fundamental principle is the same. Instead preliminary objections may be taken on the basis of the following: 1. The jurisdiction of the particular court or tribunal to hear the case is lacking. Jurisdictional objections may be in regard to either territory. 2. The suit discloses no cause of action. 3. The suit is time-barred by limitation. 4. The relief claimed by the claimant in the suit cannot be granted by the Court, either because it is barred in law or the Court has no jurisdiction to grant the relief claimed or otherwise in fructuous. 5. The doctrine of Res Sub Judice.
It may be noted that preliminary objections are narrow in scope and cannot raise substantive issues raised in the pleadings that may have to be determined by the court after perusal of evidence. The maximum relief that a preliminary objection can seek is a return of the suit (not a dismissal on merits) to the claimant/plaintiff with appropriate directions.
Understanding the nature and scope of preliminary objections is very important for practicing lawyers. Knowing how to raise a properly formulated preliminary objection, and when to raise it,
The Concept and Legal Definition of Injunction:
A court order by which an individual is required to perform, or is restrained from performing, a particular act. A writ framed according to the circumstances of the individual case. An injunction commands an act that the court regards as essential to justice, or it prohibits an act that is deemed to be contrary to good conscience. It is an extraordinary remedy, reserved for special circumstances in which the temporary preservation of the status quo is necessary. Injunctive relief is not a matter of right, but its denial is within the discretion of the court. Whether or not an injunction will be granted varies with the facts of each case. The courts exercise their power to issue injunctions judiciously, and only when necessity exists. An injunction is usually issued only in cases where irreparable injury to the rights of an individual would result otherwise. It must be readily apparentto the court that some act has been performed, or is threatened, that will produce irreparable injury to the party seeking the injunction. An injury is considered irreparable when it cannot be adequately compensated by an award of damages. Injunctive relief is not a remedy that is liberally granted, and, therefore, a court will always consider any hardship that the parties will sustain by the granting or refusal of an injunction. The court that issues an injunction may, in exercise of its discretion, modify or dissolve it at a later date if the circumstances so warrant.
Types of Injunction: 1. Preliminary A preliminary or temporary Injunction. 2. Preventive Injunctions. 3. Mandatory Injunctions 4. Permanent or perpetual Injunctions
Hii ndio tofauti kati ya Pingamizi (Objections) na Zuio (Injunction) Nimeacha kutafsiri kwa kuchelea nafasi za kurasa kuwa nyingi. Msemaji wa Lipumba huyo anayekuandika maandiko yako inaonekana ana VYETI FEKI ITABIDI AFANYIWE UHAKIKI. elewa kuwa Wabunge hawajawasilisha Pingamizi kama unavyosema wamewasilisha Maombi (Application) “…..uamuzi huo haumaanishi maombi ya mapingamizi mengine ya Wabunge na Madiwani hao hayatosikilizwa, ambapo yataanza kusikilizwa August 31, 2017” HAPANA. Tarehe hiyo ni kwa ajili ya kusikiliza Shauri la Msingi namba 143/2017 “MAHAKAMA imeyatupa mapingamizi mengine na itasikiliza maombi hayo 28/8/2017” HII NI KONFUSION. Imetupa nini? Inakwenda kusikiliza nini kesho? “KESI IMEAMULIWA KUENDESHWA KWA WRITING SUBMISSION,'S” kithungu hiki jamani cha huyu anayemuandikia Msemaji wa Lipumba ni shida tupu. Usahihi ni “WRITTEN SUBMISSION”. Kifupi Lipumba na wenzake wanabebwa na Hoja za Mwanasheria Mkuu wa Serikali Gabriel Malata ndio maana wameshindwa kuandika maelezo ya Pingamizi lao kwa Kizungu-Kiingereza na kuyawasilisha kama ilivyopangwa. Mahakama haikuyazingatia mapingamizi hayo kwa kuwa hayakuwa hoja za maandishi za ufafanuzi wake.
NAULIZWA SANA KUHUSU FEDHA ZA RUZUKU JE ZIMETOLEWA?
Muombeni Msemaji wa Lipumba awape ile ORDER aliyosema siku ileeeeeeee kuwa ataiweka hapa.
STAY TUNE:-
Hapa hapa tunapiga picha hii ORDER Kila MTU aisome.
Ila imeandikwa Kizungu mwambieni mbarala achukue Dictionary au mkalimani.
[Breaking news
Kutoka Mahakama Kuu '
Jaji Ndyansobera ameifuta ORDER 《Temporary Injunction 》 No 28/2017 leo 18/2017 . TUPO HAPA MAHAKAMANI TUNASUBIRI "SIGN" YA JAJI.
Ni baada ya Kalani wa JAJI NDYANASORA kumaliza Kuchapa ORDER hiyo. Na David Maphone.]
Hahahahahaaaaaaaaaaa --- Mashauri/kesi ni mchakato. Hakuna Court Order’ mpaka sasa. Fedha za Ruzuku zote ziko salama salmini. Mpaka pale Mahakama itakapotoa Amri ya vinginevyo ambayo mpaka sasa hakuna Amri hiyo. klichozungumzwa Buguruni jana ni Bodi Feki imepeleka barua ya kuomba kufunguliwa akaunti zilizofungwa hapo awali katika benki mbalimbali na kwa kuwa fedha zilizoibwa shilingi 369 mwezi January, zilikuwa hazijatolewa katika akaunti zao ndio wakawaomba viongozi wa wilaya wakachukue fedha hizo. Lakini Bilioni 1.518 ipo salama Hazina Kuu.
CUF NGANGARI.
11:06 AM
KENYA PRESIDENTIAL PETITION IN HIGH COURT
The Supreme Court Sunday evening admitted all evidence in the presidential petition, setting the stage for a titanic battle between lawyers for President Uhuru Kenyatta and opposition leader Raila Odinga.
10:36 AM
NDUNGAI NI NYOKA ANETAFUNA MKIANI
SERIAKLI YA CCM INAVYOJIKANYAGA LIPUMBA NA SAKAYA SIO WANCHAMA WA CUF ni mamluki walionunuliwa na CCM kuisambaratisha CUF kwa k usaidiwa na Msajili wa vyama , BRELA na Ofisi ya Speaker kutumika kuvuruga demokrrasia na kuzuia mabadiliko ndani ya nchi
Katibu Mkuu wa Chama cha CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amesema kwamba hatua ya Spika kuwavua ubunge , udiwani na kuteua wengine wapya inalenga kudhoofisha kambi ya wabunge wa CUF na Ukawa. Amesema Watanzania wanapaswa wajikumbushe kwamba hata kama hicho kinachoitwa ‘kuwafukuza uanachama’ wabunge halali wa CUF kingekuwa kiko sawa, hatua kama hiyo hufuata taratibu zote za kisheria na kikanuni za Bunge kujiridhisha kwanza. “ Spika Job Ndugai anadhani Watanzania ni vichaa wamuamini kuwa alishachukua hatua ya kujiridhisha kuwa wabunge wanane wa Chama cha Wananchi (CUF) wamefukuzwa uanachama kulingana na taratibu za chama hicho na hivyo wamekosa sifa za kuendelea na Ubunge. Ndani ya siku moja?” amehoji Maalim. Ameongeza kuwa Spika amejiridhisha vipi ikiwa hata hakuwasiliana na Katibu Mkuu wa Chama ambaye kwa mujibu wa Katiba ya CUF ndiye Mtendaji Mkuu wa shughuli za chama na pia kwa nafasi hiyo ndiye katibu wa vikao vya Mkutano Mkuu wa Taifa na Baraza Kuu la Uongozi la Taifa la Chama? Amesema yeye kama katibu, alimuandikia Spika Ndugai barua, Jumanne, Julai 25 akimueleza kwamba hilo lililoitwa Baraza Kuu la Uongozi la CUF halikuundwa na wajumbe halali wa Baraza Kuu. “Angekuwa na nia ya kweli ya kutaka kujiridhisha si hapo ndipo pangekuwa pa kuanzia kwa kuwepo kile wanasheria wanachokiita shaka inayoweza kuingia akilini yaani ‘reasonable doubt’?’’ amehoji. Hata hivyoa amesema Spika Ndugai aliyapuuza yote hayo kwa sababu ni kinyume na mkakati wa Dola wa kuihujumu CUF na kuua demokrasia Tanzania. Hapo ndipo Spika Job Ndugai alipolifikisha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Katibu Mkuu wa Chama cha CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amesema kwamba hatua ya Spika kuwavua ubunge , udiwani na kuteua wengine wapya inalenga kudhoofisha kambi ya wabunge wa CUF na Ukawa. Amesema Watanzania wanapaswa wajikumbushe kwamba hata kama hicho kinachoitwa ‘kuwafukuza uanachama’ wabunge halali wa CUF kingekuwa kiko sawa, hatua kama hiyo hufuata taratibu zote za kisheria na kikanuni za Bunge kujiridhisha kwanza. “ Spika Job Ndugai anadhani Watanzania ni vichaa wamuamini kuwa alishachukua hatua ya kujiridhisha kuwa wabunge wanane wa Chama cha Wananchi (CUF) wamefukuzwa uanachama kulingana na taratibu za chama hicho na hivyo wamekosa sifa za kuendelea na Ubunge. Ndani ya siku moja?” amehoji Maalim. Ameongeza kuwa Spika amejiridhisha vipi ikiwa hata hakuwasiliana na Katibu Mkuu wa Chama ambaye kwa mujibu wa Katiba ya CUF ndiye Mtendaji Mkuu wa shughuli za chama na pia kwa nafasi hiyo ndiye katibu wa vikao vya Mkutano Mkuu wa Taifa na Baraza Kuu la Uongozi la Taifa la Chama? Amesema yeye kama katibu, alimuandikia Spika Ndugai barua, Jumanne, Julai 25 akimueleza kwamba hilo lililoitwa Baraza Kuu la Uongozi la CUF halikuundwa na wajumbe halali wa Baraza Kuu. “Angekuwa na nia ya kweli ya kutaka kujiridhisha si hapo ndipo pangekuwa pa kuanzia kwa kuwepo kile wanasheria wanachokiita shaka inayoweza kuingia akilini yaani ‘reasonable doubt’?’’ amehoji. Hata hivyoa amesema Spika Ndugai aliyapuuza yote hayo kwa sababu ni kinyume na mkakati wa Dola wa kuihujumu CUF na kuua demokrasia Tanzania. Hapo ndipo Spika Job Ndugai alipolifikisha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
10:03 AM
MAHAKAMA YAIPIGA NA CHINI HOJA ZA SERIKALI DHIDI YA KESI YA CUF
Mahakama yatupa hoja za serikali ya kesi ya CUF
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imekubaliana na hoja za Wakili wa Wabunge wanane wa Chama cha Wananchi CUF ambao ubunge umetenguliwa baada ya kuvuliwa uanachama, na sasa pingamizi la muda litaanza kusikilizwa Jumatatu,
Awali serikali iliwasilisha mapingamizi matatu ambapo jana iliondoa moja na kubakia mawili likiwamo la kuiomba mahakama isiingilie mhimili wa Bunge kwa kuzuia wabunge hao wasiapishwe.
Mapingamizi mawili ya serikali nayo yalitupwa na mahakama huku serikali ikiambiwa kinachofanyika siyo kuingilia mhimili wa Bunge.
Kwa mujibu wa mahakama, shauri dogo namba 479 litaanza kusikilizwa jumatatu ambalo litakuwa na mambo makuu saba likiwamo hoja ya kuzuia wabunge wanane wa CUF kuapishwa.
Jaji Lugani Mwandambo amekubali hoja za Wakili wa wabunge hao, Peter Kibatala kwamba shauri hilo limefunguliwa kwa kifungu sahihi na kwamba litaendelea kusikilizwa.
Mahakama hiyo imezitupa hoja tatu za serikali, ikiwamo kutaka chombo hicho kutupilia mbali hoja za kuzuia kuapishwa wabunge hao.Mwandambo alisema kinachofanyika kwa sasa katika kesi hiyo siyo kuingilia mahakama kama hoja ya serikali ilivyowasilisha hoja hiyo.
Chanzo cha wabunge hao kuvuliwa ubunge kimetokana na Chama cha Wananchi (CUF), chini ya Profesa Ibrahim Lipumba kuwavua uanachama.*
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imekubaliana na hoja za Wakili wa Wabunge wanane wa Chama cha Wananchi CUF ambao ubunge umetenguliwa baada ya kuvuliwa uanachama, na sasa pingamizi la muda litaanza kusikilizwa Jumatatu,
Awali serikali iliwasilisha mapingamizi matatu ambapo jana iliondoa moja na kubakia mawili likiwamo la kuiomba mahakama isiingilie mhimili wa Bunge kwa kuzuia wabunge hao wasiapishwe.
Mapingamizi mawili ya serikali nayo yalitupwa na mahakama huku serikali ikiambiwa kinachofanyika siyo kuingilia mhimili wa Bunge.
Kwa mujibu wa mahakama, shauri dogo namba 479 litaanza kusikilizwa jumatatu ambalo litakuwa na mambo makuu saba likiwamo hoja ya kuzuia wabunge wanane wa CUF kuapishwa.
Jaji Lugani Mwandambo amekubali hoja za Wakili wa wabunge hao, Peter Kibatala kwamba shauri hilo limefunguliwa kwa kifungu sahihi na kwamba litaendelea kusikilizwa.
Mahakama hiyo imezitupa hoja tatu za serikali, ikiwamo kutaka chombo hicho kutupilia mbali hoja za kuzuia kuapishwa wabunge hao.Mwandambo alisema kinachofanyika kwa sasa katika kesi hiyo siyo kuingilia mahakama kama hoja ya serikali ilivyowasilisha hoja hiyo.
Chanzo cha wabunge hao kuvuliwa ubunge kimetokana na Chama cha Wananchi (CUF), chini ya Profesa Ibrahim Lipumba kuwavua uanachama.*
5:05 PM
Waraka maalum aliouandika Maalim Seif kwenda kwa jaji Francis Mutungi
THE CIVIC UNITED FRONT
(CUF-Chama Cha Wananchi)
Office of Secretary General
P.o.box 3637, Zanzibar, Tanzania.
Kumb.Na.: CUF/HQ/AKM/003/017/08 Tarehe : 16/8/2017
Mhe. Jaji Francis S.K.Mutungi,
Msajili wa Vyama vya Siasa,
Kivukoni Ilala CBD,
1 Mtaa wa Shaban Robert,
S.L.P. 63010.
11101 Dar es salam.
YAH : KUFUKUZWA UANACHAMA WANACHAMA SABA (07) WA CUF
Tafadhali rudia barua yako yenye kumbukumbu Na. HA. 322/362/14/57 ya tarehe 01 Agosti, 2017 inayohusiana na suala lililotajwa hapo juu.
Kwanza napenda kukuarifu kuwa nimechelewa kuijibu barua yako kwa sababu sikuwepo nchini, ingawa nilipata taarifa ya kupokelewa kwa barua yako wakati nikiwa nje ya nchi. Niliamua niijibu barua yako hiyo nikiwa Makao Makuu ya The CIVIC UNITED FRONT (CUF – Chama Cha Wananchi), Mtendeni Zanzibar.
Katika barua yako hiyo dhana uliyoijenga ni kuwa umepokea taarifa kutoka kwa Profesa Ibrahim H. Lipumba ikimtambulisha Mheshimiwa Magdalena Sakaya kuwa ndiye Kaimu Katibu Mkuu wa CUF. Nawe uliikubali barua hiyo kwa kuwa, kwa mtazamo wako Profesa Lipumba ni Mwenyekiti wa Taifa wa CUF. Hili nataka kuliweka wazi ili wengine uliowapelekea nakala ya barua uliyoniletea watambuestatus ya Profesa Lipumba katika CUF – Chama Cha Wananchi.
Mheshimiwa Msajili unafahamu fika kuwa Profesa Ibrahim H. Lipumba mwenyewe aliamua kujiuzuilu uenyekiti wa taifa wa Chama cha CUF. Pamoja na kuniandikia mimi nikiwa Katibu Mkuu na pia Katibu wa Mamlaka iliyomchagua (Mkutano Mkuu wa Taifa) kunijulisha kuwa amejiuzulu, pia alikwenda kwenye mkutano na waandishi wa habari akatangaza hadharani kuwa amejiuzulu.
Nikatoa taarifa ya kujiuzulu kwake Profesa Lipumba kwa kikao cha Baraza Kuu la Uongozi kilichofuata baada ya kupokea barua yake ya kujiuzulu na Baraza likaipokea taarifa hio kwa masikitiko makubwa. Hata hivyo Baraza likaelekeza kuwa kujiuzulu uongozi ni miongoni mwa haki za wanachama wa Chama chetu. Hivyo itabidi kuitishwa kwa Mkutano Mkuu wa Taifa ili nao utoe Baraka zake.
Baada ya kipindi kinachokaribia mwaka mmoja Profesa Lipumba akaniandikia barua kunieleza kuwa anatengua kujiuzulu kwake! Nilishangazwa na barua hiyo maana ilikuwa ndio mara ya kwanza kusikia mtu anajiuzulu kwa hiari yake, anakaa njee ya uongozi kwa takriban mwaka nzima, halafu anatengua kujiuzulu kwake! Katika Katiba ya CUF hakuna kipengele chochote kinachotoa nafasi kwa kiongozi aliyejiuzulu kutengua kujiuzulu kwake!
Hatimaye Mkutano Mkuu wa Taifa wa CUF ukaitishwa na Katibu Mkuu akatoa taarifa ya kupokea barua ya kujiuzulu kwa Profesa Ibrahim Lipumba nafasi yake ya Uenyekiti wa Taifa wa Chama. Nikaisoma barua yake mbele ya Mkutano Mkuu wa Taifa, na baada ya mjadala wa kina maamuzi yakachukuliwa kwa mujibu wa matakwa ya Katiba ya CUF ya 1992 (Toleo la 2014) kwa kupiga kura. Wajumbe 437 wakakubali kujizulu kwa Profesa Lipumba dhidi ya Wajumbe 14 waliokataa. Hivyo Profesa Ibrahim H. Lipumba kuanzia siku aliyojiuzulu si Mwenyekiti wa Taifa wa CUF. Profesa Lipumba hana mamlaka ya kukiongoza Chama chetu.
Najua kuwa alikulalamikia, ukaniletea barua zake za malalamiko na ukataka maoni ya Chama. Nikakujibu kwa maandishi. Kwenda na kurudi ukatoa kile ulichokiita Msimamo wa Msajili juu ya kadhia iliyokikumba Chama! Huo ni Msimamo sio hukumu. Maana kama ni hukumu ningetarajia katika huo ulioita Msimamo ungeeleza kuwa kwa uwezo uliopewa na kifungu Na. kadhaa cha Sheria ya Vyama vya Siasa Na.5 ya 1992, au kwa mujibu wa uwezo uliopewa na Katiba ya CUF ya 1992 (Toleo la 2014) katika kifungu Na. kadhaa umeamua kumrudisha Profesa Ibrahim Lipumba kuwa Mwenyekiti wa Taifa wa CUF. Lakini hukuweza kuonesha uwezo wako wa kisheria au kikatiba kumrudisha Profesa Lipumba kuwa Mwenyekiti wa Taifa CUF – Chama Cha Wananchi, kwa sababu huna uwezo huo kwa mujibu wa sheria za nchi wala kwa mujibu wa Katiba ya CUF. Hata hivyo mara baada ya kupata huo ulioita Msimamo wa Msajili, Profesa Lipumba na genge lake walivamia jengo la Ofisi Kuu ya Makao Makuu ya CUF – Chama Cha Wananchi lilopo Buguruni, wakilindwa na askari polisi wakavunja lango kuu, wakavunja vitasa vya milango ya ofisi kadhaa na kufanya uharibifu mkubwa wa mali na vifaa kadhaa vya chama.Hayo yakitendeka chini ya ulinzi wa askari wa jeshi la polisi! Mfano wa jinsi utawala bora usivyozingatiwa!
Mheshimiwa Msajili, unajua vizuri kuwa CUF – Chama Cha Wananchi hakiukubali uamuzi huo, na Bodi ya Wadhamini ya Chama kwa uwezo ilionao kwa mujibu wa sheria za nchi, na kwa mujibu wa Katiba ya CUF – Chama Cha Wananchi, ilifungua shauri Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupinga huo uliouita Msimamo wako, ambao matokeo yake ni kumpandikiza Profesa Ibrahim Lipumba kuwa Mwenyekiti wa chama chetu kinyume cha Katiba ya chama chetu. Na tangu hapo umeendelea kuwa naye bega kwa bega katika kukivuruga chama chetu.
Kesi inaendelea katika Mahakama Kuu. Kwa hali ya kawaida, ungetazamia kuwa wewe kama Msajili, na hasa ukiwa Jaji wa Mahakama Kuu hio hio usingeendelea kushirikiana na Profesa Lipumba kufanya vitendo ambavyo ni vya kihuni na vya hujuma dhidi ya Chama. Busara zingekuelekeza kumsihi Profesa Lipumba asubiri hukumu ya Mahakama Kuu, na kama angekataa wewe kama Msajili na Ofisi yako ungejitenga naye.
Tunaloshuhudia ni kila kukicha unaendelea kumuunga mkono Profesa Lipumba hata katika mambo ya aibu ya kula njama na Profesa Lipumba kumuwezesha atoe ruzuku ya CUF kinyume na matakwa na taratibu zilizowekwa katika Katiba ya CUF ya 1992 (Toleo la 2014). Narudia kusemakuwa Prof. Lipumba si Mwenyekiti wa Taifa wa CUF. Lakini kutokana na vitendo vyake vya kukosa nidhamu katika kusababisha vurugu katika kikao cha dharura cha Mkutano Mkuu wa Taifa wa chama chetu, Baraza Kuu la Uongozi la Taifa, kwa uwezo lillonao kwa mujibu wa masharti ya Katiba ya CUF, lilimfukuza Profesa Ibrahim Lipumba uanachama wa CUF. Taarifa hiyo pia nilikuletea, lakini umeamua kuitia kapuni ili kutimiza matakwa yako binafsi. Ikiwa Profesa Ibrahim H. Lipumba sio mwanachama wa CUF, hawezi kabisa kuwa kiongozi wa Chama, hasa nafasi ya juu kabisa katika Chama. Kinachotokea kikiongozwa nawe na Ofisi yako ni ubabe, kutojali sheria za nchi wala Katiba ya Chama chetu ilimradi mufikie lengo lenu!
Mheshimiwa Msajili, Umeandika katika barua yako hiyo ya tarehe 01 Agosti, 2017, na naomba kukunukuu :
“… Napenda kukumbusha kuwa, tarehe 16 Machi, 2017 Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa ilipokea barua kutoka kwa chama chenu iliyosainiwa na Mwenyekiti wa Taifa Profesa Ibrahim H. Lipumba, ikimtambulisha Mheshimiwa Magdalena Sakaya kuwa ndiye Kaimu Katibu Mkuu. Baada ya kusoma Katiba ya chama chenu, niliridhia uamuzi huo kwa barua yenye kumbukumbu HA. 322/362//14/74 ya tarehe 21 Machi, 2017.
Aidha, mpaka sasa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa haijapokea barua yoyote kutoka katika chama chenu, inayotengua uamuzi wa kukaimisha ukatibu mkuu Mheshimiwa Magdalena Sakaya…”
Mheshimiwa Msajili, nashangaa, tena nashangaa sana, kwa maelezo yako hayo! Mimi ninavyojua ni kuwa kiongozi anakaimiwa ikiwa hayupo nchini, au hawezi kutekeleza majukumu yake. Hivyo ndivyo Katiba ya CUF ya 1992 (Toleo la 2014) kifungu cha 105 (1) kinavyoeleza. Hapo ulipopokea barua ya Profesa Lipumba ya tarehe 16 Machi, 2017 nilikuwepo nchini nikiwa nafanya kazi za Chama Makao Makuu ya Chama, tena nikiwa mzima wa afya na akili timamu. Wewe umetoa uamuzi kutokana na hiyo barua ya Profesa Lipumba kwa madai kuwa eti siendi Ofisi Kuu Buguruni.
Tafadhali angalia Katiba ya CUF ya 1992 (Toleo la 2014) kifungu Na. 1 (2) ambacho kinaeleza ifuatavyo:
(2) Makao Makuu ya Chama yatakuwa katika Mji Mkuu wa Zanzibar na anuani yake itakuwa kama itakavyoamuliwa na Baraza Kuu la Uongozi la Taifa’’
Kifungu cha 1 (3) kinaeleza ifuatavyo:
“1 (3) Kutakuwa na Ofisi Kuu ya Makao Makuu ya Chama Mjini Dar es Salaam na anuani yake itakuwa kama itakavyoamuliwa na Baraza Kuu la Uongozi la Taifa.”
Sikumbuki kuwa mkutano Mkuu ambao ndio wenye madaraka ya kufanya maamuzi yoyote yanayohusiana na Chama chetu umewahi kubadilisha kifungu hicho cha Katiba ya CUF – Chama Cha Wananchi. Kama hivyo ndivyo ukweli unabakia pale pale : kwamba Makao Makuu ya chama chetu yako katika Mji Mkuu wa Zanzibar. Na kwa sasa Makao Makuu hayo yapo katika Mtaa wa Mtendeni, katika mji mkuu wa Zanzibar. Wewe mwenyewe umeshawahi kuyatembelea Makao Makuu hayo! Bado ofisi iliyoko Buguruni, Dar es Salaam, ni Ofisi Kuu ya Makao Makuu.
Mheshimiwa Msajili, jee ulijiridhisha kuwa sifanyi kazi katika Makao Makuu ya Chama? Mimi nikiwa Katibu Mkuu wa Chama nimeendelea kufanya kazi zangu za kichama sio tu katika Zanzibar, lakini pia hata katika Tanzania Bara, ingawa ni wazi kuwa juhudi zimefanywa na Profesa Lipumba na genge lake, wakiungwa mkono na Ofisi yako na Jeshi la Polisi kunizuia nisifanye kazi kwa uhuru katika enea la Tanzania Bara. Vyombo vya habari nchini vimekuwa vikitoa taarifa juu ya shughuli za kichama ninazoendelea kuzifanya Zanzibar na Bara, lakini pia na mazuio ninayoekewa na Jeshi la Polisi kunizuia nisifanye shughuli Tanzania Bara. Jeshi la Polisi ni chombo cha dola. Ofisi ya Msajili ni ofisi ya dola. Vyombo hivyo vinaposhirikiana kumzuia Katibu Mkuu wa Chama asifanye kazi katika upande mmoja wa Jamhuri, wakati sheria ya Vyama vya Siasa Na. 5 ya 1992 inaeleza kinaga ubaga kwamba vyama vya siasa lazima viwe vya kitaifa, nini athari zake? Profesa Ibrahim Lipumba anapewa ulinzi mkubwa wa polisi kufanya shughuli Tanzania Bara. Maalim Seif anazuiwa kufanya kazi Bara, afanye kazi Zanzibar tu. Maana yake ni kukigawa chama kwa msingi wa pande mbili za Muungano! Ni jambo la kusikitisha kuwa dola imejiangusha kiasi hicho!
Mheshimiwa Msajili, hivyo kwa maoni yako, Mheshimiwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano, Ofisi Kuu ya Dar es Salaam ina uzito zaidi kuliko Makao Makuu yenyewe? Na unadai katika barua yako kuwa ulijiridhisha na maelezo ya Profesa Lipumba kuwa sifiki Buguruni basi nimeshindwa kufanya kazi! Jee, uliniita kuniuliza ili kupata maelezo ya upande wa pili? Hukunita! Au maelezo ya Profesa Lipumba ni maelezo ya kitabu kitakatifu hayawezi kupingwa? Hivyo ndivyo haki inavoamuliwa? Is that justice?
Kwa mujibu wa Katiba ya CUF – Chama cha Wananchi, mimi, Maalim Seif Sharif Hamad bado ni Katibu Mkuu wa Chama, nipo nchini, ni mzima na nina akili timamu. Ilivyokuwa nipo nafasi yangu haiwezi kukaimiwa! Mheshimiwa Magdalena Sakaya alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa chama chetu. Baraza Kuu lilisimamisha uanachama wake Hivyo asingeweza kuendelea kuwa Naibu Katibu Mkuu. Kwa sasa Baraza Kuu lishamfukuza uanachama. Kweli Katiba ya CUF inaeleza kuwa nafasi ya Katibu Mkuu itakaimiwa na Naibu Katibu Mkuu anayemfuata Katibu Mkuu ikiwa Katibu Mkuu hayupo nchini au hawezi kutekeleza majukumu yake. Hata ingekuwa nafasi yangu inapaswa kukaimiwa, basi siyo na Mheshimiwa Magadalena Sakaya ambaye si mwanachama wa CUF!
Kwa taarifa yako, Profesa Lipumba alipofukuzwa uanachama na Baraza Kuu, na Mheshimiwa Sakaya na wenzake waliposimamishwa uanachama wote waliniletea barua za kukata rufaa dhidi ya maamuzi ya Baraza Kuu kwa Mkutano Mkuu wa Taifa. Barua ninazo. Na wote niliwajibu kuwa nimepokea barua zao na taratibu za kuziwasilishwa Mkutano Mkuu wa Taifa zitafuatwa. Maana yake wote, wote kabisa, walitambua madaraka ya Baraza Kuu. Kabla ya mchakato haujakamilika, Mheshimiwa Msajili, unaingilia na kutoa uliouita Msimamo wa Msajili, msimamo uliompa nguvu Profesa Lipumba na genge lake kuleta fujo katika chama chetu. Kwa heshima zote, napenda kukueleza kuwa wewe ndiye tatizo. Profesa Lipumba na wenzake tungemalizana nao ikiwa ungewacha mchakato wa ndani ya chama ukamilike!
Mheshimiwa Msajili katika barua yako umesema kuwa:
“… taarifa uliyowasilisha inapaswa kuwasilishwa na mtu mwenye dhamana ya majukumu ya Katibu Mkuu au Mwenyekiti wa Taifa wa CUF-Chama Cha Wananchi kwa sasa ambao ni Mheshimiwa Magdalena Sakaya au Profesa Ibrahim Lipumba au wawakilishi wao waliopewa idhini…”
Hili nilishalieleza kuwa kwa mujibu wa Katiba ya CUF, Waheshimiwa hao wote wawili si wanachama wa CUF, na hivyo hawawezi kuwa viongozi wa Chama chetu. Pia haiwezekani awepo Kaimu Katibu Mkuu wakati Katibu Mkuu yupo na anachapa kazi, labda kwa matakwa yako binafsi, ambayo hayaendani kabisa na masharti ya Katiba ya CUF – Chama Cha Wananchi ya 1992 (Toleo la 2014).
Kuhusu uhalali wa kikao kilichofanya maamuzi ya kuwafukuza wanachama saba, Wanachama hao wamefukuzwa na Baraza Kuu la Taifa halali lililochaguliwa na Mkutano Mkuu wa Taifa uliofanyika mwaka 2014. Hadi sasa hakujafanyika Mkutano Mkuu wa Taifa mwengine wakuchagua wajumbe wapya wa Baraza Kuu. Isitoshe kikao cha dharura cha Baraza Kuu la Uongozi la Taifa kiliitishwa na Kamati ya Utendaji ya Taifa halali, kwa mujibu wa masharti ya ya Katiba ya CUF kifungu 80 (1) kama mwenyewe ulivyoeleza katika barua yako.
Nami, kwa sababu nilizozieleza hapo juu, bado nasisitiza kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Utendaji ya Taifa ya CUF – Chama Cha Wananchi, ni Maalim Seif Sharif Hamad, na siyo Mheshimiwa Magdalena Sakaya. Wajumbe wa Kamati ya Utendaji ya Taifa halali waliteuliwa naaliyekuwa Mwenyekiti wa Taifa wa Chama, Profesa Ibrahim H. Lipumba ambaye alijiuzulu, baada ya kushauriana na aliyekuwa Makamu Mwenyekiti , Mheshimiwa Juma Duni Haji ambaye naye pia alijiuzuli, na kuthibitishwa na Baraza Kuu la Uongozi la Taifa kama ilivyowekwa bayana na kifungu Na. 91 (1) (f) cha Katiba ya CUF ya 1992 (Toleo la 2014). Kwa bahati mbaya wewe unawatambua Wajumbe wa Kamati ya Taifa walioteuliwa na mtu ambaye si mwanachama wa CUF na wala si Mwenyekiti wa Taifa wa Chama chetu.
Ni kweli kuwa kifungu cha 91 (c ) kinaeleza kuwa vikao vya kitaifa vya Chama chetu, kikiwemo kikao cha Baraza Kuu la Uongozi la Taifa vitaongozwa na Mwenyekiti wa Taifa. Lakini naomba ukiangalie kifungu Na. 82 (3) ambachokinaeleza kuwa ikiwa Mwenyekiti wa Taifa hayupo, kikao hicho kitaongozwa na Makamu Mwenyekiti, naye ikiwa naye hayupo kikao kitamchagua mjumbe mmoja wa Baraza Kuu la Uongozi la Taifa asiyekuwa Katibu Mkuu wa Chama au mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Taifa kuongoza kikao hicho na mjumbe huyo atakuwa mwenyekiti wa muda wa kikao hicho tu.
Kwa bahati mbaya Chama chetu kwa sasa hakina Mwenyekiti wa Taifa na wala Makamu Mwenyekiti. Kwa hivyo kikao kilimchagua Mheshimiwa Hamid Bobali ambaye ni Mjumbe wa Baraza Kuu kuongoza kikao hicho. Hivyo kikao kilikuwa halali na maamuzi yake ni halali.
Mheshimiwa Msajili napenda utambue kuwa CUF – Chama Cha Wananchi ni taasisi, tena Taasisi makini. Kinaendeshwa na kuongozwa kwa mujibu wa sheria za nchi na Katiba ya Chama hicho pamoja na Kanuni ambazo hutungwa na mamlaka husika kila inapohitajika. Sisi viongozi wa CUF tunajitahidi kuongozwa na sheria za nchi, Katiba ya Chama na Kanuni zake katika kukiendesha chama. Hatuongozwi na matakwa ya mtu yeyote, hata kama mtu huyo ni Msajili wa Vyama vya Siasa. Ninavyofahamu Msajili hana mamlaka ya kupandikiza watu anaowataka kuwa viongozi wa chama chetu. Msajili hana uwezo wa kuingilia maamuzi halali ya vikao halali vya Chama chetu. Viongozi huchaguliwa /kuteuliwa na wanachama wenyewe/viongozi halali wa chama.
Tunaloshuhudia ni kuwa Mheshimiwa Msajili una agenda yako ya kukisambaratisha chama chetu. Inasemekana kuwa unazungumza kuwa yanayotokea katika chama cha CUF eti ni kumuhangaisha Maalim Seif Sharif Hamad, Katibu Mkuu wa CUF, kwa sababu eti bwana huyo anaihangaisha Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kiasi kuwa serikali hiyo haiwezi kufanya shughuli zake! Kama hilo ndilo lengo, la kujiuliza inakuwaje Msajili, tena akiwa Jaji wa Mahakama Kuu anajiingiza katika mambo ya siasa? Naomba ujue kuwa fanyeni mnayoyafanya, kabisa hamtaweza kuwatoa Wazanzibari katika kudai haki yao ya ushindi mnono walioupata katika Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar wa 25 Oktoba, 2015. Wataendelea kuidai haki yao hadi waitie mikononi. Njama za Profesa Lipumba na genge lake la kutaka kumfukuza Katibu Mkuu wa CUF hazitazuia haki kupatikana. Mnajiadhirisha tu mbele ya macho ya Watanzania na dunia kwa ujumla.
Wakatabuhu.
HAKI SAWA KWA WOTE
Seif Sharif Hamad
KATIBU MKUU
Nakala kwa :-
Mheshimiwa Spika
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
S.L.P 941,
Dodoma
Mheshimiwa Mwenyekiti,
Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Mtaa wa Ghana/Ohio,
P.O.Box 10923
Dar es Salaam
Mheshimiwa Mwenyekiti,
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora
Kitalu Na. 8 mtaa wa Lithuli,
P.O.Box 2643,
Dar es Salaam
THE CIVIC UNITED FRONT
(CUF-Chama Cha Wananchi)
Office of Secretary General
P.o.box 3637, Zanzibar, Tanzania.
Kumb.Na.: CUF/HQ/AKM/003/017/08 Tarehe : 16/8/2017
Mhe. Jaji Francis S.K.Mutungi,
Msajili wa Vyama vya Siasa,
Kivukoni Ilala CBD,
1 Mtaa wa Shaban Robert,
S.L.P. 63010.
11101 Dar es salam.
YAH : KUFUKUZWA UANACHAMA WANACHAMA SABA (07) WA CUF
Tafadhali rudia barua yako yenye kumbukumbu Na. HA. 322/362/14/57 ya tarehe 01 Agosti, 2017 inayohusiana na suala lililotajwa hapo juu.
Kwanza napenda kukuarifu kuwa nimechelewa kuijibu barua yako kwa sababu sikuwepo nchini, ingawa nilipata taarifa ya kupokelewa kwa barua yako wakati nikiwa nje ya nchi. Niliamua niijibu barua yako hiyo nikiwa Makao Makuu ya The CIVIC UNITED FRONT (CUF – Chama Cha Wananchi), Mtendeni Zanzibar.
Katika barua yako hiyo dhana uliyoijenga ni kuwa umepokea taarifa kutoka kwa Profesa Ibrahim H. Lipumba ikimtambulisha Mheshimiwa Magdalena Sakaya kuwa ndiye Kaimu Katibu Mkuu wa CUF. Nawe uliikubali barua hiyo kwa kuwa, kwa mtazamo wako Profesa Lipumba ni Mwenyekiti wa Taifa wa CUF. Hili nataka kuliweka wazi ili wengine uliowapelekea nakala ya barua uliyoniletea watambuestatus ya Profesa Lipumba katika CUF – Chama Cha Wananchi.
Mheshimiwa Msajili unafahamu fika kuwa Profesa Ibrahim H. Lipumba mwenyewe aliamua kujiuzuilu uenyekiti wa taifa wa Chama cha CUF. Pamoja na kuniandikia mimi nikiwa Katibu Mkuu na pia Katibu wa Mamlaka iliyomchagua (Mkutano Mkuu wa Taifa) kunijulisha kuwa amejiuzulu, pia alikwenda kwenye mkutano na waandishi wa habari akatangaza hadharani kuwa amejiuzulu.
Nikatoa taarifa ya kujiuzulu kwake Profesa Lipumba kwa kikao cha Baraza Kuu la Uongozi kilichofuata baada ya kupokea barua yake ya kujiuzulu na Baraza likaipokea taarifa hio kwa masikitiko makubwa. Hata hivyo Baraza likaelekeza kuwa kujiuzulu uongozi ni miongoni mwa haki za wanachama wa Chama chetu. Hivyo itabidi kuitishwa kwa Mkutano Mkuu wa Taifa ili nao utoe Baraka zake.
Baada ya kipindi kinachokaribia mwaka mmoja Profesa Lipumba akaniandikia barua kunieleza kuwa anatengua kujiuzulu kwake! Nilishangazwa na barua hiyo maana ilikuwa ndio mara ya kwanza kusikia mtu anajiuzulu kwa hiari yake, anakaa njee ya uongozi kwa takriban mwaka nzima, halafu anatengua kujiuzulu kwake! Katika Katiba ya CUF hakuna kipengele chochote kinachotoa nafasi kwa kiongozi aliyejiuzulu kutengua kujiuzulu kwake!
Hatimaye Mkutano Mkuu wa Taifa wa CUF ukaitishwa na Katibu Mkuu akatoa taarifa ya kupokea barua ya kujiuzulu kwa Profesa Ibrahim Lipumba nafasi yake ya Uenyekiti wa Taifa wa Chama. Nikaisoma barua yake mbele ya Mkutano Mkuu wa Taifa, na baada ya mjadala wa kina maamuzi yakachukuliwa kwa mujibu wa matakwa ya Katiba ya CUF ya 1992 (Toleo la 2014) kwa kupiga kura. Wajumbe 437 wakakubali kujizulu kwa Profesa Lipumba dhidi ya Wajumbe 14 waliokataa. Hivyo Profesa Ibrahim H. Lipumba kuanzia siku aliyojiuzulu si Mwenyekiti wa Taifa wa CUF. Profesa Lipumba hana mamlaka ya kukiongoza Chama chetu.
Najua kuwa alikulalamikia, ukaniletea barua zake za malalamiko na ukataka maoni ya Chama. Nikakujibu kwa maandishi. Kwenda na kurudi ukatoa kile ulichokiita Msimamo wa Msajili juu ya kadhia iliyokikumba Chama! Huo ni Msimamo sio hukumu. Maana kama ni hukumu ningetarajia katika huo ulioita Msimamo ungeeleza kuwa kwa uwezo uliopewa na kifungu Na. kadhaa cha Sheria ya Vyama vya Siasa Na.5 ya 1992, au kwa mujibu wa uwezo uliopewa na Katiba ya CUF ya 1992 (Toleo la 2014) katika kifungu Na. kadhaa umeamua kumrudisha Profesa Ibrahim Lipumba kuwa Mwenyekiti wa Taifa wa CUF. Lakini hukuweza kuonesha uwezo wako wa kisheria au kikatiba kumrudisha Profesa Lipumba kuwa Mwenyekiti wa Taifa CUF – Chama Cha Wananchi, kwa sababu huna uwezo huo kwa mujibu wa sheria za nchi wala kwa mujibu wa Katiba ya CUF. Hata hivyo mara baada ya kupata huo ulioita Msimamo wa Msajili, Profesa Lipumba na genge lake walivamia jengo la Ofisi Kuu ya Makao Makuu ya CUF – Chama Cha Wananchi lilopo Buguruni, wakilindwa na askari polisi wakavunja lango kuu, wakavunja vitasa vya milango ya ofisi kadhaa na kufanya uharibifu mkubwa wa mali na vifaa kadhaa vya chama.Hayo yakitendeka chini ya ulinzi wa askari wa jeshi la polisi! Mfano wa jinsi utawala bora usivyozingatiwa!
Mheshimiwa Msajili, unajua vizuri kuwa CUF – Chama Cha Wananchi hakiukubali uamuzi huo, na Bodi ya Wadhamini ya Chama kwa uwezo ilionao kwa mujibu wa sheria za nchi, na kwa mujibu wa Katiba ya CUF – Chama Cha Wananchi, ilifungua shauri Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupinga huo uliouita Msimamo wako, ambao matokeo yake ni kumpandikiza Profesa Ibrahim Lipumba kuwa Mwenyekiti wa chama chetu kinyume cha Katiba ya chama chetu. Na tangu hapo umeendelea kuwa naye bega kwa bega katika kukivuruga chama chetu.
Kesi inaendelea katika Mahakama Kuu. Kwa hali ya kawaida, ungetazamia kuwa wewe kama Msajili, na hasa ukiwa Jaji wa Mahakama Kuu hio hio usingeendelea kushirikiana na Profesa Lipumba kufanya vitendo ambavyo ni vya kihuni na vya hujuma dhidi ya Chama. Busara zingekuelekeza kumsihi Profesa Lipumba asubiri hukumu ya Mahakama Kuu, na kama angekataa wewe kama Msajili na Ofisi yako ungejitenga naye.
Tunaloshuhudia ni kila kukicha unaendelea kumuunga mkono Profesa Lipumba hata katika mambo ya aibu ya kula njama na Profesa Lipumba kumuwezesha atoe ruzuku ya CUF kinyume na matakwa na taratibu zilizowekwa katika Katiba ya CUF ya 1992 (Toleo la 2014). Narudia kusemakuwa Prof. Lipumba si Mwenyekiti wa Taifa wa CUF. Lakini kutokana na vitendo vyake vya kukosa nidhamu katika kusababisha vurugu katika kikao cha dharura cha Mkutano Mkuu wa Taifa wa chama chetu, Baraza Kuu la Uongozi la Taifa, kwa uwezo lillonao kwa mujibu wa masharti ya Katiba ya CUF, lilimfukuza Profesa Ibrahim Lipumba uanachama wa CUF. Taarifa hiyo pia nilikuletea, lakini umeamua kuitia kapuni ili kutimiza matakwa yako binafsi. Ikiwa Profesa Ibrahim H. Lipumba sio mwanachama wa CUF, hawezi kabisa kuwa kiongozi wa Chama, hasa nafasi ya juu kabisa katika Chama. Kinachotokea kikiongozwa nawe na Ofisi yako ni ubabe, kutojali sheria za nchi wala Katiba ya Chama chetu ilimradi mufikie lengo lenu!
Mheshimiwa Msajili, Umeandika katika barua yako hiyo ya tarehe 01 Agosti, 2017, na naomba kukunukuu :
“… Napenda kukumbusha kuwa, tarehe 16 Machi, 2017 Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa ilipokea barua kutoka kwa chama chenu iliyosainiwa na Mwenyekiti wa Taifa Profesa Ibrahim H. Lipumba, ikimtambulisha Mheshimiwa Magdalena Sakaya kuwa ndiye Kaimu Katibu Mkuu. Baada ya kusoma Katiba ya chama chenu, niliridhia uamuzi huo kwa barua yenye kumbukumbu HA. 322/362//14/74 ya tarehe 21 Machi, 2017.
Aidha, mpaka sasa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa haijapokea barua yoyote kutoka katika chama chenu, inayotengua uamuzi wa kukaimisha ukatibu mkuu Mheshimiwa Magdalena Sakaya…”
Mheshimiwa Msajili, nashangaa, tena nashangaa sana, kwa maelezo yako hayo! Mimi ninavyojua ni kuwa kiongozi anakaimiwa ikiwa hayupo nchini, au hawezi kutekeleza majukumu yake. Hivyo ndivyo Katiba ya CUF ya 1992 (Toleo la 2014) kifungu cha 105 (1) kinavyoeleza. Hapo ulipopokea barua ya Profesa Lipumba ya tarehe 16 Machi, 2017 nilikuwepo nchini nikiwa nafanya kazi za Chama Makao Makuu ya Chama, tena nikiwa mzima wa afya na akili timamu. Wewe umetoa uamuzi kutokana na hiyo barua ya Profesa Lipumba kwa madai kuwa eti siendi Ofisi Kuu Buguruni.
Tafadhali angalia Katiba ya CUF ya 1992 (Toleo la 2014) kifungu Na. 1 (2) ambacho kinaeleza ifuatavyo:
(2) Makao Makuu ya Chama yatakuwa katika Mji Mkuu wa Zanzibar na anuani yake itakuwa kama itakavyoamuliwa na Baraza Kuu la Uongozi la Taifa’’
Kifungu cha 1 (3) kinaeleza ifuatavyo:
“1 (3) Kutakuwa na Ofisi Kuu ya Makao Makuu ya Chama Mjini Dar es Salaam na anuani yake itakuwa kama itakavyoamuliwa na Baraza Kuu la Uongozi la Taifa.”
Sikumbuki kuwa mkutano Mkuu ambao ndio wenye madaraka ya kufanya maamuzi yoyote yanayohusiana na Chama chetu umewahi kubadilisha kifungu hicho cha Katiba ya CUF – Chama Cha Wananchi. Kama hivyo ndivyo ukweli unabakia pale pale : kwamba Makao Makuu ya chama chetu yako katika Mji Mkuu wa Zanzibar. Na kwa sasa Makao Makuu hayo yapo katika Mtaa wa Mtendeni, katika mji mkuu wa Zanzibar. Wewe mwenyewe umeshawahi kuyatembelea Makao Makuu hayo! Bado ofisi iliyoko Buguruni, Dar es Salaam, ni Ofisi Kuu ya Makao Makuu.
Mheshimiwa Msajili, jee ulijiridhisha kuwa sifanyi kazi katika Makao Makuu ya Chama? Mimi nikiwa Katibu Mkuu wa Chama nimeendelea kufanya kazi zangu za kichama sio tu katika Zanzibar, lakini pia hata katika Tanzania Bara, ingawa ni wazi kuwa juhudi zimefanywa na Profesa Lipumba na genge lake, wakiungwa mkono na Ofisi yako na Jeshi la Polisi kunizuia nisifanye kazi kwa uhuru katika enea la Tanzania Bara. Vyombo vya habari nchini vimekuwa vikitoa taarifa juu ya shughuli za kichama ninazoendelea kuzifanya Zanzibar na Bara, lakini pia na mazuio ninayoekewa na Jeshi la Polisi kunizuia nisifanye shughuli Tanzania Bara. Jeshi la Polisi ni chombo cha dola. Ofisi ya Msajili ni ofisi ya dola. Vyombo hivyo vinaposhirikiana kumzuia Katibu Mkuu wa Chama asifanye kazi katika upande mmoja wa Jamhuri, wakati sheria ya Vyama vya Siasa Na. 5 ya 1992 inaeleza kinaga ubaga kwamba vyama vya siasa lazima viwe vya kitaifa, nini athari zake? Profesa Ibrahim Lipumba anapewa ulinzi mkubwa wa polisi kufanya shughuli Tanzania Bara. Maalim Seif anazuiwa kufanya kazi Bara, afanye kazi Zanzibar tu. Maana yake ni kukigawa chama kwa msingi wa pande mbili za Muungano! Ni jambo la kusikitisha kuwa dola imejiangusha kiasi hicho!
Mheshimiwa Msajili, hivyo kwa maoni yako, Mheshimiwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano, Ofisi Kuu ya Dar es Salaam ina uzito zaidi kuliko Makao Makuu yenyewe? Na unadai katika barua yako kuwa ulijiridhisha na maelezo ya Profesa Lipumba kuwa sifiki Buguruni basi nimeshindwa kufanya kazi! Jee, uliniita kuniuliza ili kupata maelezo ya upande wa pili? Hukunita! Au maelezo ya Profesa Lipumba ni maelezo ya kitabu kitakatifu hayawezi kupingwa? Hivyo ndivyo haki inavoamuliwa? Is that justice?
Kwa mujibu wa Katiba ya CUF – Chama cha Wananchi, mimi, Maalim Seif Sharif Hamad bado ni Katibu Mkuu wa Chama, nipo nchini, ni mzima na nina akili timamu. Ilivyokuwa nipo nafasi yangu haiwezi kukaimiwa! Mheshimiwa Magdalena Sakaya alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa chama chetu. Baraza Kuu lilisimamisha uanachama wake Hivyo asingeweza kuendelea kuwa Naibu Katibu Mkuu. Kwa sasa Baraza Kuu lishamfukuza uanachama. Kweli Katiba ya CUF inaeleza kuwa nafasi ya Katibu Mkuu itakaimiwa na Naibu Katibu Mkuu anayemfuata Katibu Mkuu ikiwa Katibu Mkuu hayupo nchini au hawezi kutekeleza majukumu yake. Hata ingekuwa nafasi yangu inapaswa kukaimiwa, basi siyo na Mheshimiwa Magadalena Sakaya ambaye si mwanachama wa CUF!
Kwa taarifa yako, Profesa Lipumba alipofukuzwa uanachama na Baraza Kuu, na Mheshimiwa Sakaya na wenzake waliposimamishwa uanachama wote waliniletea barua za kukata rufaa dhidi ya maamuzi ya Baraza Kuu kwa Mkutano Mkuu wa Taifa. Barua ninazo. Na wote niliwajibu kuwa nimepokea barua zao na taratibu za kuziwasilishwa Mkutano Mkuu wa Taifa zitafuatwa. Maana yake wote, wote kabisa, walitambua madaraka ya Baraza Kuu. Kabla ya mchakato haujakamilika, Mheshimiwa Msajili, unaingilia na kutoa uliouita Msimamo wa Msajili, msimamo uliompa nguvu Profesa Lipumba na genge lake kuleta fujo katika chama chetu. Kwa heshima zote, napenda kukueleza kuwa wewe ndiye tatizo. Profesa Lipumba na wenzake tungemalizana nao ikiwa ungewacha mchakato wa ndani ya chama ukamilike!
Mheshimiwa Msajili katika barua yako umesema kuwa:
“… taarifa uliyowasilisha inapaswa kuwasilishwa na mtu mwenye dhamana ya majukumu ya Katibu Mkuu au Mwenyekiti wa Taifa wa CUF-Chama Cha Wananchi kwa sasa ambao ni Mheshimiwa Magdalena Sakaya au Profesa Ibrahim Lipumba au wawakilishi wao waliopewa idhini…”
Hili nilishalieleza kuwa kwa mujibu wa Katiba ya CUF, Waheshimiwa hao wote wawili si wanachama wa CUF, na hivyo hawawezi kuwa viongozi wa Chama chetu. Pia haiwezekani awepo Kaimu Katibu Mkuu wakati Katibu Mkuu yupo na anachapa kazi, labda kwa matakwa yako binafsi, ambayo hayaendani kabisa na masharti ya Katiba ya CUF – Chama Cha Wananchi ya 1992 (Toleo la 2014).
Kuhusu uhalali wa kikao kilichofanya maamuzi ya kuwafukuza wanachama saba, Wanachama hao wamefukuzwa na Baraza Kuu la Taifa halali lililochaguliwa na Mkutano Mkuu wa Taifa uliofanyika mwaka 2014. Hadi sasa hakujafanyika Mkutano Mkuu wa Taifa mwengine wakuchagua wajumbe wapya wa Baraza Kuu. Isitoshe kikao cha dharura cha Baraza Kuu la Uongozi la Taifa kiliitishwa na Kamati ya Utendaji ya Taifa halali, kwa mujibu wa masharti ya ya Katiba ya CUF kifungu 80 (1) kama mwenyewe ulivyoeleza katika barua yako.
Nami, kwa sababu nilizozieleza hapo juu, bado nasisitiza kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Utendaji ya Taifa ya CUF – Chama Cha Wananchi, ni Maalim Seif Sharif Hamad, na siyo Mheshimiwa Magdalena Sakaya. Wajumbe wa Kamati ya Utendaji ya Taifa halali waliteuliwa naaliyekuwa Mwenyekiti wa Taifa wa Chama, Profesa Ibrahim H. Lipumba ambaye alijiuzulu, baada ya kushauriana na aliyekuwa Makamu Mwenyekiti , Mheshimiwa Juma Duni Haji ambaye naye pia alijiuzuli, na kuthibitishwa na Baraza Kuu la Uongozi la Taifa kama ilivyowekwa bayana na kifungu Na. 91 (1) (f) cha Katiba ya CUF ya 1992 (Toleo la 2014). Kwa bahati mbaya wewe unawatambua Wajumbe wa Kamati ya Taifa walioteuliwa na mtu ambaye si mwanachama wa CUF na wala si Mwenyekiti wa Taifa wa Chama chetu.
Ni kweli kuwa kifungu cha 91 (c ) kinaeleza kuwa vikao vya kitaifa vya Chama chetu, kikiwemo kikao cha Baraza Kuu la Uongozi la Taifa vitaongozwa na Mwenyekiti wa Taifa. Lakini naomba ukiangalie kifungu Na. 82 (3) ambachokinaeleza kuwa ikiwa Mwenyekiti wa Taifa hayupo, kikao hicho kitaongozwa na Makamu Mwenyekiti, naye ikiwa naye hayupo kikao kitamchagua mjumbe mmoja wa Baraza Kuu la Uongozi la Taifa asiyekuwa Katibu Mkuu wa Chama au mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Taifa kuongoza kikao hicho na mjumbe huyo atakuwa mwenyekiti wa muda wa kikao hicho tu.
Kwa bahati mbaya Chama chetu kwa sasa hakina Mwenyekiti wa Taifa na wala Makamu Mwenyekiti. Kwa hivyo kikao kilimchagua Mheshimiwa Hamid Bobali ambaye ni Mjumbe wa Baraza Kuu kuongoza kikao hicho. Hivyo kikao kilikuwa halali na maamuzi yake ni halali.
Mheshimiwa Msajili napenda utambue kuwa CUF – Chama Cha Wananchi ni taasisi, tena Taasisi makini. Kinaendeshwa na kuongozwa kwa mujibu wa sheria za nchi na Katiba ya Chama hicho pamoja na Kanuni ambazo hutungwa na mamlaka husika kila inapohitajika. Sisi viongozi wa CUF tunajitahidi kuongozwa na sheria za nchi, Katiba ya Chama na Kanuni zake katika kukiendesha chama. Hatuongozwi na matakwa ya mtu yeyote, hata kama mtu huyo ni Msajili wa Vyama vya Siasa. Ninavyofahamu Msajili hana mamlaka ya kupandikiza watu anaowataka kuwa viongozi wa chama chetu. Msajili hana uwezo wa kuingilia maamuzi halali ya vikao halali vya Chama chetu. Viongozi huchaguliwa /kuteuliwa na wanachama wenyewe/viongozi halali wa chama.
Tunaloshuhudia ni kuwa Mheshimiwa Msajili una agenda yako ya kukisambaratisha chama chetu. Inasemekana kuwa unazungumza kuwa yanayotokea katika chama cha CUF eti ni kumuhangaisha Maalim Seif Sharif Hamad, Katibu Mkuu wa CUF, kwa sababu eti bwana huyo anaihangaisha Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kiasi kuwa serikali hiyo haiwezi kufanya shughuli zake! Kama hilo ndilo lengo, la kujiuliza inakuwaje Msajili, tena akiwa Jaji wa Mahakama Kuu anajiingiza katika mambo ya siasa? Naomba ujue kuwa fanyeni mnayoyafanya, kabisa hamtaweza kuwatoa Wazanzibari katika kudai haki yao ya ushindi mnono walioupata katika Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar wa 25 Oktoba, 2015. Wataendelea kuidai haki yao hadi waitie mikononi. Njama za Profesa Lipumba na genge lake la kutaka kumfukuza Katibu Mkuu wa CUF hazitazuia haki kupatikana. Mnajiadhirisha tu mbele ya macho ya Watanzania na dunia kwa ujumla.
Wakatabuhu.
HAKI SAWA KWA WOTE
Seif Sharif Hamad
KATIBU MKUU
Nakala kwa :-
Mheshimiwa Spika
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
S.L.P 941,
Dodoma
Mheshimiwa Mwenyekiti,
Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Mtaa wa Ghana/Ohio,
P.O.Box 10923
Dar es Salaam
Mheshimiwa Mwenyekiti,
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora
Kitalu Na. 8 mtaa wa Lithuli,
P.O.Box 2643,
Dar es Salaam
Subscribe to:
Posts (Atom)






